Elections 2010 Uchaguzi 2010: ITV sasa imekuwa chombo cha CCM?


Ndiyo maana fisadi mwenzake RA alimvika cheo cha FISADI NYANGUMI, hawa wote wanastahili kupigwa risasi kwani ufisadi wao umesababisha maafa kwa mamilioni ya watz
 
Pia nasikia alitoa mamilioni kuianzisha Jamii Forums.
 
unajua tatizo la mengi ni kuona mbowe anaheshimika na watu wa kilimanjaro kushinda yeye nasikia hii inamuuma sana
 
No comment, lakini i dont like Mengi kwa sababu he fools masikini wetu kwa kujifanya kula nao chakula.
 
leo ITV wamesoma Gazeti la mwananchi kwa vile halikuwa na habari kali kwa chama chao?
 
Huyo mengi huwa akipata shida anakimbilia kwetu wananchi tumuonee huruma, kumbe yeye hana huruma na sisi! So why should we shake hand with a clenched fist?
 
Mnajua RA na Mengi wote ni wanachama wa CCM, inawezekana wameamua kuweka tofauti pembeni wafanya biashara ! Nikiwa na maana kwamba RA ameingia kwenye deep pocket kuinunua IPP media. Si unajua pesa ilivyo mwana haramu?
 
Umafia upo kwenye MEDIA za Tanzania. Ukiingalia wachambuzi wao, hasa TBC1, ITV na Channel 10 utangundua kuwa wako Bias na wanapendelea Sisiemu. Habari za Vyama vingine zaidi ya CCM zinatolewa kiaina huku kejeli zikichomekwa kiaina. Waandishi hawa wanaliua Taifa bila kujua kuwa ndugu zao na wao wenyewe ni sehemu ya Taifa hili.

Imefika wakati, Vyama vingine viongeze juhudi ya kumiliki vyombo vya habari zaidi ya magazeti ili kupanua wigo wa mapambano.

HAKI HUINUA TAIFA.
 
umeona kweli nakumbuka mengi anahaa na Waziri Kijana Kutaka kumfilisi kumbe ndo anakula nao tu anatufisadi wadanganyika lakini mara hii hatudanganyiki tena
 
Unadhani ni rahis kwa watu km alivyokuwa jerry muro kukataa fedha za epa?.........................bado wapo wengi ila sijui mzee mengi yuko wapi siku hizi ni km yuko likizo vile kidogo alikuwa balkanced sana kwenye issue za kitaifa lakini km itv wamefikia hap[a
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…