Uchaguzi 2020 Uchaguzi 2020: CCM anapambana na nani?

Uchaguzi 2020 Uchaguzi 2020: CCM anapambana na nani?

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Amani iwe kwenu !
Natumai wote mu wazima na mnaendelea vizuri na majukumu yangu.

Kama kawaida yangu kazi yangu ni kuangalia na kuonya ivyo Leo napenda niseme kwa macho yangu naona CCM anapambana na nani hasa kwenye uchaguzi wa mwaka huu??

Kwa maoni yangu katika mwaka huu CCM anapambana na watu wafuatao!

1. Wapinzani
Hawa kila mtu anawajua. Ni vyama pinzani ambavyo nao majukumu yao ni kushika dola. Wao ni maadui wanaoonekana na wanajulikana hasa kwa CCM

2. Watu wa System wasioridhishwa na mwenendo wa JPM

Hawa ni watu hatari zaidi. Hili ndo kundi linaloongozwa na kina Kigogo. Kuna watu wanadhani kigogo wa Twitter ni mtu mmoja ila la hasha. Kwa mtazamo wangu hawa ni mjumuiko wa watu very smart within the system ambao hawarudhishwi na jinsi nchi inavyoenda.
Hawa ni watu wenye akili sana na wanajua kila move wanayoifanya na wanajua wanafanya nini ili wapate nini.

CCM kuweni makini sana na hawa watu

3. Western World.(Mabeberu kwa lugha ya vijana wa Lumumba)
Hawa ingawa Ccm wanawajua ila hawajui wamepanga nini. Hawa ni watu smart zaidi kuliko kundi la pili tajwa hapo juu. Hawa wanajua kupanga. Wanajua kila kitu kinachoendelea nchini na serikalini na hata pia ikulu. Siku zote Ccm walikuwa wanajua kuishi kinafiki na kundi hili ila bahati mbaya sasa wameshindwa kuishi nao kinafiki ivyo kupelekea hili kundi kuamua kuanza kupiga simu maaana kwa awamu hii wameshabipiwa saana na serikali ya awamu ya tano.

4. CCM Asili

Hili ni kundi pia linalojulikana ila limebanwa sana. Hawajui watoke vipi ila wakipata nafasi tu wametoka. Hawa hawapatani kabisa na mzee Magu na wanaona ilikuwa bahati mbaya sana mzee Magu kuchukua usukani. Hawa wanasubiri tu support kutoka kwa kundi namba 2 na 3 na wakipata nafasi wamemaliza

5. Watumishi wa Umma
Hawa ni watu waliojeruhiwa sana na awamu hii. Ni miaka 4 sasa hawajaona nyongeza ya mishahara na kwa sasa wako tayari kufanya kazi na yeyote atakaeonesha anaweza kuwasikiliza mahitaji yao.


Wito
CCM kati ya Mwaka mnaotakiwa kuwa makini na kujiandaa kwa lolote ni mwaka huu!

Kwa Mzee wangu Magu!
You need smart people wanaoweza kucheza huu mchezo. Achana na hao wanaokupaka mafuta kwa Mgongo wa Chupa. Nafasi bado unayo jipange vizuri.
 
Amani iwe kwenu !
Natumai wote mu wazima na mnaendelea vizuri na majukumu yangu.

Kama kawaida yangu kazi yangu ni kuangalia na kuonya ivyo Leo napenda niseme kwa macho yangu naona CCM anapambana na nani hasa kwenye uchaguzi wa mwaka huu??

Kwa maoni yangu katika mwaka huu CCM anapambana na watu wafuatao!

1. Wapinzani
Hawa kila mtu anawajua. Ni vyama pinzani ambavyo nao majukumu yao ni kushika dola. Wao ni maadui wanaoonekana na wanajulikana hasa kwa CCM

2. Watu wa System wasioridhishwa na mwenendo wa JPM

Hawa ni watu hatari zaidi. Hili ndo kundi linaloongozwa na kina Kigogo. Kuna watu wanadhani kigogo wa Twitter ni mtu mmoja ila la hasha. Kwa mtazamo wangu hawa ni mjumuiko wa watu very smart within the system ambao hawarudhishwi na jinsi nchi inavyoenda.
Hawa ni watu wenye akili sana na wanajua kila move wanayoifanya na wanajua wanafanya nini ili wapate nini.

