Asee kwa nguvu ya dolali hapa duniani kweli mzazi kama hayupo vema kiuchumi lazima ajifanye kama hamuoni.mbele ya pesa kuna mwenye sauti?
hadi mzazi anaufyata
huyu mtoto hapo alipo anatembelea magari hata wazaz wake wanayaota tu.anaish hoteli za nyota tano na apartment sio nyumban kwao...
milo yake mfano lunch anapiga za kuanzia 15000 had 30000
sasa piga hesabu siku nzima
bado mavaz yake harudii
inasekana kuna bonge la jumba more than 100 million anajenga
baba mwenyewe afande tu wa kuomba rushwa..atamkaziaje?anaanzaje kumpiga bitu et rud shule ukasome
hawez
Huwezi kuwa sio mpenzi wa ubuyu afu uje huku
Kuna watoto wametokea familia nzuri lakini wazazi walishindwa kuwakazia watoto.... Kwangu naona pesa ni moja ya factor tu.Asee kwa nguvu ya dolali hapa duniani kweli mzazi kama hayupo vema kiuchumi lazima ajifanye kama hamuoni.
Kwan hili ni jukwaa la Ubuyu?Huwezi kuwa sio mpenzi wa ubuyu afu uje huku
Umevuka koote hadi jukwaa la mapenzi umevuka
sio tu ubuyu ila ubuyu exclusive
Ubuyu baby umeshindasio tu ubuyu ila ubuyu exclusive
acha tu..ukijifabya kumtafuta mwanangu nisaidie elfu kumi nimechacha leo..mara paap msg ya tigopesa umepokea laki 7 kutoka kwa tunda sabasita..Asee kwa nguvu ya dolali hapa duniani kweli mzazi kama hayupo vema kiuchumi lazima ajifanye kama hamuoni.
ndio.jeusi hivi refuHivi Tunda ni mtoto wa Sabasita askari katili??
Kumlea mtoto wakike akakaa sawa kimaadili ni kazi Sana Mkuu, ni kumuomba Mungu tu akuongozee mwanao.Kuna watoto wametokea familia nzuri lakini wazazi walishindwa kuwakazia watoto.... Kwangu naona pesa ni moja ya factor tu.
Tabia na malezi ndicho kikubwa.
Hance anatuigizia hapa eti mimba ya mondi ili wale wote na kipenzi chake tunda zile milioni 5 na rav4Hance wa tunda
View attachment 624450huyu hapa.
ni porn star?..View attachment 624450huyu hapa.