Hiyo imejidhihirisha pale neno Dada lilipokufanya uamini mi wa kike. Maana yake hutegemei jinsia ya kiume kutamka hilo neno. Yani hujui jina la heshima kwa mdada alokuzidi umri au hata mlokuwa rika mojaMkuu njoo na ushahidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo imejidhihirisha pale neno Dada lilipokufanya uamini mi wa kike. Maana yake hutegemei jinsia ya kiume kutamka hilo neno. Yani hujui jina la heshima kwa mdada alokuzidi umri au hata mlokuwa rika mojaMkuu njoo na ushahidi
Unaona matatizo yako... Da nimefupisha tu ktk kuandika na pia lengo ni kufikisha ujumbe ambao umefikaSema dada, da ndio nini?
Sema dada wewe! Da ndio kitu gani!Hiyo imejidhihirisha pale neno Dada lilipokufanya uamini mi wa kike. Maana yake hutegemei jinsia ya kiume kutamka hilo neno. Yani hujui jina la heshima kwa mdada alokuzidi umri au hata mlokuwa rika moja
Naonaga Ruge hana kitu maana kila kinachosikika ni Kusaga, Ruge aanzishe biashara zake bhanaDiamond karanga ni mali ya kusaga aisee kuna clips inaonyesha kabisa nadhani hata tatu mzuka ni ya kusaga
Wengi kweli wapumzike kuingilia yasituhusu[emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Haya umeshinda! Changia mada husikaSema dada wewe! Da ndio kitu gani!
Sio kila dada ni wakuheshemu, akijiheshimu naye ataheshimika automatically
Tuache kuingilia yasiyotuhusuANAFUNGUKA MWANDISHI : . Eti Ruge manager wa @diamondplatnumz ????hivi THT kuna hata mmoja alifikia level za @diamondplatnumz ,pia Ruge yeye anaitangaza Tigo miaka yote,leo msanii wake aingie ubia na Voda. Saidi Fella kwahiyo alikuwa hamiliki Yamoto Band?wakati @aslayisihaka anakua tunamuona kwa Fela na sio kwa Ruge.Labda waseme Ruge huwa mtoa support kwa wasanii anaowaona wanakuja juu. Kina Lina,Mwasiti,Recho,Barnaba,wako wapi?sialikuwa anawatengeneza.Msanii gani wa Ruge alifika kama level za @diamondplatnumz ?Jamani @diamondplatnumz hata kama ana manager wake lakini na yeye anajuwa kuhangaika,kujituma,kujipendekeza hadi hapo alipofikia.Mimi sio team Kiba ila sipendi kumuona mtu anamuharibia Kiba ili apotee kabisa,na hiyo team mond hawanaga. Hebu tumuache Mondi ajitafutie maisha yake jamani.Trump amesema tunaacha ndizi zetu tunaenda kutafuta ndizi za watu wengine. By John Shayo
Aje JF mara ngapi? Si ndo Lara1Umbea kama umbea mwingine tu!..Kwani Ruge na Kusaga hawana mkataba wa nani boss, nani mmiliki na nani mtendaji?...Mwambieni Mange aruhusu critics sio taarifa tu!.
Akishindwa aje JF sasa!!..
duh!!..Aje JF mara ngapi? Si ndo Lara1
Mkuu kiukweli mimi hizo habari zizielewagi kabisa, nimejaribu kufwatilia baadhi ya komenti sipati connection. Ndio maana nikaja kwenye comment yako tofauti!Haya umeshinda! Changia mada husika
UMEONA ENH!Ufikiri wa akili namna hii haufai kwenye umbea...umbea unataka we umuamini tu wholeheartdly anaekupa umbea bila kuhoji wala ku judge.... Usitumie akili kubwa ku encrypt codes za umbea mkuu,ni matumizi mabaya ya rasilimali
AHAHAHHAHAHAHHAA IMAGINE!Mange huwa anajikanganya sana, anakufanya msomaji kama mtoto mjinga tu.
Hili swali ukimuuliza insta anakublok.
Hivi inaingia akilini kweli umuachie mtu kituo chako ukaanzishe kingine? Umuachieje sasa umemuuzia au umekisusa? Hivi mange anaijua maana na thamani ya Goodwill kwenye biashara?
Kusaga hamna kitu injini ni ruge bila ruge hakuna clouds, na kusaga analijua hilo sasa hajiulizi hiyo wasafi tv na radio zitawezaje bila ruge? Si na zenyewe zitaanguka kama clouds bila ruge?
Hapohapo unasema clouds inaenda kufa sasa inaendaje kufa huku genius ruge yupo? Au u genius umepungua kidogo?
Hizi ni hadithi za paukwa pakawa.
Halafu ruge angekuwa genius kweli si angeanzisha chake na yeye basi akikuze kiipite hiyo clouds? Sasa huyu genius anaekakaa kunyengwa malipo na mwenye kituo anaugenius kweli?AHAHAHHAHAHAHHAA IMAGINE!
MI NIKAJUA WANAONDOKA NA RUGE!
sasa kama kubwa la maadui linabaki clouds!
si ina maana whatever made clouds shining is there to stay!
INAKUFAJE SASA?