Tetesi: Ubuyu Exclusive; Tunda Sabasita abeba mimba ya diamond platnumz

Tetesi: Ubuyu Exclusive; Tunda Sabasita abeba mimba ya diamond platnumz

mbele ya pesa kuna mwenye sauti?
hadi mzazi anaufyata
huyu mtoto hapo alipo anatembelea magari hata wazaz wake wanayaota tu.anaish hoteli za nyota tano na apartment sio nyumban kwao...
milo yake mfano lunch anapiga za kuanzia 15000 had 30000
sasa piga hesabu siku nzima
bado mavaz yake harudii
inasekana kuna bonge la jumba more than 100 million anajenga
baba mwenyewe afande tu wa kuomba rushwa..atamkaziaje?anaanzaje kumpiga bitu et rud shule ukasome
hawez
Asee kwa nguvu ya dolali hapa duniani kweli mzazi kama hayupo vema kiuchumi lazima ajifanye kama hamuoni.
 
Asee kwa nguvu ya dolali hapa duniani kweli mzazi kama hayupo vema kiuchumi lazima ajifanye kama hamuoni.
acha tu..ukijifabya kumtafuta mwanangu nisaidie elfu kumi nimechacha leo..mara paap msg ya tigopesa umepokea laki 7 kutoka kwa tunda sabasita..
utafanyaje?
 
Kuna watoto wametokea familia nzuri lakini wazazi walishindwa kuwakazia watoto.... Kwangu naona pesa ni moja ya factor tu.

Tabia na malezi ndicho kikubwa.
Kumlea mtoto wakike akakaa sawa kimaadili ni kazi Sana Mkuu, ni kumuomba Mungu tu akuongozee mwanao.
 

Huyu anaonekana ana ' Mbunye ' nzuri halafu tamu mno kwani mdomo wake tu na ulimi ulivyo vinaonyesha ' burudani ' tosha ya ' Kibaiolojia ' aliyonayo. Kama Diamond ' kampakuwa ' ni jambo jema na nampa big up sana. Ukiwa na Hela lazima uhakikishe ' unawakanyaga ' vizuri Mademu wanaojipendekeza ili kujenga heshima na nidhamu. Diamond kweli ni Simba wa ' Mbunye ' na hatanii.
 
Back
Top Bottom