Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
Alikiba NYE NYE NYE NYE... Alikiba MOBINBA
Nadhani leo mzee wa YOOOO anachekelea
Nadhani leo mzee wa YOOOO anachekelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbeee, basi itakuwa juu zaidi ya clouds maana ni ya Mr. MastermindNasikia sikia ni ya Ruge
Haaaa au mpingi kumbe wew wa kunyumba.Clouds waende Mpitimbi sasa tumewachoka
She is too sillyNiliwahi kumpasha ukweli Mange akaniblock! Mange is a coward, ni mwepesi kuliko unyoya.
Hana kifua cha kuhimili hoja nzito. Ni vile tu kajificha nyuma ya keyboard na kwenye nchi za watu.
Yule ni pumbafu mmoja ambae kawakusanya wapumbavu wenzake.Umbea kama umbea mwingine tu!..Kwani Ruge na Kusaga hawana mkataba wa nani boss, nani mmiliki na nani mtendaji?...Mwambieni Mange aruhusu critics sio taarifa tu!.
Akishindwa aje JF sasa!!..
tukipata watu wengi Kama wewe hii nchi itaendelea Sana, mange kimambi na lemutuz ni watu wepesi Sana ukiwa challenge kidogo kwa hoja za uhakika wana panic na kuishia kukublock na kukutukana
Kwa wapenda ubuyu,Mange kaliamsha dude huko...!!
![]()
Ubuyu tayari upo mezani kimbieni huko!!
Part 1.
Mimi Tena nilete janja janja ya Sallam toka lini?? .
.
Story iko hivi. Mnaonijua toka enzi za uturn I think mtakuwa mnakumbuka kuwa nilishawahi kuwaambia kuwa meneja wa Diamond ni Ruge sio hao mashankupe kina Sallam.Hii ilikuwa ni siri kubwa mnoo. Ruge ndie aliekuwa meneja wa Diamond tangu Diamond anaanza mziki. Ruge ndio the brains behind success ya Diamond Platnumz. He is the mastermind ya career ya huyo mtoto.Ruge ndie aliewaomba Salaam na BabuTale wajifanye wao ndo mameneja wa Diamond. Si mnajua ingejulikan Diamond meneja wake Ruge Maneno yangekuwa mengi kuwa anabebwa na clouds and so forth. Ndo maana mnaona Diamond alikuwa anapata connection za collabo na wasaniii wa nje wengiii wakawa wanajifanya eti Sallam ndo anaetafuta hizo deals no it was all Ruge sabbau Ruge anajuana na hao watu wooote.Sasa miaka yoooote hii, Cut ya meneja aliekuwa anaila ni Ruge. Yani kila kazi aliyokuwa anafanya Diamond cut alikuwa anabeba Ruge then Ruge ndo anawapa chao kina Salaam na Babutale..
.
.
Hata Yamoto band meneja wao alikuwa Ruge sio BabuTale. Kama Aslay ataweza kuongea ukweli atawaambia Babutale alikuwa cover tu. Na ndo maana Yamoto Band waliblow up, na ndo maana Diamond aliblow up, It was all Ruge behind the scenes. Hata Lady Jaydee meneja wake alikuwaga Ruge.
.
.
Ngojeni niwaambieni kitu Ruge ana matatizo tena makubwa most ya matatizo la Ruge ni kwenye kuwanyenga wasaniii pesa. Hilo ndo tatizo la Ruge.Ila jamani naomba niwaambie Tanzania nzimaaaa kwenye entertainment industry hakuna kichwa kama Ruge. Jamani yule kaka sio mtu wa nchi hiii. Anajua entertainment.Na ndo maana Diamond alitulia na Ruge miaka yote hii, yawezekana Ruge alikuwa anamuonea cut yake ila mwisho wa siku alim-manage vizuri mnoo. Mimi nna ushahidi wa Ruge kumnyenga Diamond pesa. Mnakumbuka Diamond alisemaga kuwa Show kubwa aliyowahi kulipwa maisha yake yooote ni Diamonds are forever , jamani muongo ile show Diamond hakupewa hata senti na Ruge. Ile show mi mwenyewe kidogo ninyonyane macho na Ruge sababu alitaka kuniingiza mjini.Niliandaa ile show na Ruge Ila Diamond sababu Ruge meneja wake na anaona anapoifikisha career yake akawa anasema ile show ndo alillipwa sana.hayo ndo matatizo ya Ruge
Part 2.
