Uchaguzi 2020 Uchaguzi 2020: Sioni hoja za Magufuli na CCM kutushawishi Watanzania tuwachague tena!

Uchaguzi 2020 Uchaguzi 2020: Sioni hoja za Magufuli na CCM kutushawishi Watanzania tuwachague tena!

hivi huko upinzani mna hoja gani inayowabeba mpaka sasa; hoja yenu kuu ya ufisadi mlishaiua na muasisi wake kawakimbia kwa sasa yuko upande mwingine.
Hoja ni huyo jiwe wenu kaua uchumi alafu agenda ya ufisadi iko palepale lifisadi likubwa limerudi kwenu. Loahasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...Mungu ametupa uvumilivu, tuendelee kuvumilia hata kama tunaumia kiasi gani! Bila katiba mpya itakuwaje sasa mkuu?
 

Siasa sio hisabati kwamba jibu lzm liwe moja.Ana Kazi kubwa kwanza kupenya ccm yenyewe ndo aje apenye kwa watz,kipi kishawishi kinachoweza waaminisha watz wamchague kipi kawafanyia wapiga kura hadi washawishike
 
hakuna kipindi ambacho maisha yamekua mazuri kama kipindi cha utawala wa rais wetu kipenzi jpm. nimeoa ktk utawala huu, nimesoma na kuhitimu chuo ktk utawala huu na ninaajira (lakini sipo serikalini). watu tunapiga pesa hatari na kila ninalo panga linajipa huwezi amini. biashara nishaanza kufungua biashara na inaenda vizuri sana

huku mtaani biashara kama kawaida, watu tushaanzisha ujenzi na pesa mgukoni bado ipo. hakuna mtu anaepiga kazi atakosa pesa mkuu usipotoshe watu, anaelalamika sasa hana hela wakati wa jk alikua na pesa? kama alikua nazo nini kimezipunguza toka kwake? nenda bar jioni ndio utajua km wewe ndo huna hela. watanzania tumesha mwelewa jpm nini anataka kuwafanyia watz, hivyo bila shaka yeyote tutakua nae hadi 2030
 
  • Thanks
Reactions: Oii
hakuna kipindi ambacho maisha yamekua mazuri kama kipindi cha utawala wa rais wetu kipenzi jpm. nimeoa ktk utawala huu, nimesoma na kuhitimu chuo ktk utawala huu na ninaajira (lakini sipo serikalini). watu tunapiga pesa hatari na kila ninalo panga linajipa huwezi amini. biashara nishaanza kufungua biashara na inaenda vizuri sana

huku mtaani biashara kama kawaida, watu tushaanzisha ujenzi na pesa mgukoni bado ipo. hakuna mtu anaepiga kazi atakosa pesa mkuu usipotoshe watu, anaelalamika sasa hana hela wakati wa jk alikua na pesa? kama alikua nazo nini kimezipunguza toka kwake? nenda bar jioni ndio utajua km wewe ndo huna hela. watanzania tumesha mwelewa jpm nini anataka kuwafanyia watz, hivyo bila shaka yeyote tutakua nae hadi 2030

Wwe ni mnufaika wa mfumo yawezakuwa u mtoto wa Dada hivo kwako Kumteremko,kukaa bar ni hobby na sio kipimo cha MTU kuwa na hela,kama u mnufaika wa wizi na upigaji wa awamu hii yatakuwa vipi magumu.Mkulima wa korosho je,mwenye bureau de change je,kwa mda wa Miaka 3 sasa watu Milioni 2 wamekosa Kazi za moja kwa moja sababu ya maamuzi yasiyozingatia Sheria.
 
Kwa hoja hizo ni bora aseme anaijenga DSM pekee.Maana 97 % ya hayo yanafanyika DSM.Kwa hiyo amepata urais aijenge DSM?
Dar es Salaam ndiyo jiji la kibiashara kuliko yote TZ! labda angalia utofauti wa ukusanyaji wa mapato kila mkoa, ni mkoa hupi unakusanya kingi kuliko yote then angalia na uko uliko!
 
