Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe machela,
1. Umefanya utafiti au mkeo/mpenzio ndio kakueleza anavyojisika yeye
2. inaonekana mkeo/hawalayako andanganyika kwa kofia na kanga kisha kuacha mafisadi wanavuna mabilioni ya pesa.
3. inaonekana mkeo/changudoa wako anaipenda sana sura ya chekibobu jk.
Nakushauri uwe makini sana na hao wenzi wako, ushauri wa bure
- Well, uchaguzi uliomalizika umetoa mafundisho mengi sana kwa maoni yangu mojawapo ni kwamba wanawake ni lazima wapewe nafasi katika vyama vyetu vya siasa, sio siri kwamba wanawake wengi wameipigia kura CCM zaidi,
- Sasa Chadema wajifunze kuwapa nafasi za juu kina mama katika uongozi wa taifa wa chama na pia wa-soften kidogo the image ya viongozi wanaume wanaonekana wana hasira sana, inawatisha sana kina mama ni ushauri wangu wa bure tu!
Thaanks!
Mukulu William.
watu wengine bwana,jina lako tu linaonesha unacho fikiria!
Thanks ila tuna utupa kule ushauri wako
- Mawazo yangu ya hovyo lakini yamekugusa mpaka umekuja kujibu mtumzima, halafu unawadanganya wengine vipi brother ha! ha! ha! ha! hivi kwa nini mkiguswa na ukweli huwa mnakuwa na hasira sana unajua mnaogopesha sana eti!
- Otherwise, ni kweli nina-genenralize kutokana sample za matokeo ya uchaguzi wa Rais, zinazo onyesha kwamba wanawake wengi sana wamempigia kura mgombea u-Rais wa CCM
William.
tatzo ni uwezo mdogo na uelewa mdogo wa wanawake katika siasa.
Just few days ago ww ulikuwa unampigia domo/ campaign humu JF demu ya Baba yako Anne Kilango, sasa kashindwa unaspin kuleta upupu CHADEMA, CCM wote useless, we have big memory nenda mitaani wadanganya hapa huzunguki mtu, nilisema early Kilango hafaiii, Eti unakuja na CHADEMA hawajali wanawake, ww unatokaga kulala au ur dreaming ndio unapost threads zako, they are too low, but i know ur problem, umekulia CCM so u have CCM hysteria, kweli mtoto wa Fisi ni Fisi, u r short sighted
kkwa nini yasihusu aisee.... sema jamaa kakuambia .[/QUOTE]u r short sighted.[/QUOTE] hes right- Mkuu ya Mama kilango hayahusu nilichotetea ni haki yake kuchukua fomu kama alichukua, ukweli ni kwamba alichukua lakini asingeweza kushindana na best wake wa harusi Mama Makinda hivyo alirudisha mapema kabla ya uchgauzi kufikia, hope umeelewa hapo hayo matusi yote uliyorusha ni kufurahisha baraza tu halafu ni mambo ya territory hakuna jipya hapo! ha! ha! ha! karibu sana!
- Naona hukugusa kabisa ushauri wangu kwa Chadema kwamba ni wakati wa kuwajumuisha kina mama kwenye uongozi wa juu wa taifa wa chama chao, ndio siasa za kisasa, pole sana kwa kukukwaza na ushauri wangu, lakini ndio Demokrasia hiyo mkuu!
- Again ukiona ushauri unapokelewa kirahisi rahisi ujue hauna tija huo, ila ukiona kama unavyooona hapa ujue la mgambo hilo lina jambo ha! ha! ha!
William.
u r short sighted.[/QUOTE] hes right[/QUOTE]kkwa nini yasihusu aisee.... sema jamaa kakuambia .
- Kama unayaamini haya uliyoandika hukuwa na sababu ya kujibu mkuu, lakini umesikika sana!.
William.
@William,
Nazani ww ni sehemu ya wavurugaji na watu wasio fanyia tafiti issues kabla ya kuzijadili maana nakuona kama mumbeya fulani!!!!!!!!!!!!!!
CCM bana, kazi kwelikweli.................
Kwanza nikusalimie, Mbukwenyi .................
Ila sasa na nyie msilete maneno ya wanawake kutishika hapa.
Mbona sisi Wanaume wa upinzani tunatishika ila hatusemi?
![]()
- Well, uchaguzi uliomalizika umetoa mafundisho mengi sana kwa maoni yangu mojawapo ni kwamba wanawake ni lazima wapewe nafasi katika vyama vyetu vya siasa, sio siri kwamba wanawake wengi wameipigia kura CCM zaidi,
- Sasa Chadema wajifunze kuwapa nafasi za juu kina mama katika uongozi wa taifa wa chama na pia wa-soften kidogo the image ya viongozi wanaume wanaonekana wana hasira sana, inawatisha sana kina mama ni ushauri wangu wa bure tu!
Thaanks!
Mukulu William.
Bill,
Kawashauri kwanza Wajomba zako ndani ya CCM ili watambue madhara na athari wsababishazo kwa kuiba dawa za watoto akina mama wajawazito na walalahoi wote Tanzania.
Ukifanikiwa katika zoezi hilo ndiyo uje hapa JF kutoa ushauri utokanao na uzoefu wa zoezi hilo.
Other wise your contribution here in JF is the same as differenciating a constant.