CCM kuweni makini sana na hawa watu

3. Western World.(Mabeberu kwa lugha ya vijana wa Lumumba)
Hawa ingawa Ccm wanawajua ila hawajui wamepanga nini. Hawa ni watu smart zaidi kuliko kundi la pili tajwa hapo juu. Hawa wanajua kupanga. Wanajua kila kitu kinachoendelea nchini na serikalini na hata pia ikulu. Siku zote Ccm walikuwa wanajua kuishi kinafiki na kundi hili ila bahati mbaya sasa wameshindwa kuishi nao kinafiki ivyo kupelekea hili kundi kuamua kuanza kupiga simu maaana kwa awamu hii wameshabipiwa saana na serikali ya awamu ya tano.

4. CCM Asili

Hili ni kundi pia linalojulikana ila limebanwa sana. Hawajui watoke vipi ila wakipata nafasi tu wametoka. Hawa hawapatani kabisa na mzee Magu na wanaona ilikuwa bahati mbaya sana mzee Magu kuchukua usukani. Hawa wanasubiri tu support kutoka kwa kundi namba 2 na 3 na wakipata nafasi wamemaliza

5. Watumishi wa Umma
Hawa ni watu waliojeruhiwa sana na awamu hii. Ni miaka 4 sasa hawajaona nyongeza ya mishahara na kwa sasa wako tayari kufanya kazi na yeyote atakaeonesha anaweza kuwasikiliza mahitaji yao.


Wito
CCM kati ya Mwaka mnaotakiwa kuwa makini na kujiandaa kwa lolote ni mwaka huu!

Kwa Mzee wangu Magu!
You need smart people wanaoweza kucheza huu mchezo. Achana na hao wanaokupaka mafuta kwa Mgongo wa Chupa. Nafasi bado unayo jipange vizuri.
Bila mbeleko ya polis na tiss- ccm itapotea
 
hilo kundi la 5 halijitambui
Kundi la tano halijitambui ila ni kundi lenye maumivu sana na hawa likitokea lolote kama ni mkwamo kwenye matokeo linaweza kummwaga mtu hadi dunia ikashangaa
 
Amani iwe kwenu !
Natumai wote mu wazima na mnaendelea vizuri na majukumu yangu.

Kama kawaida yangu kazi yangu ni kuangalia na kuonya ivyo Leo napenda niseme kwa macho yangu naona CCM anapambana na nani hasa kwenye uchaguzi wa mwaka huu??

Kwa maoni yangu katika mwaka huu CCM anapambana na watu wafuatao!

1. Wapinzani
Hawa kila mtu anawajua. Ni vyama pinzani ambavyo nao majukumu yao ni kushika dola. Wao ni maadui wanaoonekana na wanajulikana hasa kwa CCM

2. Watu wa System wasioridhishwa na mwenendo wa JPM

Hawa ni watu hatari zaidi. Hili ndo kundi linaloongozwa na kina Kigogo. Kuna watu wanadhani kigogo wa Twitter ni mtu mmoja ila la hasha. Kwa mtazamo wangu hawa ni mjumuiko wa watu very smart within the system ambao hawarudhishwi na jinsi nchi inavyoenda.
Hawa ni watu wenye akili sana na wanajua kila move wanayoifanya na wanajua wanafanya nini ili wapate nini.

CCM kuweni makini sana na hawa watu

3. Western World.(Mabeberu kwa lugha ya vijana wa Lumumba)
Hawa ingawa Ccm wanawajua ila hawajui wamepanga nini. Hawa ni watu smart zaidi kuliko kundi la pili tajwa hapo juu. Hawa wanajua kupanga. Wanajua kila kitu kinachoendelea nchini na serikalini na hata pia ikulu. Siku zote Ccm walikuwa wanajua kuishi kinafiki na kundi hili ila bahati mbaya sasa wameshindwa kuishi nao kinafiki ivyo kupelekea hili kundi kuamua kuanza kupiga simu maaana kwa awamu hii wameshabipiwa saana na serikali ya awamu ya tano.

