Ndugu zangu,
Kulalamika tu humu kwenye jamii forums haitoshi, inabidi tuwaandikie barua NYINGI za kuwaonya uongozi wa ITV KUACHA mara moja kuwachagulia watanzanzania habari wanazozitaka wao na kuacha unafki wa kujipendekeza kwa JK kwani huo ni ufisadi wa hhabari, Tuandikene barua pepe na barua za kawaida kwenda kwa ITV sasa hivi kwenye email zifuatazo info@itv.co.tz , admin@itv.co.tz , ITV@ipp.co.tz or call them out right now on +255 (0)22 277 5914 / 5916 or send them a letter on Mikocheni Light Industrial Area, Plot 82 A
P.O. Box 4374
City Dar Es Salaam
Country Tanzania
Ni kweli ni kutuma ujumbe huko huko kuwauliza kwanini wanafanya hivyo na kuwaeleza kuwa hiyo siyo fair kwani hicho chombo japo ni cha binafsi ni kama cha umma kwani kama siyo huo umma then kisingekuwepo. Tutume kwa wingi tueleze tunavyokerwa. Mimi nimeshatuma.