Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Hiyo ni collection ya data ambazo tayari zipo mtandaoni Mkuu. Wanazivuta kutoka facebook, Insta, Tiktok na mitandao mingine.Anayebuni hizo sura anazitoa wapi
Mfano rahisi ni labda kwako wanachukua sikio, kwangu pua, kwa mwingine macho, kule mikono na kwenye nguo wanachukua labda kwenye insta ya vunjabei. Yaani ndio vitu kama ivyo.
AI inakusanya tu taarifa na kuzitengeneza kuwa vile unataka ila sio kwamba inatoa kitu kiipya kabisa huku duniani, hapana AI haibuni ila inatumia data zilizopo tayari