Pre GE2025 UCHAGUZI CHADEMA: BAVICHA waelewe bila Maridhiano hata huo Uchaguzi labda usingefanyika, punguzeni Dharau kwa Mbowe

Pre GE2025 UCHAGUZI CHADEMA: BAVICHA waelewe bila Maridhiano hata huo Uchaguzi labda usingefanyika, punguzeni Dharau kwa Mbowe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Master Legendary

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
576
Reaction score
876
Nimekwazika sana baada ya kufuatilia Mdahalo wa Wagombea wa BAVICHA kuona wanashambulia Maridhiano kwamba hawakubaliani nayo na mambo mengine ya kijinga waliyoongea kuonyesha upeo mdogo sana wa kuona mambo kwa upana.

Kwa wanaoelewa hali ya kisiasa ilipofikia hata Vikao vya ndani vya Chama vilikuwa havifanyiki Polisi wanavuruga, ni as if CCM walikuwa wameamua kuwa completely Dictactors.

Kipindi hicho wote wakina Heche walikuwa wanalialia tu Maisha yao yako hatarini, wengine wamekimbia nchi, hao wakina Mwaipaya na Pambalu wanafanyia siasa Mitandaoni hawaonekani, nchi nzima ilikuwa imejaa hofu.Vyombo vya habari vinafungiwa hata kuonyesha habari za CHADEMA vinaogopa.
Hayo Maridhiano ndiyo yametufikisha hapa leo tunawaangalia kwenye TV,wanafanya Vikao vyao vya Uchaguzi n.k,

Ieleweke Maridhiano hayo lilikuwa Azimio la Kamati Kuu akiwemo hao akina Lissu,Heche,Pambalu nk ambao leo wanatumia kama Karata yao ya Kampeni dhidi ya Mbowe as if lilikuwa suala la Mbowe binafsi.

BAVICHA kuweni na adabu na Mbowe, msimkosee heshima kiasi hicho kwasababu ya Madaraka, hamuendi kufanya Siasa za Umwagaji Damu mnaenda kufanya Siasa za akili, hamna Mwanasiasa anayefanya Siasa za akili akatweza mbinu yoyote ya kisiasa.

Ni kipi kipya Mbowe hajafanya ambacho mtaenda kufanya nyie wehu?Alishaandamana,Alishagoma,Alishasusia nk.Kuweni na heshima msidanganywe na hao akina Mwaipaya,Pambalu na Heche ambao siku ya Maandamano ya kifo cha Mzee Kibao walimuacha Mwenyekiti akaandamana mwenyewe pale Magomeni.
 
Nimekwazika sana baada ya kufuatilia Mdahalo wa Wagombea wa BAVICHA kuona wanashambulia Maridhiano kwamba hawakubaliani nayo na mambo mengine ya kijinga waliyoongea kuonyesha upeo mdogo sana wa kuona mambo kwa upana.

Kwa wanaoelewa hali ya kisiasa ilipofikia hata Vikao vya ndani vya Chama vilikuwa havifanyiki Polisi wanavuruga, ni as if CCM walikuwa wameamua kuwa completely Dictactors.

Kipindi hicho wote wakina Heche walikuwa wanalialia tu Maisha yao yako hatarini, wengine wamekimbia nchi, hao wakina Mwaipaya na Pambalu wanafanyia siasa Mitandaoni hawaonekani, nchi nzima ilikuwa imejaa hofu.Vyombo vya habari vinafungiwa hata kuonyesha habari za CHADEMA vinaogopa.
Hayo Maridhiano ndiyo yametufikisha hapa leo tunawaangalia kwenye TV,wanafanya Vikao vyao vya Uchaguzi n.k,

Ieleweke Maridhiano hayo lilikuwa Azimio la Kamati Kuu akiwemo hao akina Lissu,Heche,Pambalu nk ambao leo wanatumia kama Karata yao ya Kampeni dhidi ya Mbowe as if lilikuwa suala la Mbowe binafsi.

BAVICHA kuweni na adabu na Mbowe, msimkosee heshima kiasi hicho kwasababu ya Madaraka, hamuendi kufanya Siasa za Umwagaji Damu mnaenda kufanya Siasa za akili, hamna Mwanasiasa anayefanya Siasa za akili akatweza mbinu yoyote ya kisiasa.

