Uchaguzi bila ya Tume Huru ya Uchaguzi kwenye picha moja

Uchaguzi bila ya Tume Huru ya Uchaguzi kwenye picha moja

M-mbabe

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2009
Posts
13,203
Reaction score
23,027
Ni wazi kuwa ifikapo October 2020 hapa Tanzania, kitapigwa kipute cha soka kwenye uwanja tenge kama picha hapa chini inavyodhihirisha...

20200616_082234.jpg
 
Binafsi nitaanza tena kupiga kura mara tu baada ya Rais wa sasa kuondoka madarakani au labda aikane hadharani ile kauli yake ya kuwalipa Wakurugenzi wa Halmashauri mishahara (ingawa si kweli), halafu wawatangaze wapinzani!
 
kimo kifupi sana,
angekiongeza urefu wa sm90
 
Binafsi nitaanza tena kupiga kura mara tu baada ya Rais wa sasa kuondoka madarakani au labda aikane hadharani ile kauli yake ya kuwalipa Wakurugenzi wa Halmashauri mishahara (ingawa si kweli), halafu wawatangaze wapinzani!
Samahan bro,HV wale wasimamizi waliosimamia uchaguz uliompa uenyekit mbowe walilipwa na nan?
 
Samahan bro,HV wale wasimamizi waliosimamia uchaguz uliompa uenyekit mbowe walilipwa na nan?

Khaa!! Sasa si uwaulize wenyewe! Mimi na Chadema/Mbowe wapi na wapi!!🙄

Mimi ni Mtanzania tu Mzalendo na Mpenda Mabadiliko nisiye na chama.
 
Khaa!! Sasa si uwaulize wenyewe! Mimi na Chadema/Mbowe wapi na wapi!![emoji849]

Mimi ni Mtanzania tu Mzalendo na Mpenda Mabadiliko nisiye na chama.
Duuuuu!!!!! Wazo zur kuwa mzalendo waswahili tuna msemo wetu kuwa 'anayemlipa mpiga zumari ndiye anayechagua wimbo' haiwezekani DJ aratibu uchaguz aandae fund na mambo mengineyo alafu ww hapo umpiku kwenye huo uchaguz.
 
Back
Top Bottom