Uchaguzi 2020 Uchaguzi 2020: CCM anapambana na nani?

Uchaguzi 2020 Uchaguzi 2020: CCM anapambana na nani?

Amani iwe kwenu !
Natumai wote mu wazima na mnaendelea vizuri na majukumu yangu.

Kama kawaida yangu kazi yangu ni kuangalia na kuonya ivyo Leo napenda niseme kwa macho yangu naona CCM anapambana na nani hasa kwenye uchaguzi wa mwaka huu??

Kwa maoni yangu katika mwaka huu CCM anapambana na watu wafuatao!

1. Wapinzani
Hawa kila mtu anawajua. Ni vyama pinzani ambavyo nao majukumu yao ni kushika dola. Wao ni maadui wanaoonekana na wanajulikana hasa kwa CCM

2. Watu wa System wasioridhishwa na mwenendo wa JPM

Hawa ni watu hatari zaidi. Hili ndo kundi linaloongozwa na kina Kigogo. Kuna watu wanadhani kigogo wa Twitter ni mtu mmoja ila la hasha. Kwa mtazamo wangu hawa ni mjumuiko wa watu very smart within the system ambao hawarudhishwi na jinsi nchi inavyoenda.
Hawa ni watu wenye akili sana na wanajua kila move wanayoifanya na wanajua wanafanya nini ili wapate nini.

CCM kuweni makini sana na hawa watu

3. Western World.(Mabeberu kwa lugha ya vijana wa Lumumba)
Hawa ingawa Ccm wanawajua ila hawajui wamepanga nini. Hawa ni watu smart zaidi kuliko kundi la pili tajwa hapo juu. Hawa wanajua kupanga. Wanajua kila kitu kinachoendelea nchini na serikalini na hata pia ikulu. Siku zote Ccm walikuwa wanajua kuishi kinafiki na kundi hili ila bahati mbaya sasa wameshindwa kuishi nao kinafiki ivyo kupelekea hili kundi kuamua kuanza kupiga simu maaana kwa awamu hii wameshabipiwa saana na serikali ya awamu ya tano.

4. CCM Asili

Hili ni kundi pia linalojulikana ila limebanwa sana. Hawajui watoke vipi ila wakipata nafasi tu wametoka. Hawa hawapatani kabisa na mzee Magu na wanaona ilikuwa bahati mbaya sana mzee Magu kuchukua usukani. Hawa wanasubiri tu support kutoka kwa kundi namba 2 na 3 na wakipata nafasi wamemaliza

5. Watumishi wa Umma
Hawa ni watu waliojeruhiwa sana na awamu hii. Ni miaka 4 sasa hawajaona nyongeza ya mishahara na kwa sasa wako tayari kufanya kazi na yeyote atakaeonesha anaweza kuwasikiliza mahitaji yao.


Wito
CCM kati ya Mwaka mnaotakiwa kuwa makini na kujiandaa kwa lolote ni mwaka huu!

Kwa Mzee wangu Magu!
You need smart people wanaoweza kucheza huu mchezo. Achana na hao wanaokupaka mafuta kwa Mgongo wa Chupa. Nafasi bado unayo jipange vizuri.
Uzi mzuri Mkuu nami niseme upo smart
Sio kama wengine wanao kaa kusifia na
Huku kutwa kuiponda vyama vya upinz
ani hasa chadema
 
Ushauri mkubwa unaostahili kuzingatiwa, ni huu,

" Kwa Mzee wangu Magu!
You need smart people wanaoweza kucheza huu mchezo. Achana na hao wanaokupaka mafuta kwa Mgongo wa Chupa. Nafasi bado unayo jipange vizuri."

Afanye juu chini awarudishe Team ya KINANA, JANUARY NA NAPE, hii team ilikuwa na kocha, linkman na scorer, walijua kucheza mechi zao , inteligently , well planned na precisely executed. Sio madebe matupu ya kelele nyingi.