Ila baadae Diamond alikuja kuwa mjanja akawa hakubali kabisa Ruge kumnyenga, wakawa wanaenda sawa. Anyways Diamond makes a lot of money so Ruge definitely alikuwa hamwibiii kihivyo. Na nawaambia 100% bila Ruge Diamond asingekuwa hapo alipo.
.
.
Okay nishawapa historia fupi ya Ruge na Diamond. Sasa tuende mbele kidogo.
.
.
Hii story ntakayotoa hapa nahisi hata Ruge na clouds nzima leo watapa msiba mkubwaaaa mnoooo.Joseph Kusaga ameamua kuivest pesa yake sehemu ingine. Na hiyo sehemu ni Diamond. Apparently ni kwamba Clouds kuna matatizo makubwa, na Ruge amekuwa dizaini kama anamsumbua Kusaga kuhusu ownership. Ukweli ni kwamba hakuna clouds FM bila Ruge Mutahaba. Ruge is the brains behind clouds. Ruge akiondoka cloudsleo, kesho tutawasahau . Jamani tumchukie tunavyotaka, hafai kuwa boyfriend wala mume wa mtu ila kwenye entertainment lets give credit where its due, the man is a fucking genius. Na kuna issue ya ownersship pale na Ruge nae anataka more sababu anaona ni kazi yake. As much as Ruge anawanyenga wasanii chao na yeye Clouds hawampi anachostahilo bila yeye Hakuna kitu. Ndo hivyo Kusaga slowly ana walk away from clouds. pia nimeambiwa kuna a lot of financial issue na clouds, madeni sijui kodi, na dadake Joseph .
.
Jamani ni hivi Hiyo Wasafi Radio and Wasafi TV Joseph Kusaga ndio owner by 80%, Diamond ana own 20%. All the investment ya Wasafi Radio na Wasafi TV amefanya kusaga. Hiyo wasafi online 95% owned by Joseph Kusaga. Diamond Karanga 100% owned by Joseph Kusaga. Chibu Perfume 100% owned by Johaina Kusaga, mke wa Joseph Kusaga. .
.
Clouds na Ruge sijui why wanagombana na Wasafi? Hapa Tatizo ni Joseph Kusaga. Bila Joseph Kusaga kusingekuwa na wasafi radio wala Wasafi TV. Ruge mwenyewe hii leo atapata shock na clouds nzima nahisi watapa msiba. Sababu they don’t know anaewafuck ni MD wao ambae ana believe while heartedly kuwa Clouds is going down. .
.
Jamani mpaka hiyo ofisi mpya ya wasafi Joseph Kusaga ndo kalipia kodi yoooote. .
.
Na ndo maana mnawaona kina Sallam wanamchokonia Ruge lakini kwa Kusaga wanatuliza pumbu zao. Ni sababu Kusaga ndo money roller.
Part 3.
At the end of the day, Jospeh Kusaga ndio anaeiletea completion clouds kisirisiri na ndio anaeiua clouds. .
.
Kwa hiyo wala tusidhani kuwa wasafi TV and Radio zitakuwa za mchezo mchezo, they will be biig. .
.
Alafu mnaambiwa Kusaga na Bashite wamekuwa mabesti balaaaaaaa. Yani Bashite hana Issue na clouds Issue yake ni Ruge na wake Shilawadu sababu Shilawadu ni watoto wa Ruge wale. So hii project mpya Bashite anaipongeza kwa mikono minne. Kawahakikishia vibalo and everything else.
.
.
