Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nkubaliana na wewe kwa asilimia zote mkuu.
TBC hawana haki ya kuelemea chama kimoja kwa sababu ni tv ya Taifa ipo kwa manufaa ya Taifa na si chama.
ni kweli kwa sababu huko watamnadi padre vizuri!Vyombo huru cha habari TZ ni Redio Maria na Cheche za Fikra! I wish kungekuwepo TV Maria na TV Cheche za Fikra
CUF ni chama cha upinzani tu kama kilivyo chadema, na wewe mapenzi yako kwa chadema yasifanya wapenzi wa CUF kukosa habari. Kuna kosa gani CUF kuoneshwa kampeni zake? Ingekuwa chadema kama leo inavyooneshwa ungelalamika? wewe hutaki CUF ioneshwe kwenye kampeni ila chadema tuu? hapa ndo ninapodraw conclusion kwamba chadema ni chama cha kuogopwa kama ukoma, kama hata wapinzani wenzake hakiwataki kwanini tusikiogope? kwa nini tusiseme ni chama cha kanisani? Kwa staili chadema kwenda ikulu, no please. pale si madhabahuni.Something more than can meet the eye!! hivi mliona uzinduzi wa Kampeni za CUF ulivyo onyeshwa IN DETAILS NA TBC. Kwa wale mliongalia taarifa ya habari jana Kupitia TBC mtakubaliana na mimi.
Hiki chombe kweli ni sisiemu. nasema na sitaogopa. Wanajua kabisa Lipumba hana Nguvu ya Slaa. Wanapompa Lipumba Nguvu ambaye wanajua kabisa nafasi yake ya kuchukua Uraisi ni sawa na ngamia kupita katika Tundu la sindano, Ni njama ya kugawa kura za Upinzani ili chama tawala kipite kilaini.
Na pia nimeanza kuamini linaloongelewa kuhusu ndoa ya CCM na CUF na lengo lao ni nini!
For your information guys, Watanzania we are gone. Mbinu chafu za CCM zimeshatu overtake. Nyie CCM endeleeni kututesa tu. Lakini ipo siku Tu.
Tupo wengi mkuu, ukweli ametukwaza sana, ametusonenesha sana, na anatia kinyaa harakati zote alizoonyesha hapo siku za nyuma
Mengi ni kumchongea tuu kwa ile media council ila TBC bakora yao ni mimi na wewe bse kodi yako na yangu ndo inaendesha ili shirika.
Tatizo TIDO analipa fadhila za JK baada ya kumpigia debe.
Ngoja Slaa apite utaenda kulima kwenu
Kama unavyosema Mrema na Mengi wapumbavu ndiyo unataka ku generalize wachaga wote wapumbavu,Next time jaribu kutumia akili kabla ya kupost upupu.Wachagga wapumbavu:
1. Augustine Lyatonga Mrema
2. Reginald Abraham Mengi
3....
Hata Magazeti ya shigongo ya "global publishers"... ni watu wa kampeni za CCM