Mzee Raisi, you need brains to work for you and not myscles

Sent using Jamii Forums mobile app
No Wenda magu ni smart president ila
Chama alichopitia kina shida so ushauri
Wangu ageuze mawazo angombee mwa
ka huu kupitia chadema aiache ccm isem
wayo ina wenyewe na sijawai elewa ka
ma ni wanachama au kikundi cha watu
 
Ukiwasubiri akina Bia Yetu, Mudawote, Coccochanel, Magonjwamtambuka, Stroke, Rejao,USSR, Simiyu Yetu na wengine wengi!
Sidhani kama wanaona hii tahadhari kubwa iliyo Mbele yao. Maana wao wamekaa kuharibu mada Nzuri tu zinazorushwa humu.
Wako humu for a special mission, which is kuharibu mijadala makini na huru.
 
Usiwasahau wakulima wa mbaazi,korosho nk,pia wafugaji kuanzia Ihefu,mapori yote ya akiba nk,wafanyabiashara waliofilisiwa na tra,matching guys nao hawakusalimika,wavuvi kwa ujumla wao na wahitimu waliokosa ajira na wale wanufaika wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu kudaiwa 15%+ pretension fees badala ya 7%.
Sifahamu wapiga kura wanaoenda kuipa CCM ushindi wa over 90% ni kutoka kada IPI ya Watanzania? Maybe hawahitaji kura zetu,watawatumia wasimamizi wa vituo kupiga kura kama walivyofanya huku kwetu kwenye uchafuzi wa mbunge baada ya kuunga mkono juhudi.Ni maajabu ya CCM,NEC na vyombo vya ulinzi(Dola) kujichagua kwa niaba ya Wananchi.
To be honest kwa awamu hii ya 5, ujenzi wa miondombinu wamejitahidi ila kwa makundi Mengi ikiwemo Wakulima na wafanyakazi hao ndo wana majonzi sana na awamu hii. Wakulima na wafanyakazi wao wanasubiri mtu atakayekuja na sera za kunadirisha maisha yao na kuwajali na wakipata support kwa kundi la 2 la watu wa system wasioridhishwa na mwenendo was Serikali ya awamu ya tano basi lolote laweza kutokea
 
Magufuli alishapiga marufuku siasa kwa hiyo saaizi ni maagizo tu yakwakwe yamebaki nani awembunge wapi na kila kitu.....NGOJA WAPIGA DEBE WA lumumba wameanza kupata suluba safi sana hii......

MAENDELEO HAYANA VYAMA lkn MIMI NASEMA UDIKTETA HAUNA VYAMA!!!!
 
Magufuli alishapiga marufuku siasa kwa hiyo saaizi ni maagizo tu yakwakwe yamebaki nani awembunge wapi na kila kitu.....NGOJA WAPIGA DEBE WA lumumba wameanza kupata suluba safi sana hii......

MAENDELEO HAYANA VYAMA lkn MIMI NASEMA UDIKTETA HAUNA VYAMA!!!!
Hivi unafikiri Mf. Mwenyekiti wa Tume alitangaza mgombea ni wa upinzani, Magufuli atafanya nini?

Ndio Magufuli ni raisi na amiri jeshi Mkuu ila October wakati wa kuhesabu kura anakuwa Sawasawa na wagombea woteee. Na endapo akitangazwa mgombea mwingine tu kuwa mshindi Hapo ndo utaona rangi halisi ya watanzania na wasaidizi wake.
Kwa haraka tu hapo kubaki kwake kunatokana na foreign support both kutoka kwa majirani zake na wakubwa wa nje(China na Western Powers)

Swali ni je ikiwa ikitokea hivyo, Magufuli anapatana na jirani zake(ukiondoa Burundi tu ambaye nae ni hoehae?)

Kenya n🇰🇪 ni 50/50, Rwanda 50/50 , Uganda 50/50, Zambia nako 50/50

Sasa ukienda kwa China na West.
Je China wanamuona Magufuli as asset or Liability?

Kwa Western Powers nadhani Jibu wote tunalijua.

