Uchafuzi wa Sensa 2022

Uchafuzi wa Sensa 2022

Sisi wenye vigezo stahiki tumefanyiwa maagizo ya usaili hapa kata ya kivule wilaya ya Ilala na kufutiliwa mbali wakati namba 174. Yusuph Nyansika Getema (mtoto wa Diwani kata ya kivule) mwenye namba ya simu 0655 700 002 karani wa sensa ni miongoni wa wale watakaohudhuria sensa KESHO pale shule ya Sekondari minazi mirefu! Kumbe hii ni sensa ya watoto wa wanaccm wenye vyeo vyao ndani ya ccm na si sensa ya wananchi.

Mwalimu Nyerere aliwahi kusema " chagueni mgombea atakaekidhi matarajio ya wananchi na si matarajio yako wewe mpiga kura -1995". Mchakato wote wa sensa umeghubikwa na rushwa na upendeleo wa viwango vya kutisha kwa kuwabeba watoto wa viongozi/watawala.

Sijafahamu kama ni maelekezo ya Mkuu wa wilaya ya Ilala, kamisaa wa Sensa Anna Semamba Makinda au n nini hasa?. Mimi wakati yule mama ananiuliza maswali ya kinafiki na kipumbavu kuwa "unaweza kufanya kazi sehemu yoyote utakayongiwa?. Nikajibu "ndyo" ila cha ajabu na cha kusikitisha alikuwa hana sehemu yoyote anayoandika jina au orodha ya majina ya wasaili kumbe kulikuwa ni kiini macho tu. Ninyi watawala, endeleeni kugawana nafasi za kila nafasi inayopatikana ila mwisho wenu unakaribia.

Naamini mama SAMIA SULUHU Hassan hajawatuma mjichague wenyewe na kuacha watu wengine Tena wenye sifa sinazostahili. Huyu kijana wa Nyansika Getama ni lazima achunguzwe ni kwa namna gani ameingizwa kwenye sensa hata Kama atakuwa na vigezo vinavyotakiwa na ni lazima ifahamike na kueleweka ni kwa nini wengine wenye sifa wameenguliwa bila hata maelezo! Ni usaili gani ambao Mkuu wa wilaya anauita watu waliofaulu usaili? Kulikuwa na usaili pale zaidi ya maigizo kumbe tayari mna majina tayari kwenye bahasha na suruali zenu?
Bado tu unategema CCM ibadilike? Ohooo dear! Yaani mpaka leo hujashtuka tu? Bado umekaa chini ya mchongoma ukisubiri embe dodo idondoke? Eti unaamini mama Samia hajawatuma? Ni kweli hajawatuma lakini pia hana habari wala muda wa kusikiliza matatizo ya wananchi. Aaache kutumbua keki zabure aje ajishughulishe na shida zako? Kama una akili basi dai mpya mfumo mzuri wa kuongoza nchi yetu haraka sana.
 
Bado tu unategema CCM ibadilike? Ohooo dear! Yaani mpaka leo hujashtuka tu? Bado umekaa chini ya mchongoma ukisubiri embe dodo idondoke? Eti unaamini mama Samia hajawatuma? Ni kweli hajawatuma lakini pia hana habari wala muda wa kusikiliza matatizo ya wananchi. Aaache kutumbua keki zabure aje ajishughulishe na shida zako? Kama una akili basi dai mpya mfumo mzuri wa kuongoza nchi yetu haraka sana.
Umesema kweli ndugu, nchi haina uwajibikaji hii. Rushwa imetembea Sana kupata nafasi ya sensa
 
Rushwa iliyopo Tanzania inaurudisha uchumi nyuma vibaya mno. Wengi wa watumishi wa uma ni wala rushwa. Hufanyiwi chochotw kwenye ofisi ya uma bila kutoa kidogo. Hali hii hurudisha maendeleo nyuma maana huduma hazitolewi kwa wakati stahiki. Nakadiria asilimia tano ya pato la taifa linaishia kwenye rushwa. Hapa sizungumzii Ufisadi wa watu kuiba hela za serikali nazungumzia rushwa za kipolisi, mahakamani, ofisi za kata, ofisi za vijiji na kwenye halmashauri. Kwa ilivyokita mizizi kwenye system sijui kama itawezekana kuiondoa.
 
