Uchaguzi 2020 Uchaguzi 2020: CCM anapambana na nani?

Uchaguzi 2020 Uchaguzi 2020: CCM anapambana na nani?

H
Sasaivi sidhani kama watakuwa na kazi kubwa maana mzungu ameonekana kuingia uwanjani. Statement za Ubalozi wa Marekani na Uingereza ni za kufikirisha sana.
Halafu, wazungusha mikona safari hii wana mambo makubwa mengi ya kuwaeleza waTz.

Kumbuka hawa watu hawajafanya siasa kwa miaka mi4 sasa, kwa sababu tu wamezuiliwa. WaTz wanasikia habari za upande mmoja, ambazo kila MTU ameshazijua, na zishakuwa si habari tena.

Mwogope MTU anayejua la kuongea kuhusu ubaya wako ila umemfunga kitambaa mdoni, ukimfungua ni kama Bomu. Ndicho kitakachotokea kwenye kampeni za mwaka huu.
 
Swali langu ni Je ikitokea mwenyekiti wa Tume akamtangaza mtu mwingine atamfanyaje??

Bora uombe lisitokee ndugu ila hapo hata hao unaosema ni vyombo vya dola wanaweza kuanza kukataa maelekezo na amri zako.



Tena usiombee ndo kuwe na shinikizo la kimata
ifa. Lilimkuta Jammeh wa Gambia na Gabgo wa Ivory Coast. Usiombee ndugu yangu.
Jibu la swali lako ni hili,mwenyekiti wa kutangaza matokeo hayo hayupo na hatakuwepo na wala huna haja ya kuota kuhusu jambo hilo ndugu.
 
Siasa ni uwanja mpana sana, wewe ulipo fikia hapo kufikiria wenzio wapo beyond ya hapo.
Embu takari yafuatayo.
1. Kitendo cha wabunge wa upinzani kuunga juhudi, imekifanya chama cha mapindizi kuongeza kiwango cha ruzuku
Kinyume chake kwa vyama vya upinzani kudolola kwani moja ya uwendeshwaji wa chama utegemea ruzuku.
Hapa sio kuwa ccm inashida na mbunge mwenyewe bali shida ni ruzuku na jimbo sio mtu.

2. Kwa wafanyakazi, ni kweli wameumizwa kiasi fulani lakini ni mng'ato wa panya wa kuuma na kupuliza
Leo hii halmashauri zote serikali imetoa mikopo isiyo kuwa na riba kwa wafanyakazi ambayo itatolewa kwa awamu awamu ya kwanza tiali imetoka bado awamu ya pili
Katika hili wafanyakazi wameanza kusahau machungu na bado mazuri yanakuja

3. Wananchi wa kawaida, hawa tunao wakulima wengi wavuvi, na wajasiriamali
Maisha yalikuwa magumu na kuna maeneo yalikumbwa hadi na njaa bei ya vyakula ikawa juu.
Lakini leo hii maeneo mengi nchini wameivisha sana chakula mahindi na mpunga, mpaka sasa bei imeanza kupanda kwani kuna watu sasa wamevamia mashamba kununua vyakula na hapo bado mipaka ya majirani zetu hawajalusiwa mfano kenya wana baa la njaa hivyo bado kwa mkulima kutakuwa na unafuu wa bei na pia hatasahau machungu

Pia kwa wavuvi kitendo cha kunyesha mvua kwa wingi kumepelekea kina cha maji kuongezeka na kuongezekwa kwa mazalia ya samaki leo hii maziwa yametema samaki na bado msimu pia sheria wameanza kuregeza, mh. Mpina naye yuko busy na jimbo wavuvi kwasasa wameanza kisahau machungu

4. Mabeberu kama mnavyo waita.
Kumbuka mfumo ulivyo kwa nchi yetu sio vyepesi USA na UK kufanya udukuzi au kuweka hujuma kwa ccm TANZANI hi ni ozonic system ambayo ndie mlinzi mkuu wa bahari ya hindi
Kuna athari kubwa endapo machafuko yakitokea Tanzania na hizi athari sio tu kwa Tanzania bali kwa USA na UK
Hivyo kuwa kutakuwa na choko choko hilo sahau.

