komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Freedom of speech
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyinyinyo nyony nyinyinyFreedom of speech
Useless kabisaHiyo inaitwa uhuru wa kujieleza. Salvage inaendelea hadi sasa hivi. Hivi unajua foreigh force ya kwanza kutake over Kismayu kwa zaidi ya miaka 150 ni Kenya Navy.![]()
Useless kabisa
Unajua kitu ambacho huwa mnanichekesha ni kama hapo unatuma picha picha wakati hawa navy team wenu kwa ground vitu ni different kabsaaa 😂😂😂 ,![]()
Kenyan troops launch beach assault on Somali city of Kismayo
Residents shelter from the fighting as Kenyan army and Somali forces push deep into al-Shabaab strongholdwww.theguardian.com
Nyinyinyo nyony nyinyiny
![]()
Kenyan troops launch beach assault on Somali city of Kismayo
Residents shelter from the fighting as Kenyan army and Somali forces push deep into al-Shabaab strongholdwww.theguardian.com
Huyu jamaa ni jipu. Kuna siku aliibuka na lingine ambalo aliliiba kwa mkenya mwingine kutoka kule K'Ogelo. [emoji1] Farmajo Care.haha hiyo ni shida yake binafsi ila kiufupi tu ni ameshindwa kujiongeza na amesaidiwa ubunifu na fulani ingawa si sawa hata kisheria.
Alafu mkiambiwa hamna utu mnamind, navy wenu wapo baharini wanaranda randa tunavy lile tukio haliwahusu kw ule mda
No wonder we always lead Tanzania by far in the annual innovation index kwa mengine mengi zaidi ya haya.Wakenya tembeeni kifua mberee! Nakumbuka krismasi na mwaka mpya 2016/17, rais U.Kenyatta alipotoa kadi ya heri na fanaka za sikukuu. Kama ilivyo utamaduni kila mwaka kwenye ikulu ya Kenya. Kadi ambayo iliibua hisia nyingi sana mitandaoni, kwasababu ya 'animation' ya Ml. Kenya kwenye 'background', ambayo watz walidai ni Ml. Kili. Anyway, siku chache baadaye JPM naye aliibuka na kadi yake: Kutoka ikulu ya Kenya, 23/12/2016.Kutoka ikulu ya Tz, 28/12/2016.
Somalia. Hii ya rais Farmaajo ndio imeua kabisa. [emoji1][emoji1][emoji1] Kushoto: Rais U.K na agenda yake ya Big4, 12/12/2017. Kulia: Rais Farmaajo na Copy & Paste yake, 02/02/2019.
https://menafn.com/1098061383/Villa...-Kenyattas-Big-Four-Presenting-It-As-Farmajos![]()
Alafu mkiambiwa hamna utu mnamind, navy wenu wapo baharini wanaranda randa tu