4. CCM Asili

Hili ni kundi pia linalojulikana ila limebanwa sana. Hawajui watoke vipi ila wakipata nafasi tu wametoka. Hawa hawapatani kabisa na mzee Magu na wanaona ilikuwa bahati mbaya sana mzee Magu kuchukua usukani. Hawa wanasubiri tu support kutoka kwa kundi namba 2 na 3 na wakipata nafasi wamemaliza

5. Watumishi wa Umma
Hawa ni watu waliojeruhiwa sana na awamu hii. Ni miaka 4 sasa hawajaona nyongeza ya mishahara na kwa sasa wako tayari kufanya kazi na yeyote atakaeonesha anaweza kuwasikiliza mahitaji yao.


Wito
CCM kati ya Mwaka mnaotakiwa kuwa makini na kujiandaa kwa lolote ni mwaka huu!

Kwa Mzee wangu Magu!
You need smart people wanaoweza kucheza huu mchezo. Achana na hao wanaokupaka mafuta kwa Mgongo wa Chupa. Nafasi bado unayo jipange vizuri.
0 kabisa wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa upande wa Rais atatoboa si unajua kale kamfumo huo lazima katimizwe.

Shida ipo kwa wabunge wake na madiwani wake uwezekano wa kutoboa ni mdogo sana huko majimboni kuna mafukuto balaaa.

Siasa ni uchawi na watu wamekubali kuwa wasomi viongozi wachawi.

Wachawi wasomi wakipambana kichawi Uchaguzi 2020 kama mazuri vile.
 
Kwa upande wa Rais atatoboa si unajua kale kamfumo huo lazima katimizwe.

Shida ipo kwa wabunge wake na madiwani wake uwezekano wa kutoboa ni mdogo sana huko majimboni kuna mafukuto balaaa.

Siasa ni uchawi na watu wamekubali kuwa wasomi viongozi wachawi.

Wachawi wasomi wakipambana kichawi Uchaguzi 2020 kama mazuri vile.
Kwangu binafsi nauona kama uchaguzi mgumu kuwai kutokea Tanzania. Yangu macho
 
Meko ana wakati mgumu sana. Ameyaathiri makundi mengi ya kijamii kama vile wafanyabiashara, wakulima, wafanyakazi, wanafunzi hasa wa elimu ya juu, wavuvi na hata wafugaji.

Kiujumla utawala wake ni wa kidhalimu kama ulivyokuwa ile wa Idd Amin.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kundi la tano halijitambui ila ni kundi lenye maumivu sana na hawa likitokea lolote kama ni mkwamo kwenye matokeo linaweza kummwaga mtu hadi dunia ikashangaa

Hawajielewi hao, wakiongezewa elfu tatu tatu mei mosi ijayo watasahau machungu yote ya miaka minne
 
Meko ana wakati mgumu sana. Ameyaathiri makundi mengi ya kijamii kama vile wafanyabiashara, wakulima, wafanyakazi, wanafunzi hasa wa elimu ya juu, wavuvi na hata wafugaji.

Kiujumla utawala wake ni wa kidhalimu kama ulivyokuwa ile wa Idd Amin.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kundi la wafanyabiashara nalo si la kuchezea. Hawa waneathiliwa sana na TRA pamoja na vyombo vya dola na serikali.

Hawa wakiguswa tu na travel ban ya US maana wengi ni wa asia wenye ndugu na shughuli zao USA wanaweza kuamua kuunganisha nguvu kupambana na Magufuli (CCM) kwenye uchaguzi huu.


Ni mtazamo tu lakini
 
Hawajielewi hao, wakiongezewa elfu tatu tatu mei mosi ijayo watasahau machungu yote ya miaka minne
Ukiona kobe kainama ujue anatunga sheria. Kati ya sehemu anbazo mzee alikosea ni kulidharau hili kundi. Waliokuwa wanalijali hawakuwa wajinga walijua kwenye uchaguzi ni Kundi muhimu
 
Wanasubiri mbekeko ya dora vinginevyo ni hatari kwao kuangushwa na hayo makundi tajwa hapo juu.
 
Back
Top Bottom