Ubunifu wa wakenya na iga iga za majirani

Ubunifu wa wakenya na iga iga za majirani

pingli-nywee

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
11,923
Reaction score
13,350
Wakenya tembeeni kifua mberee! Nakumbuka krismasi na mwaka mpya 2016/17, rais U.Kenyatta alipotoa kadi ya heri na fanaka za sikukuu. Kama ilivyo utamaduni kila mwaka kwenye ikulu ya Kenya. Kadi ambayo iliibua hisia nyingi sana mitandaoni, kwasababu ya 'animation' ya Ml. Kenya kwenye 'background', ambayo watz walidai ni Ml. Kili. Anyway, siku chache baadaye JPM naye aliibuka na kadi yake: Kutoka ikulu ya Kenya, 23/12/2016.
img-20151228-wa0033-jpg.451381
Kutoka ikulu ya Tz, 28/12/2016.
56a29eb556050bebb5f67822e39bd074.jpg
Somalia. Hii ya rais Farmaajo ndio imeua kabisa. [emoji1][emoji1][emoji1] Kushoto: Rais U.K na agenda yake ya Big4, 12/12/2017. Kulia: Rais Farmaajo na Copy & Paste yake, 02/02/2019.
CopyPaste.png
https://menafn.com/1098061383/Villa...-Kenyattas-Big-Four-Presenting-It-As-Farmajos
 
tofaut ya miaka 11 na bado unafikiri kuigwa. una shida kichwani.
[emoji1][emoji1][emoji1] Umenifurahisha sana jombaa. Kwahivyo JPM amekuwa rais kwa zaidi ya miaka 11? [emoji15] Vyuma ndio vimekaza kupitiliza au ndio unatabiri yatakayojiri miaka ya hapo baadaye?
 
Nani kaiga hapo? Uhuru na Ruto back ground kuna mlima wetu Kilimanjaro na JPM kaweka mlima wa nchi anayo ongoza ..
Boss, usipandwe na hamaki kwasababu ya vitu vya 'miaka 11' iliyopita. 🙂 Ila ukitizama milima yote miwili na ilivochongeka utaelewa kwamba ni milima miwili tofauti. Alafu hakuna mkenya ambaye ana bifu na nyinyi kwasababu ya kuiga. Lazima kila kitu kiwe na original, feki na photocopy pia.
 
[emoji1][emoji1][emoji1] Umenifurahisha sana jombaa. Kwahivyo JPM amekuwa rais kwa zaidi ya miaka 11? [emoji15] Vyuma ndio vimekaza kupitiliza au ndio unatabiri yatakayojiri miaka ya hapo baadaye?
kumbe hata picha hujazielewa.
 
Hakuna shida mbona? Maisha kusaidiana.
Kwani kunaubaya kwenye kuigana ktk mazuri mkuu?
Tukiiga mabaya ya Dictator PK au Mu7 hapo sawa.Lakini mazuri simbaya
Sawa wakuu, ila ni haki kweli kufanya photocopy, neno kwa neno, kama rais Farmaajo wa Somalia alivofanya? Kisha ukawahadaa wananchi wako live kwamba ni idea yako original?
 
0Hawa wa showoff, vitu kwa ground ni different msee sasa mbona wameshindwa kufanya kazi nenda twitter au youtube ukasome comment za wakenya wenzako.
Hiyo inaitwa uhuru wa kujieleza. Salvage inaendelea hadi sasa hivi. Hivi unajua foreigh force ya kwanza kutake over Kismayu kwa zaidi ya miaka 150 ni Kenya Navy.
hmpg280912_1.jpg
 
Sawa wakuu, ila ni haki kweli kufanya photocopy, neno kwa neno, kama rais Farmaajo wa Somalia alivofanya? Kisha ukawahadaa wananchi wako live kwamba ni idea yako original?
haha hiyo ni shida yake binafsi ila kiufupi tu ni ameshindwa kujiongeza na amesaidiwa ubunifu na fulani ingawa si sawa hata kisheria.
 
Back
Top Bottom