Dar es Salaam ndiyo jiji la kibiashara kuliko yote TZ! labda angalia utofauti wa ukusanyaji wa mapato kila mkoa, ni mkoa hupi unakusanya kingi kuliko yote then angalia na uko uliko!
Hiyo hoja mfu sijui mlikaririshwa na nani?Hivi;DSM inazalisha nini cha moja kwa moja zaidi ya kutegemea malighafi zote kutoka mikoa mingine?Zaidi ya kukusanya kodi,kitu ambacho mkoa wowote ungeweza,nini zaidi huzalishwa DSM?Ni kwa nini pajengwe sehemu moja tu?Huo ni udhaifu na kuangalia mambo kwa mazoea kama mlivyozoea.
Kujaza huduma nyingi za kijamii sehemu moja ndiyo matokeo ya kufanya watu watoke sehemu nyingi za nchi na kujazana huko.Huduma zisipotawanywa hufuatwa kwa nguvu zilipo.Mtakaa mnalalamika DSM kujaa watu kila siku wakati hakuna juhudi za kuweka mgawanyo wa huduma wenye msawaziko.
 
Ni kujifariji tu Mh Rais kwenye uchaguzi wa 2020 atashinda kwa 92% tunapaswa kuendelea kumshukuru Mungu kwani pumzi, mvua, nuru, giza, jua,maji, aridhi na anga haviko kwenye imaya ya binadamu. Mungu tu alitutunuku la sivyo sijui ingekuwaje, ingebidi tupunguze baadhi ya pumzi za watu ili kubana matumizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wwe ni mnufaika wa mfumo yawezakuwa u mtoto wa Dada hivo kwako Kumteremko,kukaa bar ni hobby na sio kipimo cha MTU kuwa na hela,kama u mnufaika wa wizi na upigaji wa awamu hii yatakuwa vipi magumu.Mkulima wa korosho je,mwenye bureau de change je,kwa mda wa Miaka 3 sasa watu Milioni 2 wamekosa Kazi za moja kwa moja sababu ya maamuzi yasiyozingatia Sheria.
Mbona mm sio mnufaikaji wa mfumo, kwa iyo kwa akili zako zoote ulotumia, mtu anaeendelea na life lake kama kawaida ni lazima awe mnufaikaji wa mfumo, haki nyumbu mna akili fupi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hakuna kipindi ambacho maisha yamekua mazuri kama kipindi cha utawala wa rais wetu kipenzi jpm. nimeoa ktk utawala huu, nimesoma na kuhitimu chuo ktk utawala huu na ninaajira (lakini sipo serikalini). watu tunapiga pesa hatari na kila ninalo panga linajipa huwezi amini. biashara nishaanza kufungua biashara na inaenda vizuri sana

huku mtaani biashara kama kawaida, watu tushaanzisha ujenzi na pesa mgukoni bado ipo. hakuna mtu anaepiga kazi atakosa pesa mkuu usipotoshe watu, anaelalamika sasa hana hela wakati wa jk alikua na pesa? kama alikua nazo nini kimezipunguza toka kwake? nenda bar jioni ndio utajua km wewe ndo huna hela. watanzania tumesha mwelewa jpm nini anataka kuwafanyia watz, hivyo bila shaka yeyote tutakua nae hadi 2030

Ni sawa, hata gharika likija hatutakufa wote! Inawezekana kabisa ukawa mnufaika wa mfumo, lazima utetee!
 
hakuna kipindi ambacho maisha yamekua mazuri kama kipindi cha utawala wa rais wetu kipenzi jpm. nimeoa ktk utawala huu, nimesoma na kuhitimu chuo ktk utawala huu na ninaajira (lakini sipo serikalini). watu tunapiga pesa hatari na kila ninalo panga linajipa huwezi amini. biashara nishaanza kufungua biashara na inaenda vizuri sana

huku mtaani biashara kama kawaida, watu tushaanzisha ujenzi na pesa mgukoni bado ipo. hakuna mtu anaepiga kazi atakosa pesa mkuu usipotoshe watu, anaelalamika sasa hana hela wakati wa jk alikua na pesa? kama alikua nazo nini kimezipunguza toka kwake? nenda bar jioni ndio utajua km wewe ndo huna hela. watanzania tumesha mwelewa jpm nini anataka kuwafanyia watz, hivyo bila shaka yeyote tutakua nae hadi 2030
Haya , kama na wewe ni msomi hivi vyuo vikuu bora vifungwe. Haaaaaa haaaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom