Elections 2010 Uchaguzi 2010: Kibonde usijifanye kujua kila kitu, tafuta wataalamu wakusaidie

 

HAYA ANYOSEMA KIKWETE NI SAWA...NI SERA ZA CHAMA.CHAKE NA AHADI AMBAZO UTEKELEZAJI WAKE SIO LEO, BUNGE SI LITAKAA OCTOBER KUNA TABU GANI KUOMBA FEDHA ZA DHARURA....HIZI NI SERA ZA MAENDELEO NA MATUMIZI YA KAWAIDA YA SERIKALI ....KAMA HAPO MWANZO SERIKALI ILIKUA HAINA UWEZO ....SASA UMEPATIKANA NDIO MAANA ANAJUA WATAWEZA...
SASA UNAPOSEMA UTASHUSHA VAT !!! UTAONDOA USHURU WA VIFAA VYA UJENZI WAKATI HAIWEZEKANI..SHERIA HIZI ZINATAWALIWA NA SHERIA ZA KODI ZA JUMUIA YA AFRICA MASHARIKI...HUWEZI KUSHUSHA TU KODI KIHOLELA....NA KUFUTA KODI HAKUMFANYI MTU KEJENGA....WATU WANAHITAJI KUWEZESHWA...NTAKUPA MFANO LEO...VIFAA VYA SOLAR NI DUTY FREE ..WANGAPI WAMEWEZA KUWEKA SOLAR? COMPUTER PIA NI DUTY FREE ..WANGAPI WANA UWEZO WA KUNUNU ACOMPUTER ? SO HATA AKIPUNGUZA KODI IWE ZERO..KAMA WANANCHI HAWANA uwezo wataendelea kujenga kwa kutumia dongo...saruji itakuawa ndoto..
JEE UNAPOSEMA ELEIMU BURE MPAKA FORM 6 ....WHAT IS THIS????? ......KUWENI WAKWELI MAMBO NI MAZITO....WACHENI KULALAMIKA TWAMBIENI MUTATUFANYIA NINI ILI TUWAPE KURA ZETU MAMBO YA MIHEMKO HAYASAIDII KITU...
 


Bunge lipi litakaa October na hali limeshavunjwa? Kweli nyinyi CCM hamna hoja kabisa ndiyo maana hata mgombea wenu kaukimbia mdahalo kwa kuogopa hoja!!! Mnatia aibu kwelikweli!!!!
 

kwani hata Obama alipoahidi kurejesha majeshi ya USA nyumbani hakujua kuwa Senate iliidhinisha ? CHADEMA inaomba Ridhaa ya kuiongoza kwa namna wanayoona bora, na sikwakufuata yale ya CCM, wanataka kurejesha nidhamu na adabu katika matumizi ya Raslimali za umma.tunavyo vipaumbele vyetu, KWANZA KUBADILI KATIBA, kisha kukamata wezi woote wa pesa za umma, kuikisha wale woote walioiba fedha za kupitia EPA, deepgreen Meremeta , kisha kuwapeleka mahakamani waliohusika na ununuzi wa Rada, kuuza mashangingi, kupunguza mishahara ya Wabunge na mawaziri, kuongeza mishahara, kufuta Kodi kwenye mikataba ya madini, na kuongeza ukusanyaji kodi kupitia Loyarities katika export.toka ndani ya Box fikiri kwa makini.
 
bunge lipi litakaa october na hali limeshavunjwa? Kweli nyinyi ccm hamna hoja kabisa ndiyo maana hata mgombea wenu kaukimbia mdahalo kwa kuogopa hoja!!! Mnatia aibu kwelikweli!!!!

baada ya uchaguzi november..kama mkono umeteleza ...lakini hoja ya msingi umeipta..
Mdahalo unafanya na watu walo tulia na wanaoheshimu rules za midahalo....mihemko ubishani , haikubaliki....haina faida ...afadhali kufanya mdahalo na lipumba unajua kutakua na ustarabu....
 

Yeah nadhani there are more questions than answers, but that haimfanyi kibonde kuwa sahihi kukejeli wasio wanaCCM
 
Name calling aside.

TEAMO=KIBONDE=TEAMO.

AKIBISHA NA OPEN ZE FILE YAKE HAPA.

Namjua sana huyu XXXXX.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…