Ubuyu wa Diamond, Ruge na Kusaga

Halafu ruge angekuwa genius kweli si angeanzisha chake na yeye basi akikuze kiipite hiyo clouds? Sasa huyu genius anaekakaa kunyengwa malipo na mwenye kituo anaugenius kweli?
Ruge sio genius bali ni mpishi wa fitna.
 
Acha wauwane na wazikane hatanihusu kwanza wote wanatokea chama kile
 
Kosa kubwa la Nyerere ni kutufanya watanzania kuwa wachawi wa asili,nadhani haya ndo madhara ya mwenge kukimbizwa nchi nzima(utani) labda siku mwenge ukikoma na sisi tutaacha uchawi.
Sawa mkuu tumekuelewa lakini usiwe unaquote uzi mrefu hvyo unatupa tabu watumiaji wa simu
 
Umejikita katika maswali. Leya majibu
 
Mimi nina mpango wa kuanzisha WACHAFU TV, mwambieni Mange aandike hii habari huko Instagram.
 
Tatizo lawabongo sio wabunifu yaani tulishakariri ili mmoja aendelee nilazima tuangalie wakumshusha kwani haiwezekani hiyo wasafi TV/radio kuwepo bila kuishusha clouz?
 
Wanaomwamini huyu dada nahisi wana upungufu wa akili, eti diamond karanga ni ya Kusaga. Mwongo na mpotoshaji mkubwa, hiyo ni mali ya wahindi wa Smart wale wanaotengeneza chips snack
Kusaga ni partner kwenye hiyo kampuni na diamond ni balozi wao
 
Huyo Manzi kashawashika akili wengi.. story zake nyingi mpaka atumiwe ila za kutunga yeye.. huoni hata ukweli upo wapi.. &#/ na inshort ya kwamba mondi atapotea hlo asahau..


Tena wa kujiangalia zaidi ni Mond................... maana hata Shigongo keshamualart kuhusu anguko lake. just stay turn na atakayemuangusha ni Aslay let us see
 
[/Color=Red]HUYU NA HAO WAPUUZI WENZAKE WANAO MFLLOW NDO WANAMPA KICHWA[/color]
Mechi ya Mshana Jr unaimudu?
 
Prove me this wrong, I stand to corrected and accepted, naskia jamaa ni drug dealer na alishapigwa ban kuingia marekani, na project zote za USA utamwona diamond na tale, yeye alishanyang'anywa viza ya US baby
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…