So mnafki hapa ni Joseph Kusaga, yeye ndio ambae cause balaa lote hili alafu kakaa pembeni watu wanadhani hii ni vita ya wasafi na clouds. .
.
Sasa jiulize je Kina Salaam na BabuTale wanapata nini jinsi wanavyomtia upepo Diamond hili bifu na Ruge. Kumbukeni kina Sallam hawakuwa wanapata Cut ya umeneja. Cut ilikuwa ya Ruge then Ruge ndo anawapa wao.Na walikuwa wanaona kama Ruge anawalalia, ila wanashindwa kuelewa kuwa Ruge ndo aliewatoa, ruge ndo aliemfundisha Salaam kazi yooote ya umeneja Ruge ndo kafanya tunajua kwa kuwafanya mameneja hewa wa Diamond na Yamoto Band. Sasa kina Sallam wanamchochea Diamond sababu Diamond akiachana na Ruge jiulize Nani atakaekuwa Real manager wa Diamond na atakuwa anapokea cut yooote ya umeneja?? You guess it right? Salaam na BabuTale.... So huu ugomvi ni mzuri kwa mifuko yao, now hawatokuwa chini ya Ruge Tena watakuwa wanapokea chao choooote..
.
.
Anyways, Sijui Why Diamond nae anakubali kumpampiwa labda ndo hivyo madili ya Kusaga, huku Bashite, lakini Diamond ajue pia ana risk career yake. Mimi personally nimeona wanamuziki woooote waliokuwa managed na Ruge walipoachana na Ruge they went down!!! Anyways, labda Diamond itakuwa tofauti kwake. Alafu ni bora angeachana na Ruge kibinadamu, Diamond akumbuke Ruge alimpotoa na alipo leo. Hakufikishwa hapo na Sallam, BabuTale, Bashite wala Joseph Kusaga, alifikishwa hapo na Ruge Mutahaba.
.
.
Ruge anaboa na simpendagi sababu ya mambo yake ya Magufuli Ila Diamond anaweza kuja kujutia baadae... Na hapo mjue LiBashite ndo linampapu Diamond zaidi.... Sasa jiulize Bashite ataweza kum-manage Diamond in his career? Au wanadhani now Salaam ataweza kum-manage wakati before Salaama alikuwa anatumwa n
Kwa wapenda ubuyu,Mange kaliamsha dude huko...!!
![]()
Ubuyu tayari upo mezani kimbieni huko!!
Part 1.
Mimi Tena nilete janja janja ya Sallam toka lini?? .
.
Story iko hivi. Mnaonijua toka enzi za uturn I think mtakuwa mnakumbuka kuwa nilishawahi kuwaambia kuwa meneja wa Diamond ni Ruge sio hao mashankupe kina Sallam.Hii ilikuwa ni siri kubwa mnoo. Ruge ndie aliekuwa meneja wa Diamond tangu Diamond anaanza mziki. Ruge ndio the brains behind success ya Diamond Platnumz. He is the mastermind ya career ya huyo mtoto.Ruge ndie aliewaomba Salaam na BabuTale wajifanye wao ndo mameneja wa Diamond. Si mnajua ingejulikan Diamond meneja wake Ruge Maneno yangekuwa mengi kuwa anabebwa na clouds and so forth. Ndo maana mnaona Diamond alikuwa anapata connection za collabo na wasaniii wa nje wengiii wakawa wanajifanya eti Sallam ndo anaetafuta hizo deals no it was all Ruge sabbau Ruge anajuana na hao watu wooote.Sasa miaka yoooote hii, Cut ya meneja aliekuwa anaila ni Ruge. Yani kila kazi aliyokuwa anafanya Diamond cut alikuwa anabeba Ruge then Ruge ndo anawapa chao kina Salaam na Babutale..
.
.
Hata Yamoto band meneja wao alikuwa Ruge sio BabuTale. Kama Aslay ataweza kuongea ukweli atawaambia Babutale alikuwa cover tu. Na ndo maana Yamoto Band waliblow up, na ndo maana Diamond aliblow up, It was all Ruge behind the scenes. Hata Lady Jaydee meneja wake alikuwaga Ruge.