Ni bora hiyo kazi wangepewa walimu wa shule za msingi angalau wana uzoefu na weledi wa kuifanya hiyo kazi kuliko kuokoteza watu wasio na sifa kwa tamaa ya kupata fedha kwa njia ya rushwa.
 
Asingetoa mfano wa mhusika bado ungesema ni umbea tu.
Kila sehemu mambo ni hayohayo tu, kufanya alichokifanya ni uchawi na roho mbaya tu Kwa huyo mtoto wa Diwani........wangapi wanabebwa nchi hii tena Kwa nafasi sensitive kabisa sembuse Diwani
 
"Ukiona kwako kunaungua ujue kwa mwenzio kunateketea " Huku kwetu Wamechukuliwa hata ambao hawakuwemo kwenye orodha ya watu waliotakiwa kufanya interview , Pili form Four losers ( Wahuni wa mtaani ) wamechomekwa . Ukijumlisha Rushwa halafu na UCCM basi mambo yamekuwa hivyo .
 
Sio huko tu hata huku Maswa ni hivyo hivyo watu wamewekana tu wala hakuna cha USAILI.

Nchi ngumu sana hii kuna mmoja hata cheti.hana lakini kapata kisa anafanya kazi ofisi ya VEO.

Mwingine kaomba mahudhui, kwa kuwa mahudhui ni kwa ajili ya wakuu wa taasisi na wakuu wa shule kapelekwa kwenye ukarani ambako hakuomba. CONNECTIONS...
Ni vigumu sana haki kutendeka baada ya wahitimu kutoajiriwa kwa zaidi ya miaka mitano kutoajiriwa.Huko Busokelo mjukuu wangu kaitwa kwenye usaili kambiwa lete Kwanza kitambulisho cha nida ambacho hakuwa nacho lakini akawapa namba za nida ambazo walizikataa na mchezo ukaishia hapo.
 
Sisi wenye vigezo stahiki tumefanyiwa maagizo ya usaili hapa kata ya kivule wilaya ya Ilala na kufutiliwa mbali wakati namba 174. Yusuph Nyansika Getema (mtoto wa Diwani kata ya kivule) mwenye namba ya simu 0655 700 002 karani wa sensa ni miongoni wa wale watakaohudhuria sensa KESHO pale shule ya Sekondari minazi mirefu! Kumbe hii ni sensa ya watoto wa wanaccm wenye vyeo vyao ndani ya ccm na si sensa ya wananchi.

Mwalimu Nyerere aliwahi kusema " chagueni mgombea atakaekidhi matarajio ya wananchi na si matarajio yako wewe mpiga kura -1995". Mchakato wote wa sensa umeghubikwa na rushwa na upendeleo wa viwango vya kutisha kwa kuwabeba watoto wa viongozi/watawala.

Sijafahamu kama ni maelekezo ya Mkuu wa wilaya ya Ilala, kamisaa wa Sensa Anna Semamba Makinda au n nini hasa?. Mimi wakati yule mama ananiuliza maswali ya kinafiki na kipumbavu kuwa "unaweza kufanya kazi sehemu yoyote utakayongiwa?. Nikajibu "ndyo" ila cha ajabu na cha kusikitisha alikuwa hana sehemu yoyote anayoandika jina au orodha ya majina ya wasaili kumbe kulikuwa ni kiini macho tu. Ninyi watawala, endeleeni kugawana nafasi za kila nafasi inayopatikana ila mwisho wenu unakaribia.

