Uchafuzi wa maji mto Mara

Uchafuzi wa maji mto Mara

Kebure

Member
Joined
Sep 2, 2021
Posts
8
Reaction score
13
IMG-20220320-WA0075.jpg
 
Bodi ya maji ilisema kuna mafuta,repoti ya tume maalumu inasema ni kinyesi cha ng'ombe.
Tumwamini nani.
 
Haya sasa ndo majibu ya Kisayansi, hata ukiwasilisha popote duniani yanakubalika. Facts and evidence based. Siyo Haya ya kinyesi na mikojo ya ng'ombe. Profesa Manyele na Kamati yake ni aibu tupu kwa Taifa na wanazuoni kote duniani. Profesa anakuwaje na guts ya kuongea mambo ya kihuni namna Ile?
Kwanza aliwezaje kutoa taarifa bila scientific findings (lab results)? Hovyo sana Manyele
 
Bodi ya maji ilisema kuna mafuta,repoti ya tume maalumu inasema ni kinyesi cha ng'ombe.
Tumwamini nani.
Bodi ya maji iko correct ingawa wataadhibiwa kwa kutoa majibu kinyume na matakwa ya watawala. Watawala wangependa majibu yao yaendane na yale ya Kamati ya Profesa Manyele ili kuwa uwajibikaji wa pamoja.
 
Bodi ya maji iko correct ingawa wataadhibiwa kwa kutoa majibu kinyume na matakwa ya watawala. Watawala wangependa majibu yao yaendane na yale ya Kamati ya Profesa Manyele ili kuwa uwajibikaji wa pamoja.
Waadhibiwe Kwa kosa Gani, wenywew walitoa ripoti mapema hata kabla ya kamati. Walifanya Kazi Yao.

Kila mmoja ashinde mechi zake. Hkuna uwajibakaj wa pmoja..
 
Waadhibiwe Kwa kosa Gani, wenywew walitoa ripoti mapema hata kabla ya kamati. Walifanya Kazi Yao.

Kila mmoja ashinde mechi zake. Hkuna uwajibakaj wa pmoja..
Kama walitoa kabla, wapo salama.
 
Back
Top Bottom