.
.
Ngojeni niwaambieni kitu Ruge ana matatizo tena makubwa most ya matatizo la Ruge ni kwenye kuwanyenga wasaniii pesa. Hilo ndo tatizo la Ruge.Ila jamani naomba niwaambie Tanzania nzimaaaa kwenye entertainment industry hakuna kichwa kama Ruge. Jamani yule kaka sio mtu wa nchi hiii. Anajua entertainment.Na ndo maana Diamond alitulia na Ruge miaka yote hii, yawezekana Ruge alikuwa anamuonea cut yake ila mwisho wa siku alim-manage vizuri mnoo. Mimi nna ushahidi wa Ruge kumnyenga Diamond pesa. Mnakumbuka Diamond alisemaga kuwa Show kubwa aliyowahi kulipwa maisha yake yooote ni Diamonds are forever , jamani muongo ile show Diamond hakupewa hata senti na Ruge. Ile show mi mwenyewe kidogo ninyonyane macho na Ruge sababu alitaka kuniingiza mjini.Niliandaa ile show na Ruge Ila Diamond sababu Ruge meneja wake na anaona anapoifikisha career yake akawa anasema ile show ndo alillipwa sana.hayo ndo matatizo ya Ruge
Part 2.
Ila baadae Diamond alikuja kuwa mjanja akawa hakubali kabisa Ruge kumnyenga, wakawa wanaenda sawa. Anyways Diamond makes a lot of money so Ruge definitely alikuwa hamwibiii kihivyo. Na nawaambia 100% bila Ruge Diamond asingekuwa hapo alipo.
.
.
Okay nishawapa historia fupi ya Ruge na Diamond. Sasa tuende mbele kidogo.
.
.
Hii story ntakayotoa hapa nahisi hata Ruge na clouds nzima leo watapa msiba mkubwaaaa mnoooo.Joseph Kusaga ameamua kuivest pesa yake sehemu ingine. Na hiyo sehemu ni Diamond. Apparently ni kwamba Clouds kuna matatizo makubwa, na Ruge amekuwa dizaini kama anamsumbua Kusaga kuhusu ownership. Ukweli ni kwamba hakuna clouds FM bila Ruge Mutahaba. Ruge is the brains behind clouds. Ruge akiondoka cloudsleo, kesho tutawasahau . Jamani tumchukie tunavyotaka, hafai kuwa boyfriend wala mume wa mtu ila kwenye entertainment lets give credit where its due, the man is a fucking genius. Na kuna issue ya ownersship pale na Ruge nae anataka more sababu anaona ni kazi yake. As much as Ruge anawanyenga wasanii chao na yeye Clouds hawampi anachostahilo bila yeye Hakuna kitu. Ndo hivyo Kusaga slowly ana walk away from clouds. pia nimeambiwa kuna a lot of financial issue na clouds, madeni sijui kodi, na dadake Joseph .
.
Jamani ni hivi Hiyo Wasafi Radio and Wasafi TV Joseph Kusaga ndio owner by 80%, Diamond ana own 20%. All the investment ya Wasafi Radio na Wasafi TV amefanya kusaga. Hiyo wasafi online 95% owned by Joseph Kusaga. Diamond Karanga 100% owned by Joseph Kusaga. Chibu Perfume 100% owned by Johaina Kusaga, mke wa Joseph Kusaga. .
.
Clouds na Ruge sijui why wanagombana na Wasafi? Hapa Tatizo ni Joseph Kusaga. Bila Joseph Kusaga kusingekuwa na wasafi radio wala Wasafi TV. Ruge mwenyewe hii leo atapata shock na clouds nzima nahisi watapa msiba. Sababu they don’t know anaewafuck ni MD wao ambae ana believe while heartedly kuwa Clouds is going down. .
.
Jamani mpaka hiyo ofisi mpya ya wasafi Joseph Kusaga ndo kalipia kodi yoooote. .