It’s obvious Uchaguzi wa mwaka huu unaweza kuwa uchaguzi mgumu zaidi kuwai kutokea.

Ni Wapinzani/Chadema tu kuwa na ujasiri na kujipanga.
 
Hivi unafikiri Mf. Mwenyekiti wa Tume alitangaza mgombea ni wa upinzani, Magufuli atafanya nini?

Ndio Magufuli ni raisi na amiri jeshi Mkuu ila October wakati wa kuhesabu kura anakuwa Sawasawa na wagombea woteee. Na endapo akitangazwa mgombea mwingine tu kuwa mshindi Hapo ndo utaona rangi halisi ya watanzania na wasaidizi wake.
Kwa haraka tu hapo kubaki kwake kunatokana na foreign support both kutoka kwa majirani zake na wakubwa wa nje(China na Western Powers)

Swali ni je ikiwa ikitokea hivyo, Magufuli anapatana na jirani zake(ukiondoa Burundi tu ambaye nae ni hoehae?)

Kenya n🇰🇪 ni 50/50, Rwanda 50/50 , Uganda 50/50, Zambia nako 50/50

Sasa ukienda kwa China na West.
Je China wanamuona Magufuli as asset or Liability?

Kwa Western Powers nadhani Jibu wote tunalijua.

It’s obvious Uchaguzi wa mwaka huu unaweza kuwa uchaguzi mgumu zaidi kuwai kutokea.

Ni Wapinzani/Chadema tu kuwa na ujasiri na kujipanga.
Mkuu acha kuzunguka mbuyu.....UNAMFAHAMU JECHA?
 
Hivi unafikiri Mf. Mwenyekiti wa Tume alitangaza mgombea ni wa upinzani, Magufuli atafanya nini?

Ndio Magufuli ni raisi na amiri jeshi Mkuu ila October wakati wa kuhesabu kura anakuwa Sawasawa na wagombea woteee. Na endapo akitangazwa mgombea mwingine tu kuwa mshindi Hapo ndo utaona rangi halisi ya watanzania na wasaidizi wake.
Kwa haraka tu hapo kubaki kwake kunatokana na foreign support both kutoka kwa majirani zake na wakubwa wa nje(China na Western Powers)

Swali ni je ikiwa ikitokea hivyo, Magufuli anapatana na jirani zake(ukiondoa Burundi tu ambaye nae ni hoehae?)

Kenya n🇰🇪 ni 50/50, Rwanda 50/50 , Uganda 50/50, Zambia nako 50/50

Sasa ukienda kwa China na West.
Je China wanamuona Magufuli as asset or Liability?

Kwa Western Powers nadhani Jibu wote tunalijua.

It’s obvious Uchaguzi wa mwaka huu unaweza kuwa uchaguzi mgumu zaidi kuwai kutokea.

Ni Wapinzani/Chadema tu kuwa na ujasiri na kujipanga.
Hapo kwny "Ndio Magufuli ni raisi na amiri jeshi Mkuu ila October wakati wa kuhesabu kura anakuwa Sawasawa na wagombea woteee".

Hapo mzee baba unajidanganya big time,yule ni rais na mpk wkt huo security organs zote ziko chini yake na mafekeche watayafanya kama ilivyo ada yao.
 
Amani iwe kwenu !
Natumai wote mu wazima na mnaendelea vizuri na majukumu yangu.

Kama kawaida yangu kazi yangu ni kuangalia na kuonya ivyo Leo napenda niseme kwa macho yangu naona CCM anapambana na nani hasa kwenye uchaguzi wa mwaka huu??

Kwa maoni yangu katika mwaka huu CCM anapambana na watu wafuatao!

