Hapo pembeni una kaugali kalainiiii na maji ya mtungini πππ
Mbwa analiwa ?
Hii ndafu ni nadra sana kupatikana at household level.
Mbasa wa mto Ruhuhu auMzee ulishawahi kula Mbasa
Ndiyo.Mbwa analiwa ?
Hii kitu ukifanya masikhara unaweza kujikuta unamaliza hata laki kwenye meza ya pweza.
Duuuh aseehNdiyo.
Chakula hiki kinaitwaje ?!
Ukifunga utakuwa hujatutendea haki. Sijaona uyoga.Tufunge na hiiπͺπΏπͺπΏπͺπΏView attachment 3252484
Iringa moja hiyo!View attachment 3252364
Mbwa mchemsho.π