Naamini mama SAMIA SULUHU Hassan hajawatuma mjichague wenyewe na kuacha watu wengine Tena wenye sifa sinazostahili. Huyu kijana wa Nyansika Getama ni lazima achunguzwe ni kwa namna gani ameingizwa kwenye sensa hata Kama atakuwa na vigezo vinavyotakiwa na ni lazima ifahamike na kueleweka ni kwa nini wengine wenye sifa wameenguliwa bila hata maelezo! Ni usaili gani ambao Mkuu wa wilaya anauita watu waliofaulu usaili? Kulikuwa na usaili pale zaidi ya maigizo kumbe tayari mna majina tayari kwenye bahasha na suruali zenu?
Ni nani miongoni mwetu mwanae akiomba mkate atampa jiwe..??
 
Huu mchakato umeingiliwa sana, lakini pia fikria kama ni wewe una mtoto,umuache tu umuweke mtu baki?
 
Sisi wenye vigezo stahiki tumefanyiwa maagizo ya usaili hapa kata ya kivule wilaya ya Ilala na kufutiliwa mbali wakati namba 174. Yusuph Nyansika Getema (mtoto wa Diwani kata ya kivule) mwenye namba ya simu 0655 700 002 karani wa sensa ni miongoni wa wale watakaohudhuria sensa KESHO pale shule ya Sekondari minazi mirefu! Kumbe hii ni sensa ya watoto wa wanaccm wenye vyeo vyao ndani ya ccm na si sensa ya wananchi.

Mwalimu Nyerere aliwahi kusema " chagueni mgombea atakaekidhi matarajio ya wananchi na si matarajio yako wewe mpiga kura -1995". Mchakato wote wa sensa umeghubikwa na rushwa na upendeleo wa viwango vya kutisha kwa kuwabeba watoto wa viongozi/watawala.

Sijafahamu kama ni maelekezo ya Mkuu wa wilaya ya Ilala, kamisaa wa Sensa Anna Semamba Makinda au n nini hasa?. Mimi wakati yule mama ananiuliza maswali ya kinafiki na kipumbavu kuwa "unaweza kufanya kazi sehemu yoyote utakayongiwa?. Nikajibu "ndyo" ila cha ajabu na cha kusikitisha alikuwa hana sehemu yoyote anayoandika jina au orodha ya majina ya wasaili kumbe kulikuwa ni kiini macho tu. Ninyi watawala, endeleeni kugawana nafasi za kila nafasi inayopatikana ila mwisho wenu unakaribia.

Naamini mama SAMIA SULUHU Hassan hajawatuma mjichague wenyewe na kuacha watu wengine Tena wenye sifa sinazostahili. Huyu kijana wa Nyansika Getama ni lazima achunguzwe ni kwa namna gani ameingizwa kwenye sensa hata Kama atakuwa na vigezo vinavyotakiwa na ni lazima ifahamike na kueleweka ni kwa nini wengine wenye sifa wameenguliwa bila hata maelezo! Ni usaili gani ambao Mkuu wa wilaya anauita watu waliofaulu usaili? Kulikuwa na usaili pale zaidi ya maigizo kumbe tayari mna majina tayari kwenye bahasha na suruali zenu?
Siku Moja tuchague Kiongozi mwenye Sera ya Wasionacho First na wenye nacho kaa Pembeni. Haiwezekani Watumishi wa Umma wenye Vipato Ndio wanapewa Ajira za Muda, Vijana Wasomi Jobless wasio na kipato wakiachwa.
 
Pole sana kwa kuwaamini CCM .

Yaani unaamini watu wanaokuwa na kura hata kabla hazijapigwa siku ya uchaguzi ?
 
Mkiambiwa andamana kushikiza katiba mpya mnaanza kusema atangulie Mbowe na familia yake wenye mabilion ndani!!. Haya pambaneni wenyewe...
 
Back
Top Bottom