sometimes tunawalaumu bure....
hizo ni directives wamepewa na wakaidi waone
saa mbaya hizi
Mkuu...
msomaji wa ITV anapokuwa studio hayuko huru.... macho yake huwa anapepesapepesa kwa woga kuona kama Mengi yupo karibu...
Hivi vyombo vya habari vimenunuliwa na CCM na ndio maana wanakuwa na ubaguzi katika kutoa habari!
Nimeamini nchi hii imejaa MOSTERS MAMFIA hata kwenye vyombo vya habari
leo asubuhi katika taarifa zao za habari hakuna aliyetangaza afya ya Rais wetu
wanatangaza juu bila kutoa maelezo ya uhakika kama uandishi wao ndo huu wa kuganga NJAA KWELI TANZANIA HAKUNA WAANDISHI WA HABARI.
wakati wa kusoma magazeti TBC1 walikuwa na magazeti yote likiwemo TANZANIA DAIMA ambalo limeandika ukweli kuhusu afya ya JK alivyozilai JANGWANI, lakini cha kushangaza hili gazeti alikusomwa kokote
JE MAFIA WA HABARI NDO WAKO ITV NA TBC1?
sometimes tunawalaumu bure....
hizo ni directives wamepewa na wakaidi waone
saa mbaya hizi
Waache waendelee kuficha maradhi...sometimes tunawalaumu bure....
hizo ni directives wamepewa na wakaidi waone
saa mbaya hizi
Mkuu...
msomaji wa ITV anapokuwa studio hayuko huru.... macho yake huwa anapepesapepesa kwa woga kuona kama Mengi yupo karibu...