Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Chadema inahitaji huruma kutoka kwa wananchi. Je, inastahili kuhurumiwa?
Kuhurumiwa na wanachi ili ipate wabunge na wao wapate pesa za kula na kujikimu. Ila sio kutatua kero za wananchi.
Chadema wamekubali kuwa rais Samia anastahili na anafaa kuwa rais.
Sasa wanataka nini zaidi ya huruma ya wananchi ili wapate viti vya ubunge na pesa za kujikimu.
Kuhurumiwa na wanachi ili ipate wabunge na wao wapate pesa za kula na kujikimu. Ila sio kutatua kero za wananchi.
Chadema wamekubali kuwa rais Samia anastahili na anafaa kuwa rais.
Sasa wanataka nini zaidi ya huruma ya wananchi ili wapate viti vya ubunge na pesa za kujikimu.