Pre GE2025 Uchaguzi 2025 hatutapata wabunge wengi kama tunavyotarajia. Mbowe kawaingiza mkenge Makamanda wasiotambua

Pre GE2025 Uchaguzi 2025 hatutapata wabunge wengi kama tunavyotarajia. Mbowe kawaingiza mkenge Makamanda wasiotambua

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Eti maridhiano. Acheni utapeli.
Mtu anatolewa jela usiku usiku. Anaenda Ikulu na kuna fanyika makubaliano kuwa fanya hivi ili Mapebari wajue kuna demokrasia hapa Tanganyika. Alafu eti tutawapa nafasi za wabunge.

Huu mkataba ni kati ya Mbowe na CCM sio kati ya Chadema na wananchi.

Makamanda wenzangu msidhani yaliyotokea mwak 2010 kwenye uchaguzi yatarudia 2025.
 
Eti maridhiano. Acheni utapeli.
Mtu anatolewa jela usiku usiku. Anaenda Ikulu na kuna fanyika makubaliano kuwa fanya hivi ili Mapebari wajue kuna demokrasia hapa Tanganyika. Alafu eti tutawapa nafasi za wabunge.

Huu mkataba ni kati ya Mbowe na CCM sio kati ya Chadema na wananchi.

Makamanda wenzangu msidhani yaliyotokea mwak 2010 kwenye uchaguzi yatarudia 2025.
Kuna kitu hakiko sawa kichwani Kwa Mbowe. Amini nawaambia!! Pengine lile gorofa ndo mkataba wenyewe wa kukiua chama!!

Wenye akili wajipange kukihama hicho chama
 
Eti maridhiano. Acheni utapeli.
Mtu anatolewa jela usiku usiku. Anaenda Ikulu na kuna fanyika makubaliano kuwa fanya hivi ili Mapebari wajue kuna demokrasia hapa Tanganyika. Alafu eti tutawapa nafasi za wabunge.

Huu mkataba ni kati ya Mbowe na CCM sio kati ya Chadema na wananchi.

Makamanda wenzangu msidhani yaliyotokea mwak 2010 kwenye uchaguzi yatarudia 2025.
kwenye kampeni na uchaguzi, hua hakuna mzaha, hakuna kuona haya, hakuna kutegea, wala lelemama kwenye kujizatiti kushika dollar, kuunda serikali na kuongoza nchi. Lazma kua serious kwenye jambo hili.....

undugu na urafiki ni baada ya matokeo 🐒

mkataba huwa ni kati ya chama cha siasa na wananchi pekee na si vinginevyo 🐒
 
Mbowe angestaafu aachie damu changa. Lissu au Heche watatufaa. Labda Kama anataka kukihujumu chama kwa kuleta migogoro ya Kiongozi. Afate nyayo za watangulizi wake.
 
Eti maridhiano. Acheni utapeli.
Mtu anatolewa jela usiku usiku. Anaenda Ikulu na kuna fanyika makubaliano kuwa fanya hivi ili Mapebari wajue kuna demokrasia hapa Tanganyika. Alafu eti tutawapa nafasi za wabunge.

Huu mkataba ni kati ya Mbowe na CCM sio kati ya Chadema na wananchi.

Makamanda wenzangu msidhani yaliyotokea mwak 2010 kwenye uchaguzi yatarudia 2025.
Umekimbia dose milembe Chadema ulifukuzwa kitambo huko CCM hakukutoshi bwana mrambinako
 
Mbowe angestaafu aachie damu changa. Lissu au Heche watatufaa. Labda Kama anataka kukihujumu chama kwa kuleta migogoro ya Kiongozi. Afate nyayo za watangulizi wake.
Hawezi kustaafu. Kuna chawa wanampamba kuwa hao kina Lissu watanunuliwa na ccm, eti mbowe tu ndiye hana bei.

Mambo ya ajabu sana.
 
Eti maridhiano. Acheni utapeli.
Mtu anatolewa jela usiku usiku. Anaenda Ikulu na kuna fanyika makubaliano kuwa fanya hivi ili Mapebari wajue kuna demokrasia hapa Tanganyika. Alafu eti tutawapa nafasi za wabunge.

Huu mkataba ni kati ya Mbowe na CCM sio kati ya Chadema na wananchi.

Makamanda wenzangu msidhani yaliyotokea mwak 2010 kwenye uchaguzi yatarudia 2025.
Sawa.
 
Eti maridhiano. Acheni utapeli.
Mtu anatolewa jela usiku usiku. Anaenda Ikulu na kuna fanyika makubaliano kuwa fanya hivi ili Mapebari wajue kuna demokrasia hapa Tanganyika. Alafu eti tutawapa nafasi za wabunge.

Huu mkataba ni kati ya Mbowe na CCM sio kati ya Chadema na wananchi.

Makamanda wenzangu msidhani yaliyotokea mwak 2010 kwenye uchaguzi yatarudia 2025.
Wewe ni mganga njaa tu.
Eti "kamanda asiyechoka".
 
kwa Uchaguzi wa huru na haki upinzani na CCM nusu kwa nusu,polisi, Tume na Halmashauri wakae pembeni mwaka huu tuone uhalisia
 
Back
Top Bottom