Ni kipi kipya Mbowe hajafanya ambacho mtaenda kufanya nyie wehu?Alishaandamana,Alishagoma,Alishasusia nk.Kuweni na heshima msidanganywe na hao akina Mwaipaya,Pambalu na Heche ambao siku ya Maandamano ya kifo cha Mzee Kibao walimuacha Mwenyekiti akaandamana mwenyewe pale Magomeni.
Hilo la maridhiano ndo jambo pekee ulilolisikia kwenye huo mdahalo? Ulitaka waseme unachokitaka wewe na Mbowe?

Haya tuambie kuhusu Shija kujiondoa na kumuunga mkono Mahinyila!! Au hili limekuuma hutaki kulizungumzia??

Mbowe kashikwa pabaya safari hii
 
Kumbe pambalu tuko naye sambamba

Maridhiano ni utapel

Kurunzinza kurunzinza kurunzinza mugabe mseven aikel mbowe must go
 
nimemsikiliZa shija anasema eti maZungumzo ya kuleta mwafaka hayakuwana tija yoyote kwa chama na nchi nikashutuka kwanza na nikajiuliza Mtu wanamna hii kweli anaweza kuongoza taasisi kubwa ya vijana kln baada ataja kuprove right kwamba hafai baada ya kujitoa katika mapambano nahii imetuonesha ata mgombea anaye mtete lissu akujiandaa kuwa mwenyekiti bali kafanya maamuzi ya kukomoa MBOWE eti kwa sababu tu wenje ametia nia ya kushindana naye
 
Nimekwazika sana baada ya kufuatilia Mdahalo wa Wagombea wa BAVICHA kuona wanashambulia Maridhiano kwamba hawakubaliani nayo na mambo mengine ya kijinga waliyoongea kuonyesha upeo mdogo sana wa kuona mambo kwa upana.

Kwa wanaoelewa hali ya kisiasa ilipofikia hata Vikao vya ndani vya Chama vilikuwa havifanyiki Polisi wanavuruga, ni as if CCM walikuwa wameamua kuwa completely Dictactors.

Kipindi hicho wote wakina Heche walikuwa wanalialia tu Maisha yao yako hatarini, wengine wamekimbia nchi, hao wakina Mwaipaya na Pambalu wanafanyia siasa Mitandaoni hawaonekani, nchi nzima ilikuwa imejaa hofu.Vyombo vya habari vinafungiwa hata kuonyesha habari za CHADEMA vinaogopa.
Hayo Maridhiano ndiyo yametufikisha hapa leo tunawaangalia kwenye TV,wanafanya Vikao vyao vya Uchaguzi n.k,

Ieleweke Maridhiano hayo lilikuwa Azimio la Kamati Kuu akiwemo hao akina Lissu,Heche,Pambalu nk ambao leo wanatumia kama Karata yao ya Kampeni dhidi ya Mbowe as if lilikuwa suala la Mbowe binafsi.

BAVICHA kuweni na adabu na Mbowe, msimkosee heshima kiasi hicho kwasababu ya Madaraka, hamuendi kufanya Siasa za Umwagaji Damu mnaenda kufanya Siasa za akili, hamna Mwanasiasa anayefanya Siasa za akili akatweza mbinu yoyote ya kisiasa.

Ni kipi kipya Mbowe hajafanya ambacho mtaenda kufanya nyie wehu?Alishaandamana,Alishagoma,Alishasusia nk.Kuweni na heshima msidanganywe na hao akina Mwaipaya,Pambalu na Heche ambao siku ya Maandamano ya kifo cha Mzee Kibao walimuacha Mwenyekiti akaandamana mwenyewe pale Magomeni.
Sidhani kama hawakukubaliana juu ya maridhiano hapo awali. Tatizo ni pale ilipoonekana wazi kutokuwapo kwa nia ya dhati ya kufikia maridhiano, wajumbe wakimwambia kiongozi aachane nayo, yeye aking'ang'ania.
 
