Uchafuzi wa Sensa 2022

Uchafuzi wa Sensa 2022

Ivan conspicuous

Senior Member
Joined
Jun 19, 2022
Posts
103
Reaction score
83
Sisi wenye vigezo stahiki tumefanyiwa maagizo ya usaili hapa kata ya kivule wilaya ya Ilala na kufutiliwa mbali wakati namba 174. Yusuph Nyansika Getema (mtoto wa Diwani kata ya kivule) mwenye namba ya simu 0655 700 002 karani wa sensa ni miongoni wa wale watakaohudhuria sensa KESHO pale shule ya Sekondari minazi mirefu! Kumbe hii ni sensa ya watoto wa wanaccm wenye vyeo vyao ndani ya ccm na si sensa ya wananchi.

Mwalimu Nyerere aliwahi kusema " chagueni mgombea atakaekidhi matarajio ya wananchi na si matarajio yako wewe mpiga kura -1995". Mchakato wote wa sensa umeghubikwa na rushwa na upendeleo wa viwango vya kutisha kwa kuwabeba watoto wa viongozi/watawala.

Sijafahamu kama ni maelekezo ya Mkuu wa wilaya ya Ilala, kamisaa wa Sensa Anna Semamba Makinda au n nini hasa?. Mimi wakati yule mama ananiuliza maswali ya kinafiki na kipumbavu kuwa "unaweza kufanya kazi sehemu yoyote utakayongiwa?. Nikajibu "ndyo" ila cha ajabu na cha kusikitisha alikuwa hana sehemu yoyote anayoandika jina au orodha ya majina ya wasaili kumbe kulikuwa ni kiini macho tu. Ninyi watawala, endeleeni kugawana nafasi za kila nafasi inayopatikana ila mwisho wenu unakaribia.

Naamini mama SAMIA SULUHU Hassan hajawatuma mjichague wenyewe na kuacha watu wengine Tena wenye sifa sinazostahili. Huyu kijana wa Nyansika Getama ni lazima achunguzwe ni kwa namna gani ameingizwa kwenye sensa hata Kama atakuwa na vigezo vinavyotakiwa na ni lazima ifahamike na kueleweka ni kwa nini wengine wenye sifa wameenguliwa bila hata maelezo! Ni usaili gani ambao Mkuu wa wilaya anauita watu waliofaulu usaili? Kulikuwa na usaili pale zaidi ya maigizo kumbe tayari mna majina tayari kwenye bahasha na suruali zenu?
 
Sio huko tu hata huku Maswa ni hivyo hivyo watu wamewekana tu wala hakuna cha USAILI.

Nchi ngumu sana hii kuna mmoja hata cheti.hana lakini kapata kisa anafanya kazi ofisi ya VEO.

Mwingine kaomba mahudhui, kwa kuwa mahudhui ni kwa ajili ya wakuu wa taasisi na wakuu wa shule kapelekwa kwenye ukarani ambako hakuomba. CONNECTIONS...
 
Sio huko tu hata huku Maswa ni hivyo hivyo watu wamewekana tu wala hakuna cha USAILI.

Nchi ngumu sana hii kuna mmoja hata cheti.hana lakini kapata kisa anafanya kazi ofisi ya VEO.

Mwingine kaomba mahudhui, kwa kuwa mahudhui ni kwa ajili ya wakuu wa taasisi na wakuu wa shule kapelekwa kwenye ukarani ambako hakuomba. CONNECTIONS...
Hata wakuu baadhi wa shule wamekosa hizo nafasi.ni uhuni na rushwa
 
Kumbe tupo kata moja ya kivule, binafsi mimi na watu ninaowafahamu kama 15 wote wamekatwa sijauona hata mmoja ninayemjua sijui nini kimeikumba kata ya kivule .Kama zoezi hili la sensa limeenda bila kuzingatia misingi ya haki natabiri aibu kubwa itatokea na itakua sensa ya hovyo kuwahi kutokea miaka yote.

Anyway mapambano yanaendelea la
 
Kivule watu wametajwa Zaid ya mara moja huku wengne hawajapata hata jina moja this is not fair
 
Sisi wenye vigezo stahiki tumefanyiwa maagizo ya usaili hapa kata ya kivule wilaya ya Ilala na kufutiliwa mbali wakati namba 174. Yusuph Nyansika Getema (mtoto wa Diwani kata ya kivule) mwenye namba ya simu 0655 700 002 karani wa sensa ni miongoni wa wale watakaohudhuria sensa KESHO pale shule ya Sekondari minazi mirefu! Kumbe hii ni sensa ya watoto wa wanaccm wenye vyeo vyao ndani ya ccm na si sensa ya wananchi.

Mwalimu Nyerere aliwahi kusema " chagueni mgombea atakaekidhi matarajio ya wananchi na si matarajio yako wewe mpiga kura -1995". Mchakato wote wa sensa umeghubikwa na rushwa na upendeleo wa viwango vya kutisha kwa kuwabeba watoto wa viongozi/watawala.

Sijafahamu kama ni maelekezo ya Mkuu wa wilaya ya Ilala, kamisaa wa Sensa Anna Semamba Makinda au n nini hasa?. Mimi wakati yule mama ananiuliza maswali ya kinafiki na kipumbavu kuwa "unaweza kufanya kazi sehemu yoyote utakayongiwa?. Nikajibu "ndyo" ila cha ajabu na cha kusikitisha alikuwa hana sehemu yoyote anayoandika jina au orodha ya majina ya wasaili kumbe kulikuwa ni kiini macho tu. Ninyi watawala, endeleeni kugawana nafasi za kila nafasi inayopatikana ila mwisho wenu unakaribia.

Naamini mama SAMIA SULUHU Hassan hajawatuma mjichague wenyewe na kuacha watu wengine Tena wenye sifa sinazostahili. Huyu kijana wa Nyansika Getama ni lazima achunguzwe ni kwa namna gani ameingizwa kwenye sensa hata Kama atakuwa na vigezo vinavyotakiwa na ni lazima ifahamike na kueleweka ni kwa nini wengine wenye sifa wameenguliwa bila hata maelezo! Ni usaili gani ambao Mkuu wa wilaya anauita watu waliofaulu usaili? Kulikuwa na usaili pale zaidi ya maigizo kumbe tayari mna majina tayari kwenye bahasha na suruali zenu?
Pole vijana, pambaneni kuwaondoa wahuni madarakani vinginevyo ni vilio na maombolezo mengi kwenu
 
Back
Top Bottom