Uchaguzi CHADEMA kanda ya Kusini; Mganga wa Jadi Mpiga Ramli na Herbalist waibuka kidedea

Uchaguzi CHADEMA kanda ya Kusini; Mganga wa Jadi Mpiga Ramli na Herbalist waibuka kidedea

No kwenye Uzi nimeweka clear na kuonesha Nia yangu njema for the betterment of CHADEMA.

Head quarters ilikaa kimyaa katika ule Uchaguzi kuliko kanda nyingine yoyote.

Na ndio maana hata haijapata coverage ya kutosha. kabla na baada kama ilivyokuwa kanda Zingine.
Nimekuelewa mkuu, kanda ya Nyasa kulikuwa na pesa za Abdul ndiyo maana uliona vile sehemu zingine ni shwari
 
Heshima kwenu wana JF .
Uzi huu tachukiza wengi, ambao hawajawahi naleta thread za namna hii.

Jumapili iliyopita kabla ya Jumapili ya jana, ulifanyika uchaguzi wa CHADEMA kanda bya Kusini mjini Masasi.

Ni uchaguzi ambao buligubikwa na rushwa kutoka nje ya CHADEMA.

wapiga kura waliuuza kura zao kwa bei ya shilingi 150,000/ zilizotolewa na mbunge wa CCM wa kike mtalamu wa kutoa taarifa bungeni na anayevuma kwa style
ya kugagaa mavumbini anaposhukuru kwa miradi iliyotekelezwa jimboni mwake ,amabaye yupo katika Jimbo ambalo Lina Taasisi kubwa ya watawa wa kanisa Katoliki mkoani Ruvuma na anayehusika na wizara bya SIHA za watu.

Mbunge huyo amefadhili na kufanya malipo ya pesa kwenye mnada huo uliotwa UCHAGUZI wa Kanda ya kusini.

Mbunge huyo alifanya hivyo kwa lengo la kuhakikisha CHADEMA haipati Viongozi bwa kusimamia vision yake, kufanya mobilization ya shughuli za chama kusini ya Tanzania Lindi, Mtwara na Ruvuma.

Kitu kilichokiwa kinaangaliwa ni kuhakikisha Viongozi wasio na vision mamluki wanapita,na Viongozi wenye vision na wenye influence na mtaji mkononi wanashindwa.

Kwahiyo baada ya matokeo hayo walioshinda wote wanatoka Songea, ambako harakati na movement za CHADEMA haziko hai kama ilivyo Lindi , Mtwara hasa NACHINGWEA,MTAMA,Tandahimba, na Masasi mjini ambalo chama kina nguvu ila kimekosa Viongozi wa kanda wenye vision.

Katika uchaguzi huo ambao ulisimamiwa na Benson Sigo Kigaila ambaye ni mwenza wa Mbunge mmoja wa Covid 19.

Jitu lenye ushawishi na vision Daktari mahadhi Mmoto Daktari bwa binadamu alianguka kwa kupata kura 19, kutoka kwa wajumbe wanaojielewa ambao hawakutaka kuuza utu wao kwa shilingi 150,000/.

Daktari Mahadhi Mmoto ni mbunge bwa mioyo bya watu ambaye aliporwa ushindi 2020 Jimbo la Nachingwea na kubambikiwa kesi magumashi na utawala wa Kambale.

Mahadhi Mmoto bwas real a right person kwa nafasi ya UENYEKITI WA kanda.

Katika uchaguzi huo Walioibuka wenyeviti yaan Chairperson na Makamu wake, Mmoja ni Mganga bwa kienyeji mpiga Ramlib na mmoja Herbalist ndo taaluma zao au shughuli zao.

Hao wote wawili ni kutoka Songea Ruvuma Lindi Mtwara hamna top leader zaidi ya mweka hazina wa Kanda.

Kitendo cha Viongozi wote wa juu kutoka Ruvuma kwa MBELEKO ya rushwa za mbunge wa ccm, ni dalili tosha kuwa CHADEMA ni CCM in character katika kanda bya Kusini.