.
Na ndo maana mnawaona kina Sallam wanamchokonia Ruge lakini kwa Kusaga wanatuliza pumbu zao. Ni sababu Kusaga ndo money roller.
Part 3.
At the end of the day, Jospeh Kusaga ndio anaeiletea completion clouds kisirisiri na ndio anaeiua clouds. .
.
Kwa hiyo wala tusidhani kuwa wasafi TV and Radio zitakuwa za mchezo mchezo, they will be biig. .
.
Alafu mnaambiwa Kusaga na Bashite wamekuwa mabesti balaaaaaaa. Yani Bashite hana Issue na clouds Issue yake ni Ruge na wake Shilawadu sababu Shilawadu ni watoto wa Ruge wale. So hii project mpya Bashite anaipongeza kwa mikono minne. Kawahakikishia vibalo and everything else.
.
.
So mnafki hapa ni Joseph Kusaga, yeye ndio ambae cause balaa lote hili alafu kakaa pembeni watu wanadhani hii ni vita ya wasafi na clouds. .
.
Sasa jiulize je Kina Salaam na BabuTale wanapata nini jinsi wanavyomtia upepo Diamond hili bifu na Ruge. Kumbukeni kina Sallam hawakuwa wanapata Cut ya umeneja. Cut ilikuwa ya Ruge then Ruge ndo anawapa wao.Na walikuwa wanaona kama Ruge anawalalia, ila wanashindwa kuelewa kuwa Ruge ndo aliewatoa, ruge ndo aliemfundisha Salaam kazi yooote ya umeneja Ruge ndo kafanya tunajua kwa kuwafanya mameneja hewa wa Diamond na Yamoto Band. Sasa kina Sallam wanamchochea Diamond sababu Diamond akiachana na Ruge jiulize Nani atakaekuwa Real manager wa Diamond na atakuwa anapokea cut yooote ya umeneja?? You guess it right? Salaam na BabuTale.... So huu ugomvi ni mzuri kwa mifuko yao, now hawatokuwa chini ya Ruge Tena watakuwa wanapokea chao choooote..
.
.
Anyways, Sijui Why Diamond nae anakubali kumpampiwa labda ndo hivyo madili ya Kusaga, huku Bashite, lakini Diamond ajue pia ana risk career yake. Mimi personally nimeona wanamuziki woooote waliokuwa managed na Ruge walipoachana na Ruge they went down!!! Anyways, labda Diamond itakuwa tofauti kwake. Alafu ni bora angeachana na Ruge kibinadamu, Diamond akumbuke Ruge alimpotoa na alipo leo. Hakufikishwa hapo na Sallam, BabuTale, Bashite wala Joseph Kusaga, alifikishwa hapo na Ruge Mutahaba.
.
.
Ruge anaboa na simpendagi sababu ya mambo yake ya Magufuli Ila Diamond anaweza kuja kujutia baadae... Na hapo mjue LiBashite ndo linampapu Diamond zaidi.... Sasa jiulize Bashite ataweza kum-manage Diamond in his career? Au wanadhani now Salaam ataweza kum-manage wakati before Salaama alikuwa anatumwa n
Jumba wanasema watu ni la kinje etiBora kawanyoosha ili waache kuponda na kuwakatisha tamaa wasanii wengine.
Manake walikuwa wanatangaza kuwa ile radio,karang na chibu perfum ni ya moda.
Na wanawaponda wasanii wengine.
Kumbe naye sio zake anatumika tu.
Misishangae lile jumba kule sauz sio lake ni la kusaga
Ww si ndo shekh yahya wa piliTena wa kujiangalia zaidi ni Mond................... maana hata Shigongo keshamualart kuhusu anguko lake. just stay turn na atakayemuangusha ni Aslay let us see
Me kweli sio shunie ni kidume cha mbegu chenye mandingo yake, ww si umenichunia kosa langu sijui ninii nikuombe msamaha nilikukuta sehemu nikakuquote ukanichunia