Nimekwazika sana baada ya kufuatilia Mdahalo wa Wagombea wa BAVICHA kuona wanashambulia Maridhiano kwamba hawakubaliani nayo na mambo mengine ya kijinga waliyoongea kuonyesha upeo mdogo sana wa kuona mambo kwa upana.

Kwa wanaoelewa hali ya kisiasa ilipofikia hata Vikao vya ndani vya Chama vilikuwa havifanyiki Polisi wanavuruga, ni as if CCM walikuwa wameamua kuwa completely Dictactors.

Kipindi hicho wote wakina Heche walikuwa wanalialia tu Maisha yao yako hatarini, wengine wamekimbia nchi, hao wakina Mwaipaya na Pambalu wanafanyia siasa Mitandaoni hawaonekani, nchi nzima ilikuwa imejaa hofu.Vyombo vya habari vinafungiwa hata kuonyesha habari za CHADEMA vinaogopa.
Hayo Maridhiano ndiyo yametufikisha hapa leo tunawaangalia kwenye TV,wanafanya Vikao vyao vya Uchaguzi n.k,

Ieleweke Maridhiano hayo lilikuwa Azimio la Kamati Kuu akiwemo hao akina Lissu,Heche,Pambalu nk ambao leo wanatumia kama Karata yao ya Kampeni dhidi ya Mbowe as if lilikuwa suala la Mbowe binafsi.

BAVICHA kuweni na adabu na Mbowe, msimkosee heshima kiasi hicho kwasababu ya Madaraka, hamuendi kufanya Siasa za Umwagaji Damu mnaenda kufanya Siasa za akili, hamna Mwanasiasa anayefanya Siasa za akili akatweza mbinu yoyote ya kisiasa.

Ni kipi kipya Mbowe hajafanya ambacho mtaenda kufanya nyie wehu?Alishaandamana,Alishagoma,Alishasusia nk.Kuweni na heshima msidanganywe na hao akina Mwaipaya,Pambalu na Heche ambao siku ya Maandamano ya kifo cha Mzee Kibao walimuacha Mwenyekiti akaandamana mwenyewe pale Magomeni.
Kwa kutumia ujinga wako uliona CCM ni miungu watu hawawezekani! Kwa taarifa yako aliyetafuta maridhiano ni Samia na CCM yake baada ya kunusa kuanza kutengwa kimataifa na ndiyo sababu baada ya kumuingiza Mbowe mkenge kukubaliana nao walishangilia na kutangaza dunia nzima kuwa maridhiano yamepatikana na kuonyesha kuwa tatizo halikuwa lao bali vyama vya upinzani!
 
Nimekwazika sana baada ya kufuatilia Mdahalo wa Wagombea wa BAVICHA kuona wanashambulia Maridhiano kwamba hawakubaliani nayo na mambo mengine ya kijinga waliyoongea kuonyesha upeo mdogo sana wa kuona mambo kwa upana.

Kwa wanaoelewa hali ya kisiasa ilipofikia hata Vikao vya ndani vya Chama vilikuwa havifanyiki Polisi wanavuruga, ni as if CCM walikuwa wameamua kuwa completely Dictactors.

Kipindi hicho wote wakina Heche walikuwa wanalialia tu Maisha yao yako hatarini, wengine wamekimbia nchi, hao wakina Mwaipaya na Pambalu wanafanyia siasa Mitandaoni hawaonekani, nchi nzima ilikuwa imejaa hofu.Vyombo vya habari vinafungiwa hata kuonyesha habari za CHADEMA vinaogopa.
Hayo Maridhiano ndiyo yametufikisha hapa leo tunawaangalia kwenye TV,wanafanya Vikao vyao vya Uchaguzi n.k,

Ieleweke Maridhiano hayo lilikuwa Azimio la Kamati Kuu akiwemo hao akina Lissu,Heche,Pambalu nk ambao leo wanatumia kama Karata yao ya Kampeni dhidi ya Mbowe as if lilikuwa suala la Mbowe binafsi.

BAVICHA kuweni na adabu na Mbowe, msimkosee heshima kiasi hicho kwasababu ya Madaraka, hamuendi kufanya Siasa za Umwagaji Damu mnaenda kufanya Siasa za akili, hamna Mwanasiasa anayefanya Siasa za akili akatweza mbinu yoyote ya kisiasa.

