Uchaguzi 2020 kupita bila kupigwa ni tatizo

Uchaguzi 2020 kupita bila kupigwa ni tatizo

Paf

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2021
Posts
1,703
Reaction score
3,307
Kupitia bila kupingwa ni mbegu mbaya kidemokrasia nchini.
Eneo ambalo mgombea atakuwa hana mpinzani,asitangazwe hadi uwepo ushindani zaidi ya mgombea mmoja

Wananchi wananyimwa haki za msingi kwa sheria mfu.
 
Kama hakuna mpinzani ni hakuna tu, kwa nini kupoteza muda...
 
Hakunaga kupita bila kupigwa kwenye dunia ya ulimwengu wa tatu hayo ni mazingira tu watu huyatengeneza kwa gharama kubwa au hata kutoa uhai wa mtu. Katiba yetu mbovu na Sheria zetu mbovu ndio inapelekea yote hayo.


UKIFUATILIA HAKUNA HATA MMOJA ALIYEPITA BILA KUPIGWA KWANI NANI HAPENDI MSHAHARA MNONO WA UBUNGE ??
 
Back
Top Bottom