1. Wapinzani
Hawa kila mtu anawajua. Ni vyama pinzani ambavyo nao majukumu yao ni kushika dola. Wao ni maadui wanaoonekana na wanajulikana hasa kwa CCM

2. Watu wa System wasioridhishwa na mwenendo wa JPM

Hawa ni watu hatari zaidi. Hili ndo kundi linaloongozwa na kina Kigogo. Kuna watu wanadhani kigogo wa Twitter ni mtu mmoja ila la hasha. Kwa mtazamo wangu hawa ni mjumuiko wa watu very smart within the system ambao hawarudhishwi na jinsi nchi inavyoenda.
Hawa ni watu wenye akili sana na wanajua kila move wanayoifanya na wanajua wanafanya nini ili wapate nini.

CCM kuweni makini sana na hawa watu

3. Western World.(Mabeberu kwa lugha ya vijana wa Lumumba)
Hawa ingawa Ccm wanawajua ila hawajui wamepanga nini. Hawa ni watu smart zaidi kuliko kundi la pili tajwa hapo juu. Hawa wanajua kupanga. Wanajua kila kitu kinachoendelea nchini na serikalini na hata pia ikulu. Siku zote Ccm walikuwa wanajua kuishi kinafiki na kundi hili ila bahati mbaya sasa wameshindwa kuishi nao kinafiki ivyo kupelekea hili kundi kuamua kuanza kupiga simu maaana kwa awamu hii wameshabipiwa saana na serikali ya awamu ya tano.

4. CCM Asili

Hili ni kundi pia linalojulikana ila limebanwa sana. Hawajui watoke vipi ila wakipata nafasi tu wametoka. Hawa hawapatani kabisa na mzee Magu na wanaona ilikuwa bahati mbaya sana mzee Magu kuchukua usukani. Hawa wanasubiri tu support kutoka kwa kundi namba 2 na 3 na wakipata nafasi wamemaliza

5. Watumishi wa Umma
Hawa ni watu waliojeruhiwa sana na awamu hii. Ni miaka 4 sasa hawajaona nyongeza ya mishahara na kwa sasa wako tayari kufanya kazi na yeyote atakaeonesha anaweza kuwasikiliza mahitaji yao.


Wito
CCM kati ya Mwaka mnaotakiwa kuwa makini na kujiandaa kwa lolote ni mwaka huu!

Kwa Mzee wangu Magu!
You need smart people wanaoweza kucheza huu mchezo. Achana na hao wanaokupaka mafuta kwa Mgongo wa Chupa. Nafasi bado unayo jipange vizuri.
Point no 1.Magufuli ni yule yule hapendi upinzani
Japo vipo vyama havitasimamisha mgombea uraisi

Pointi no.2.Systems zote ni za Raisi nae ndio anamamlaka juu yake.Ni wazi wanaunga juhudi za Magu,vinginevyo utaitwa msaliti.

Point no.3 Mahusiano yake na Foreign Powers na taasisi zake yanatia shaka kwa sababu haeleweki.

Point no.5 Wafanyakazi kwa ujumla hawana cha kushangilia.

Point no.4 CCM Asilia hawavumi lakini wamo ,ndio makada kama Membe wakichanganya na akina Kinana,na wakapata referee Kikwete wanaweza wakamwekea Magufuli pingamizi.
 
ccm inatawala kwa mabavu hakuna mtu mwenye akili timamu anashadadia ccm
 
Hapo kwny "Ndio Magufuli ni raisi na amiri jeshi Mkuu ila October wakati wa kuhesabu kura anakuwa Sawasawa na wagombea woteee".

Hapo mzee baba unajidanganya big time,yule ni rais na mpk wkt huo security organs zote ziko chini yake na mafekeche watayafanya kama ilivyo ada yao.
Swali langu ni Je ikitokea mwenyekiti wa Tume akamtangaza mtu mwingine atamfanyaje??

Bora uombe lisitokee ndugu ila hapo hata hao unaosema ni vyombo vya dola wanaweza kuanza kukataa maelekezo na amri zako.



Tena usiombee ndo kuwe na shinikizo la kimata
ifa. Lilimkuta Jammeh wa Gambia na Gabgo wa Ivory Coast. Usiombee ndugu yangu.
 
Back
Top Bottom