5. System na wastaafu.
Jaribu leo kutazama vidole vyako vya mkono wa kulia vitazame mara 6 alafu utafakari na hisi utagundua kitu baina ya system na chama
Apo nawaachia h/k

6. Siasa ni upepo na kuvuna mioyo ya watu kwa sasa upinzani iwe jimboni au taifa bado upepo wao mdogo na hajapatikana kiongozi wa upinzani atakae tikisa ccm au taifa labuda upinzani uingie kwenye mission ya ccm kumdaka membe
 
Siasa ni uwanja mpana sana, wewe ulipo fikia hapo kufikiria wenzio wapo beyond ya hapo.
Embu takari yafuatayo.
1. Kitendo cha wabunge wa upinzani kuunga juhudi, imekifanya chama cha mapindizi kuongeza kiwango cha ruzuku
Kinyume chake kwa vyama vya upinzani kudolola kwani moja ya uwendeshwaji wa chama utegemea ruzuku.
Hapa sio kuwa ccm inashida na mbunge mwenyewe bali shida ni ruzuku na jimbo sio mtu.

2. Kwa wafanyakazi, ni kweli wameumizwa kiasi fulani lakini ni mng'ato wa panya wa kuuma na kupuliza
Leo hii halmashauri zote serikali imetoa mikopo isiyo kuwa na riba kwa wafanyakazi ambayo itatolewa kwa awamu awamu ya kwanza tiali imetoka bado awamu ya pili
Katika hili wafanyakazi wameanza kusahau machungu na bado mazuri yanakuja

3. Wananchi wa kawaida, hawa tunao wakulima wengi wavuvi, na wajasiriamali
Maisha yalikuwa magumu na kuna maeneo yalikumbwa hadi na njaa bei ya vyakula ikawa juu.
Lakini leo hii maeneo mengi nchini wameivisha sana chakula mahindi na mpunga, mpaka sasa bei imeanza kupanda kwani kuna watu sasa wamevamia mashamba kununua vyakula na hapo bado mipaka ya majirani zetu hawajalusiwa mfano kenya wana baa la njaa hivyo bado kwa mkulima kutakuwa na unafuu wa bei na pia hatasahau machungu

Pia kwa wavuvi kitendo cha kunyesha mvua kwa wingi kumepelekea kina cha maji kuongezeka na kuongezekwa kwa mazalia ya samaki leo hii maziwa yametema samaki na bado msimu pia sheria wameanza kuregeza, mh. Mpina naye yuko busy na jimbo wavuvi kwasasa wameanza kisahau machungu

4. Mabeberu kama mnavyo waita.
Kumbuka mfumo ulivyo kwa nchi yetu sio vyepesi USA na UK kufanya udukuzi au kuweka hujuma kwa ccm TANZANI hi ni ozonic system ambayo ndie mlinzi mkuu wa bahari ya hindi
Kuna athari kubwa endapo machafuko yakitokea Tanzania na hizi athari sio tu kwa Tanzania bali kwa USA na UK
Hivyo kuwa kutakuwa na choko choko hilo sahau.

5. System na wastaafu.
Jaribu leo kutazama vidole vyako vya mkono wa kulia vitazame mara 6 alafu utafakari na hisi utagundua kitu baina ya system na chama
Apo nawaachia h/k

6. Siasa ni upepo na kuvuna mioyo ya watu kwa sasa upinzani iwe jimboni au taifa bado upepo wao mdogo na hajapatikana kiongozi wa upinzani atakae tikisa ccm au taifa labuda upinzani uingie kwenye mission ya ccm kumdaka membe
Zimefanyika mbinu nyingi sana juu ya wapinzani . Sio kuwa watanzania hawajui na hawaoni hapana wameona yote. Watanzania wengi wameyaweka moyoni na huwezi jua watayatoa lini. Kwa iyo usijihakikishie ndugu

Kuhusu no 6 yako Naomba usimtukane mamba kabla hujavuka mto. Kimya kingi kina mashindo mkuu. Usione wapinzani wamekaa kimya wanajua wanafanya nini. Kuhusu Membe napenda kukuhakikishia ni Bora Magufuli apambane na Membe 1000 kuliko Tundu Lissu 1. Lissu ni threat kwenye kujenga hoja na kushawishi.

