Ubutu wa Primera Liga waanza kuthibitika

Kuna tofauti kati ya timu bora na ligi bora timu bora 2 zipo spain ila ligi bora ni epl.
 
Kuna tofauti kati ya timu bora na ligi bora timu bora 2 zipo spain ila ligi bora ni epl.

Najua umekosa mwelekeo,
Nipe takwimu muhimu tatu kati ya hizo Ligi mbili zikionesha EPL ni ligi bora.

Cos ndio nyie mnaobishana na Dunia
 
Timu inayoshika nafasi ya 3 La Liga imeifunga timu inayopambana kutoshuka daraja Epl goli 2-1.

Kumbuka Team hiyo ni sevilla iliyomfunga Bingwa mtetezi wa Ligi ya Epl pia ni team bora iliyochukua michuano ya Europa Mfululizo mbele ya Team kubwa za England zilizokuwa zikiwania nafasi tatu bora Epl

Sasa sijui unataka nini tena
 
Bingwa wa England kapigwa na team iliomaliza nafasi ya 7 la liga..kwenye round ijayo kuna dalili za la liga kuingiza team tatu.
Italy team 1, England 1, ufaransa 1, Germany 1.
Tuipe heshima la liga

Heshima yako Mkubwa
 
Kamfunga mara ngapi..??
Halafu sidhani kama unafuatilia mechi za Ujeruman au spain au france.
Ushasema hudhani!! Mechi za la liga nafuatilia kwa maana mimi ni madridista.
Halafu kama nafuatilia au sifuatilii whats the point?
Bado haiondoi pint yangu kuwa barca kachukua La liga mara 6 jati ya miaka nane ya mwisho
Wakat bayern kachukua mara 4 na now anaenda kuchukua mara ya 5 mfululizo.

EPL tangu mwaka 2009/10 hakuna tu alowahi nanyua ubingwa mara mbili mfululizo.
Hakuna top 4 iliyokuwa consitent mara 2 mfululizo.

Data zonaongea kabsa
 
Kumbuka Team hiyo ni sevilla iliyomfunga Bingwa mtetezi wa Ligi ya Epl pia ni team bora iliyochukua michuano ya Europa Mfululizo mbele ya Team kubwa za England zilizokuwa zikiwania nafasi tatu bora Epl

Sasa sijui unataka nini tena

Sevilla iliyomaliza nafasi ya 7 msimu uliopita iliifunga Liverpool iliyomaliza nafasi ya 9 msimu uliopita. Na sasa inashika nafasi ya 3 imeifunga timu inayoshika nafasi ya 17 goli 2-1
 
Sevilla iliyomaliza nafasi ya 7 msimu uliopita iliifunga Liverpool iliyomaliza nafasi ya 9 msimu uliopita. Na sasa inashika nafasi ya 3 imeifunga timu inayoshika nafasi ya 17 goli 2-1
Hata Usibishane nao tushawazoea hawa Na sidhan kama hata wanaangalia hyo lig wao wanayoiita ligi boraa

Hiv kweli mtu unashangaa sevilla kumfunga leciester Wakati mtu kwenye ligi huku anapigwa kila kukichaaa

EPL itabaki kuwa ligi Maarufu na LIGI pendwa DUNIANI Mpaka mwsho wa Dunia [HASHTAG]#OVEEEEER[/HASHTAG]
 

Ndio maana nasema hivi hamuwezi kulinganisha hizo ligi ni vitu kama mia ambavyo ni tofauti sana, Spain Kuchukuliwa na Barca au Madrid au Atletico, ni kwasababu ndio Team zinaweza kusajili watu wakubwa na wenye uwezo spain, ndivyo ilivyo Germany au France na pia England.
Ila Unapozungumzia ubora au Ubutu wa ligi ni pale ligi zote zinapokutana na kushindana. sasa swali langu kwako ni hili hapa na ukishindwa kujibu hili swali Basi wewe si Mshindani;

Ndani ya Miaka mitano, Team gani ya EPL iliyobeba EUFA au EUROPA na mara ngapi..??
 
Sevilla iliyomaliza nafasi ya 7 msimu uliopita iliifunga Liverpool iliyomaliza nafasi ya 9 msimu uliopita. Na sasa inashika nafasi ya 3 imeifunga timu inayoshika nafasi ya 17 goli 2-1

Naomba ni kujibu ki soccer + takwimu +Ubora zaidi

Tottenham ilikuwa ya 3 kumaliza kwenye Msimu uliopita ila ilitolewa na Dortmund nayo ilikuwa ya 2 kumaliza kwenye ligi yao. tuko hapo..?
Liverpool ilikuwa ya tisa kumaliza ila ilifanikiwa kuitoa Dortmund kwenye michuano hiyo na kukutana na Sevilla ambayo ilikuwa ya saba kumaliza kwenye ligi yao na kufanikiwa kuchukua Europa.

Je Team gani iliyo bora kati ya hizo na ligi ipi bora..???
 

Unasahau kwamba EUFA ni Michuano inayowakilishwa na TEAM bora katika Ligi mbali mbali akiwemo Leciester kutoka EPL,
Ila Sevilla alikuwa wa 7 kwenye ligi ya spain, na kuingia EUFA kupitia Europa
 
Viwangoless mnashindani nyinyi kwa nyinyi na ndo maana UEFA na Europa mnapotea vibayaa
 
Timu inayoshika nafasi ya 3 La Liga imeifunga timu inayopambana kutoshuka daraja Epl goli 2-1.
Sasa team mbovu Inayopambana kutoshuka daraja kama leisester kuchukua ligi nyie mnaona ni ushindani ila sisi tunaona ni ubovu wa ligi. Bingwa mtetezi wa la liga Barcelona kwasasa yupo katika kiwango kibovu kuwahi kutokea kwenye miaka 10 iliopita ila haiwezi kufungwa na team ya 7 epl (west ham). Real Madrid ni kati ya team bora ulaya ila hajachukua ubingwa wa laliga wanamwaka wa 8 sasa, wakati huko epl mtu yoyote anachukua tu ligi hata Leicester. Kama Madrid hawawezi kuchukua ubingwa wa la liga kuna team gani ya epl itaweza?
 

Madrid inayoongoza La liga imefungwa na timu inayopambana kutoshuka daraja
 
Unasahau kwamba EUFA ni Michuano inayowakilishwa na TEAM bora katika Ligi mbali mbali akiwemo Leciester kutoka EPL,
Ila Sevilla alikuwa wa 7 kwenye ligi ya spain, na kuingia EUFA kupitia Europa
Ubishi wako uko mbioni kumalizika .
 
Ligi ikiwa bora haimaanishi kwamba timu zake hazifungwi,tuambie ligi ipi ni bora na vigezo vyake pia
 
Huna hoja muhimu
Na mada yako hapo juu ni bora ufute cos haina Mashiko
Mimi ni mchambuzi wa soka wa kimataifa na pia ni mfadhili wa Simba , nimekwisha sema ubishi wako unaelekea kwisha , endelea kubaki hapahapa Jf .
 
Ushindani unaozungumzia ni wa nani na nani?kukamiana kwa timu za england hakufanyi ligi yao kuwa bora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…