Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,921
Nimesha fahamu sasa mkuu, wewe ni me, usijaliMawazo yako mkuu, nimeandika kawaida kabisa... kwamba Da Mange kasema Dai anamiliki asilimia 20. Sasa huo mtindo unaosema ni wa kike uko wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesha fahamu sasa mkuu, wewe ni me, usijaliMawazo yako mkuu, nimeandika kawaida kabisa... kwamba Da Mange kasema Dai anamiliki asilimia 20. Sasa huo mtindo unaosema ni wa kike uko wapi?
Kwenye dunia ya biashara inawezekanaKwa hyo kusaga na ruge wana bifu.ILA WAO WENYEWE HAWAJUI ANAKUJA KUJUA MANGE?kusaga aache clouds akaanzishe wcb radio?
Hapa pagumu kidogo KUAMINI.
Hadi wakike wapo mkuu.. jinsi ulivyo andika na Id yako ilivyo nimepata utata.
Umeona ee, kiukweli kwa mwanaume yoyote lzm utata auone tuu,[emoji3]utata umekuja zaidi,,Pale aliposema Da Mange[emoji3]
Ana 20% according to mangeYani nimechoka kwa kweli! Najiuliza tu hatakuwa hata na % hapo??? Maana kila kitu naona sio chake lol
HAUWEZI KUSHIRIKI KUIBOMOA NYUMBA YAKO MWENYEWE.Kwenye dunia ya biashara inawezekana
AiseeeeAna 20% according to mange
Umbea kama umbea mwingine tu!..Kwani Ruge na Kusaga hawana mkataba wa nani boss, nani mmiliki na nani mtendaji?...Mwambieni Mange aruhusu critics sio taarifa tu!.watalaam wa uchumi hebu toeni tafakuri
unaweza kuyachukia mafanikio yako?
Kama sijakosea IPP specially ITV na Radio One vilikua vinalalamikiwa kwamba mishahara yao midogo sana na wengine hawana mikataba ya ajira pale, ikasifiwa Clouds Media kwamba ina walipa vizuri sana watangazaji wake pamoja na uhuru wa creativity na innovations!..Clouds waende Mpitimbi sasa tumewachoka
Atachezea ban huyo akija hapa maana hawezi handle ataishia kutoa matusi tu.Umbea kama umbea mwingine tu!..Kwani Ruge na Kusaga hawana mkataba wa nani boss, nani mmiliki na nani mtendaji?...Mwambieni Mange aruhusu critics sio taarifa tu!.
Akishindwa aje JF sasa!!..
Mijadala yake tutaifanyia jukwaa la wakubwa kupunguza watoto![emoji2]Atachezea ban huyo akija hapa maana hawezi handle ataishia kutoa matusi tu.
Hata mimi pananiloga hapo.Kwa hili mange bado ajaja na ukweli kamili.Kwa hyo kusaga na ruge wana bifu.ILA WAO WENYEWE HAWAJUI ANAKUJA KUJUA MANGE?kusaga aache clouds akaanzishe wcb radio?
Hapa pagumu kidogo KUAMINI.