Kuhusu Watumishi ndugu yangu hapo umekosea sana. Hakuna makundi yenye hasira na awamu hii kama watumishi na wafanyabiashara wakubwa.

Ni jambo la wakati tu!
 
Jibu la swali lako ni hili,mwenyekiti wa kutangaza matokeo hayo hayupo na hatakuwepo na wala huna haja ya kuota kuhusu jambo hilo ndugu.
Jihakikishie tu hivyo ndugu. Lakini usiombe nguvu ya umma na pressure za mabeberu ziungane.
 
Amani iwe kwenu !
Natumai wote mu wazima na mnaendelea vizuri na majukumu yangu.

Kama kawaida yangu kazi yangu ni kuangalia na kuonya ivyo Leo napenda niseme kwa macho yangu naona CCM anapambana na nani hasa kwenye uchaguzi wa mwaka huu??

Kwa maoni yangu katika mwaka huu CCM anapambana na watu wafuatao!

1. Wapinzani
Hawa kila mtu anawajua. Ni vyama pinzani ambavyo nao majukumu yao ni kushika dola. Wao ni maadui wanaoonekana na wanajulikana hasa kwa CCM

2. Watu wa System wasioridhishwa na mwenendo wa JPM

Hawa ni watu hatari zaidi. Hili ndo kundi linaloongozwa na kina Kigogo. Kuna watu wanadhani kigogo wa Twitter ni mtu mmoja ila la hasha. Kwa mtazamo wangu hawa ni mjumuiko wa watu very smart within the system ambao hawarudhishwi na jinsi nchi inavyoenda.
Hawa ni watu wenye akili sana na wanajua kila move wanayoifanya na wanajua wanafanya nini ili wapate nini.

CCM kuweni makini sana na hawa watu

3. Western World.(Mabeberu kwa lugha ya vijana wa Lumumba)
Hawa ingawa Ccm wanawajua ila hawajui wamepanga nini. Hawa ni watu smart zaidi kuliko kundi la pili tajwa hapo juu. Hawa wanajua kupanga. Wanajua kila kitu kinachoendelea nchini na serikalini na hata pia ikulu. Siku zote Ccm walikuwa wanajua kuishi kinafiki na kundi hili ila bahati mbaya sasa wameshindwa kuishi nao kinafiki ivyo kupelekea hili kundi kuamua kuanza kupiga simu maaana kwa awamu hii wameshabipiwa saana na serikali ya awamu ya tano.

4. CCM Asili

Hili ni kundi pia linalojulikana ila limebanwa sana. Hawajui watoke vipi ila wakipata nafasi tu wametoka. Hawa hawapatani kabisa na mzee Magu na wanaona ilikuwa bahati mbaya sana mzee Magu kuchukua usukani. Hawa wanasubiri tu support kutoka kwa kundi namba 2 na 3 na wakipata nafasi wamemaliza

5. Watumishi wa Umma
Hawa ni watu waliojeruhiwa sana na awamu hii. Ni miaka 4 sasa hawajaona nyongeza ya mishahara na kwa sasa wako tayari kufanya kazi na yeyote atakaeonesha anaweza kuwasikiliza mahitaji yao.


Wito
CCM kati ya Mwaka mnaotakiwa kuwa makini na kujiandaa kwa lolote ni mwaka huu!

Kwa Mzee wangu Magu!
You need smart people wanaoweza kucheza huu mchezo. Achana na hao wanaokupaka mafuta kwa Mgongo wa Chupa. Nafasi bado unayo jipange vizuri.
Tuna tume yetu ya uchaguzi, kanuni za uchaguzi zinatulinda, dola iko imara kutusaidia. Hatuna wasiwasi. Maadui hao walie tu!
 
Tuna tume yetu ya uchaguzi, kanuni za uchaguzi zinatulinda, dola iko imara kutusaidia. Hatuna wasiwasi. Maadui hao walie tu!
Hakuna Jeshi la kuwapiga risasi watu elfu 10 tu tuwakiingia mtaani.
 
Back
Top Bottom