UBUYU: Sababu ya ugomvi wa kocha wa CB Belouzidad na mchezaji wake. Hii ni skendo kubwa kwa mpira wa Algeria

UBUYU: Sababu ya ugomvi wa kocha wa CB Belouzidad na mchezaji wake. Hii ni skendo kubwa kwa mpira wa Algeria

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,134
Reaction score
3,834
short story : kocha alimpiga Na chupa ya maji mchezaji.


for more details here

Screenshot_20240225_014910_Chrome.jpg
Screenshot_20240225_014739_Chrome.jpg
Screenshot_20240225_014650_Chrome.jpg
Screenshot_20240225_014015_Chrome.jpg
 
Dah! Yanga inawasababishia watu maafa aisee.
Mkuu Kuna kitu naomba nikuulize, Jana Kuna kitu nimeshangaa sana nahisi huyu kocha na wachezaji wake watakua wamelogwa sijui au ni ujinga kichwani.... Hata wa yanga sikuwaelewa


Hawa jamaa ni kama walikuja zuia wapate hata draw... Wakaana 1st half kwa kupaki basi... Baada ya kuruhusu goli la kwanza nadhani 2nd half wakaja na plan Hio Hio wapaki basi wacheze counter ndipo wakashangaa ndani ya dakika 5 washapigwa chuma mbili

Sasa matokeo ya 3-0 bado hayakua mabaya sana maana wangetegemea yanga afungwe ye ashinde.... Kwenye dakika za 75 naona kina diarra wakaanza kupoteza muda ikiwa bado 3-0 nikawa siwaelewi kabisa nao... Ilipofika dakika ya 80 kwa kua huwezi rudisha goli nilitegemea jamaa wajilinde zaidi ili wafungwe hata 3-0 ndo kwanza wakajazana mbele wakaruhusu goli la nne

Technical kocha alifeli sana kuhandle dakika za mwisho akaruhusu goli na 4
 
Mkuu Kuna kitu naomba nikuulize, Jana Kuna kitu nimeshangaa sana nahisi huyu kocha na wachezaji wake watakua wamelogwa sijui au ni ujinga kichwani.... Hata wa yanga sikuwaelewa


Hawa jamaa ni kama walikuja zuia wapate hata draw... Wakaana 1st half kwa kupaki basi... Baada ya kuruhusu goli la kwanza nadhani 2nd half wakaja na plan Hio Hio wapaki basi wacheze counter ndipo wakashangaa ndani ya dakika 5 washapigwa chuma mbili

Sasa matokeo ya 3-0 bado hayakua mabaya sana maana wangetegemea yanga afungwe ye ashinde.... Kwenye dakika za 75 naona kina diarra wakaanza kupoteza muda ikiwa bado 3-0 nikawa siwaelewi kabisa nao... Ilipofika dakika ya 80 kwa kua huwezi rudisha goli nilitegemea jamaa wajilinde zaidi ili wafungwe hata 3-0 ndo kwanza wakajazana mbele wakaruhusu goli la nne

Technical kocha alifeli sana kuhandle dakika za mwisho akaruhusu goli na 4
Gamondi alisema mbinu zitatumika zaidi wakati wa kujilinda na wakati wa kushambulia..Waarabu wakawahiwa
 
Mkuu Kuna kitu naomba nikuulize, Jana Kuna kitu nimeshangaa sana nahisi huyu kocha na wachezaji wake watakua wamelogwa sijui au ni ujinga kichwani.... Hata wa yanga sikuwaelewa


Hawa jamaa ni kama walikuja zuia wapate hata draw... Wakaana 1st half kwa kupaki basi... Baada ya kuruhusu goli la kwanza nadhani 2nd half wakaja na plan Hio Hio wapaki basi wacheze counter ndipo wakashangaa ndani ya dakika 5 washapigwa chuma mbili

Sasa matokeo ya 3-0 bado hayakua mabaya sana maana wangetegemea yanga afungwe ye ashinde.... Kwenye dakika za 75 naona kina diarra wakaanza kupoteza muda ikiwa bado 3-0 nikawa siwaelewi kabisa nao... Ilipofika dakika ya 80 kwa kua huwezi rudisha goli nilitegemea jamaa wajilinde zaidi ili wafungwe hata 3-0 ndo kwanza wakajazana mbele wakaruhusu goli la nne

Technical kocha alifeli sana kuhandle dakika za mwisho akaruhusu goli na 4
Mkuu ipo hivi hawa jamaa wanajua kabisa sheria ni ipi inayotangulia kufanya kazi endapo mnalingana point. Hivyo wakati wamefungwa magoli matatu ikabidi washambulie kwa kasi ili wapate goli moja. Wangefanikiwa kupata goli moja tu lingeharibu kila kitu kwa Yanga. Ingeibidi Yanga watafute magoli mawili zaidi yaani wawe na magoli matano. Kwasababu goli la ugenini lingehesabika hapo.

Na mwisho kabisa walijua kama game ingeisha kwa matokeo ya 3-0, Belouizdad wangekuwa na kazi kubwa sana ya kumfunga Medeama goli 4 ili aweke sawa mzani wa Goal difference dhidi ya Yanga.

Je kipi bora kati ya kutafuta goli moja tu hapo hapo au kutafuta goli nne mechi ya mwisho?
 
Mkuu ipo hivi hawa jamaa wanajua kabisa sheria ni ipi inayotangulia kufanya kazi endapo mnalingana point. Hivyo wakati wamefungwa magoli matatu ikabidi washambulie kwa kasi ili wapate goli moja. Wangefanikiwa kupata goli moja tu lingeharibu kila kitu kwa Yanga. Ingeibidi Yanga watafute magoli mawili zaidi yaani wawe na magoli matano. Kwasababu goli la ugenini lingehesabika hapo.
Sawa ndo nakuuliza dakika ya 80 ilipokua 3-0 kwanini wasingepaki tu basi ili yanga asipate goli la nne... Ndo kwanza wachezaji wao wakawa wanakimbilia kuwahisha mipira uwanjani badala ya kupoteza muda... Nilishangaa sana aisee
 
Sawa ndo nakuuliza dakika ya 80 ilipokua 3-0 kwanini wasingepaki tu basi ili yanga asipate goli la nne... Ndo kwanza wachezaji wao wakawa wanakimbilia kuwahisha mipira uwanjani badala ya kupoteza muda... Nilishangaa sana aisee
walikosea kufunguka, na okra aliwatisha zile mbio. pia wachezaji wa yanga jana walikuwa vizuri sana, walipania, jana wangeweza hata kufunga 6 kama wangekuwa makini.
 
Sawa ndo nakuuliza dakika ya 80 ilipokua 3-0 kwanini wasingepaki tu basi ili yanga asipate goli la nne... Ndo kwanza wachezaji wao wakawa wanakimbilia kuwahisha mipira uwanjani badala ya kupoteza muda... Nilishangaa sana aisee
Mzee umesoma ukanielewa kweli?
 
Back
Top Bottom