Iyerdoy
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,755
- 1,939
Mboriko ni hiyo container i.e. Bakuli. Linatengenezwa kwa mti. Halipoozeshi chakula ujue.Mboriko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mboriko ni hiyo container i.e. Bakuli. Linatengenezwa kwa mti. Halipoozeshi chakula ujue.Mboriko?
Ndiyo. Huwezi kuvichoma hivyo. Unavichemsha na maji kidooogo sana kwani na vyenyewe hutoa maji(Mchuzi). Ukianza kuvila hivyo unatakiwa uchukue tahadhari kwani kwa utamu wake unaweza kujikuta umemaliza (umevuna) shamba.Ooh ni vile viteketeke
Nenda Chako ni chako Idodomya.Hii inapatikana wapi?
Aaah! Koma ww, mnzyuu.duh kama mavi …
Inafanana na ule uzi wa vyakula ila ule ni worldwide.. Hapa kwa asilimia 100 ni vyakula tupikavyo na tulavyo kila siku
Huku hakuna chopstick, hakuna kuku kwa mrija ama kula na mikono miwili yaani visu na uma😂
TAHADHARI: KAMA UNA NJAA NA UKO MBALI NA SEHEMU YA KULA USIFUNGUE HUU UZI
Nb: Makande pia yapo😋😋😋
Ngoja niiweke clearView attachment 3252675
🙏Yeh... Mboriko ni hicho kibakuli cha mti kinachoweka chakula.Mboriko?
Sijawahi kula pweza. Ladha yake ni kama samaki wengine?Hatari kabisa mpwa.
Sijui kuna siri gani kwenye huyu samaki pweza.
Halafu pilipili zao sijui mtengenezaji ni mmoja.
Ukila pweza wa Kimara na wa Mbagala au Kinondoni wote pilipili yao ina ladha moja....utamu sasa😋
Ila mie napenda pweza jamani.
Huku Dodoma hawana mwamko wa ulaji wa pweza.
Au kwa kuwa hakuna bahari🤔🤔
Yaani ana ladha ya kipekee sana.Sijawahi kula pweza. Ladha yake ni kama samaki wengine?
Na wewe unasimama kwenye meza na ''kutungua'' vipande kwa kijiti au unabeba na kwenda kula nyumbani? Hivi unaweza kula kwa ugali au ananoga unaposimama kwenye meza na kula vipande huku unachvya kwenye pilipili?Yaani ana ladha ya kipekee sana.
Yaani sijui utamu wake niuelezeeje.
Yaani ni mtamu haswaaaa.
Ukichanganya na ile pilipili yake....basi raha sana
Mie kwa kweli nikibeba nyumbani nashindwa kula sijuivkwa nini.Na wewe unasimama kwenye meza na ''kutungua'' vipande kwa kijiti au unabeba na kwenda kula nyumbani? Hivi unaweza kula kwa ugali au ananoga unaposimama kwenye meza na kula vipande huku unachvya kwenye pilipili?
Nmekumbuka vi-mishikaki jamaa mmoja kama mwarabu alikuwa anauza. Anakata vidogo vidogo halafu vikiiva anachovya kwenye pilipili. Unaweza kula vingi kweli bila kukinai. Nadhani pweza inatakuwa inanoga kama hivyo. Ntakuja kujaribu siku moja.Mie kwa kweli nikibeba nyumbani nashindwa kula sijuivkwa nini.
Napenda kula palepale mezani.
Wapo wanaodonoa mezani na wapo wanataka kuwekewa kwenye bakuli, inategemea na uhitaji wako.
Wapo wanaonunua na kwenda kurumangia na ugali au kachori nyumbani.
Ila palepale mezani ndo ananoga
Yeah, vitamu sana.Nmekumbuka vi-mishikaki jamaa mmoja kama mwarabu alikuwa anauza. Anakata vidogo vidogo halafu vikiiva anachovya kwenye pilipili. Unaweza kula vingi kweli bila kukinai. Nadhani pweza inatakuwa inanoga kama hivyo. Ntakuja kujaribu siku moja.