Ni kipi kipya Mbowe hajafanya ambacho mtaenda kufanya nyie wehu?Alishaandamana,Alishagoma,Alishasusia nk.Kuweni na heshima msidanganywe na hao akina Mwaipaya,Pambalu na Heche ambao siku ya Maandamano ya kifo cha Mzee Kibao walimuacha Mwenyekiti akaandamana mwenyewe pale Magomeni.
No maridhiano uchwara, ukurasa umefungwa perid , wako sahii
 
Nimekwazika sana baada ya kufuatilia Mdahalo wa Wagombea wa BAVICHA kuona wanashambulia Maridhiano kwamba hawakubaliani nayo na mambo mengine ya kijinga waliyoongea kuonyesha upeo mdogo sana wa kuona mambo kwa upana.

Kwa wanaoelewa hali ya kisiasa ilipofikia hata Vikao vya ndani vya Chama vilikuwa havifanyiki Polisi wanavuruga, ni as if CCM walikuwa wameamua kuwa completely Dictactors.

Kipindi hicho wote wakina Heche walikuwa wanalialia tu Maisha yao yako hatarini, wengine wamekimbia nchi, hao wakina Mwaipaya na Pambalu wanafanyia siasa Mitandaoni hawaonekani, nchi nzima ilikuwa imejaa hofu.Vyombo vya habari vinafungiwa hata kuonyesha habari za CHADEMA vinaogopa.
Hayo Maridhiano ndiyo yametufikisha hapa leo tunawaangalia kwenye TV,wanafanya Vikao vyao vya Uchaguzi n.k,

Ieleweke Maridhiano hayo lilikuwa Azimio la Kamati Kuu akiwemo hao akina Lissu,Heche,Pambalu nk ambao leo wanatumia kama Karata yao ya Kampeni dhidi ya Mbowe as if lilikuwa suala la Mbowe binafsi.

BAVICHA kuweni na adabu na Mbowe, msimkosee heshima kiasi hicho kwasababu ya Madaraka, hamuendi kufanya Siasa za Umwagaji Damu mnaenda kufanya Siasa za akili, hamna Mwanasiasa anayefanya Siasa za akili akatweza mbinu yoyote ya kisiasa.

Ni kipi kipya Mbowe hajafanya ambacho mtaenda kufanya nyie wehu?Alishaandamana,Alishagoma,Alishasusia nk.Kuweni na heshima msidanganywe na hao akina Mwaipaya,Pambalu na Heche ambao siku ya Maandamano ya kifo cha Mzee Kibao walimuacha Mwenyekiti akaandamana mwenyewe pale Magomeni.
IMG-20250111-WA0131.jpg
 
Sio kweli suala la kutaka maZungumzo ya kutafuta muafaka wa kitaifa uLianzishwa na lisu akiwa ubegiji
 
Sidhani kama hawakukubaliana juu ya maridhiano hapo awali. Tatizo ni pale ilipoonekana wazi kutokuwapo kwa nia ya dhati ya kufikia maridhiano, wajumbe wakimwambia kiongozi aachane nayo, yeye aking'ang'ania.
Na sababu hasa ya mwenyekiti kulazimishia maridhiano yasiyo na utekelezaji ni buyu la asali. Halafu na hao ccm ni kama wameshamjulia Mbowe, wanamvika kilemba cha ukoka eti ni mstaarabu na ni mwanasiasa na sio mwanaharakati.
 
Unawachagulia watu cha kusema au mtizamo ? Kama mimi ambavyo sikuchagulii wewe kuwashangaa hao nadhani na wewe pamoja na kuwashukutumu lakini wapo haki hao ya kupinga / kushangaa / kutokukubali...

"I may not agree with what you say, but I will defend to the death your right to say it." -Voltaire
 
Ccm mwenzenu mbowe alikiri waziwazi maridhiano alidanganywa maridhiano ya kisengee ya kuharibu uchaguz na kuua wapnzan na kuwateka msengerema wewee
 
Back
Top Bottom