Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Hiyo ni collection ya data ambazo tayari zipo mtandaoni Mkuu. Wanazivuta kutoka facebook, Insta, Tiktok na mitandao mingine.Anayebuni hizo sura anazitoa wapi
Kuna mchina anataka nimtengenezee social media influencer model picha pamoja na video zake. Ndiyo maana nimeamua kurun model locally kwenye pc kwa sababu picha zinapaswa kuwa sura ile ile. So hapa tumekuja na version ya kwanza hajala makeup hapa. baadaye tutampiga make up aanze kuwa anakula machupi chupi na watu wakiwa wanaona picha mchina akweka wanaamini huyu ni mtu halisia kumbe wa kufikirika.Ni computer kiongozi, inabuni kila kitu..
AI sio poa mzee... hahahhh... sipati picha watu watakavyotapeliwa endapo akitokea mwenye nia ovu.. hahahhKuna mchina anataka nimtengenezee social media influencer model picha pamoja na video zake. Ndiyo maana nimeamua kurun model locally kwenye pc kwa sababu picha zinapaswa kuwa sura ile ile. So hapa tumekuja na version ya kwanza hajala makeup hapa. baadaye tutampiga make up aanze kuwa anakula machupi chupi na watu wakiwa wanaona picha mchina akweka wanaamini huyu ni mtu halisia kumbe wa kufikirika.
View attachment 3237033
Tukishakubaliana na sura basi ntakuwa namzalishia video na picha za model huyu huyu katika mapozi na sehemu mbalimbali kutokana na maelezo yake atakayonipa.
View attachment 3237034
Ni trend mkuu kuna AI models wamekuwa maarufu sana hasa china na nchi za brazil. So, nadhani anataka kufanya hicho.AI sio poa mzee... hahahhh... sipati picha watu watakavyotapeliwa.. hahahh
Hii wange kuwa Wana kimbia Inge kuwa unyama sana, halafu 1 ana tembea ka spy movies.
Duh!! Ndio nilikuwa namaanisha ikitokea mwenye nia ovu kutapeli watu mitandaoni, watu wataliwa sana pesa wakijua ni mtu halisi...Ni trend mkuu kuna AI models wamekuwa maarufu sana hasa china na nchi za brazil. So, nadhani anataka kufanya hicho.
Ni trend mkuu kuna AI models wamekuwa maarufu sana hasa china na nchi za brazil. So, nadhani anataka kufanya hicho.
So nikitaka kubuni mashine nawezaNi computer kiongozi, inabuni kila kitu..
Kuingiza pesaInasaidia nini katika maisha ya kila siku?
Ndio mkuu unabuni tu, anza na chatgpt ,copilot, gemini zote zinagenerate picha ukiweza kuzi command ikutengenezee picha, baada ya hapo unaingia kwenye advanced levels unaanza kucheza na softwares complex za AI...So nikitaka kubuni mashine naweza
Tupe ufafanuziKuingiza pesa
Mkuuu kwa njia ya simu naweza kutengeneza na labda na gharam site yakutengeneza nimejalibu dall -3 hila nimehishia ku login basi unaweza nisadiya malifa njinsi ya kutengenezKaribu kwenye mada hii maalum kwa wapenzi wa teknolojia na ubunifu! π Katika zama hizi za akili bandia (AI), tunaweza kutengeneza picha za kuvutia kwa kutumia teknolojia ya AI.
Katika mjadala huu, tunakaribisha:
β Kushiriki picha/video zilizotengenezwa na AI.
β Kujadili uwezo wa AI katika sanaa ya kidijitali.
β Kutoa maoni na tathmini za ubunifu wa AI.
β Kuelewa mustakabali wa AI kwenye uwanja wa sanaa na ubunifu.
Unaweza kupakia picha/video zako, kuuliza maswali kuhusu mbinu bora za kutengeneza sanaa kwa AI, na kubadilishana mawazo na wengine. Je, una picha/video unazotaka kushiriki? Hebu tuone ubunifu wako!
Tuanze na picha za Valentine Day.. siku ya jana..
View attachment 3236986
View attachment 3236994
View attachment 3237001
View attachment 3237006
Onesha wapi AI imezinguaUzuri nyingi ya hizi picha za AI lazima kuna mahali wazingue tu
Unawatengenezea watu picha na video kwenye matangazo yao au platforms zaoTupe ufafanuzi