Hawana muda hawatakiwa na muda wa kufanya chochote Cha maana kwa vile wako pale kutimiza matakwa ya kuhujumu CHADEMA.

Kichekesho , nafasi ya Mwenyekiti walifungana kwa kura sawa, ikaridiwa kura iliyobadiri matokeo ilinunuliwa kwa shilingi 550,000/ ililipiwa na mbunge huyohuyo wa CCM.

CHADEMA MAKAO MAKUU, imekuwa na tabia ya kuachia chaguzi za Kanda zijieendee tu, hakuna focus au msistitizo wa CHADEMA kuwatamani kuwa na mtu flani mwenye potentialities awe kiongozi hasa kanda ya Kusini, badala yake yeyote atakayeshinda hakuna tatizo Kwao.

Kwa matokeo ya uchaguzi wa 2020, CHADEMA Ina mtaji mkubwa wa kura na uungwaji mkono hasa majimbo manne, likiwemo Jimbo mama kwa uungwaji mkono Nachingwea na Mtama.

Uchaguzi wa Kanda uliopita ni KABURI rasmi la CHADEMA kanda ya kusini ikiwa makao makuu ya CHADEMA hayataingilia uchaguzi huo.

Kwa kuonesha bkuwa Kuna kitu sio Cha kawaida kati ya CCM Ruvuma na CHADEMA kanda, hakuna mbunge yoyote wa CCM Toka NDANDA Mwambe C, na Mwambe G wa Masasi, aliyeonesha interest ya kusaidia kuhujumu Uchaguzi huo, ila mbunge wa ccm kutoka kilometa zaidi bya mia 450 ndo kaingia Infront na kusimika Viongozi mamluki kutoka nyumbani kwake Ruvuma.

Mheshimiwa Mwenyekiti Mbowe na Kamati kuu, na Viongozi headquarters, ni wakati sasa wa kusafisha nyumba.

Tengua msisibitishe huo uchaguzi, urudiwe tena.

Katibu wa Kada Kaduma ni kirusi kikubwa kwa afya ya CHADEMA kanda bya kusini, ondoa badili aje katibu mwingine tena.

MKAKATI WA KUUZA MAJIMBO YA KUSINI.

Kuna baadhi ya wanachama watakaopitishwa kwa baadhi
ya majimbo hasa ya mkoa wa Ruvuma,na mengineyo
pia, wamejipanga kuuza majimbo kwa kati ya milioni 300 to mia 500 kutegemea ugumu wa jimbo,ili wasirudishe fomu, au wajipoteze bkwa kutopatikana kwa cm siku chache kabla vya kurudisha fomu ili CCM ishinde kwa urahisi this time.

Singo KIGAILA BENSON aangaliwe kwa jicho pekenyevu.

Kwa uchaguzi wa Kanda ya Kusini uliofanyika Masasi hajaonesha qualities zozote za uongozi na kusimamia vema uchaguzi ule, alikuwa yupo yupo tu, bila shaka hata yeye labda alikuwa na HESABU YAKE kutoka kwenye huo mnada uliofadhiliwa na huyo mbunge wa CCM.

Nilipaswa niandike Uzi huu mapema sana soon after election, nilikosa nafasi kutonanna shughuli za kilimo Korosho zimeanza kudondoka.

Nimewiwa kuandika kama mtanzania hasa mpenda mageuzi.


Nipende kuwatakia siku njema.
Karibuni sana Kijijini Chinongwe Ruangwa.
Sasa kama wapiga kura wao wameonya hao ndio viongozi wanaofaa kwao shida Iko wapi? Uchaguzi ukifanyika si kwamba kila atakayechagukiwa utamkubali. Mfano, kuna viongozi wengi tu ambao hatujawachagua na ni viongozi, sasa utafanya nini?
 
Peleka huko ujinga wako.kama ulienda na matokeo yako mfukoni basi fahamu kuwa watu siyo wajinga.
Utasugua sana gaga kuvizia teuzi, kulikuwa na watu wa maana wafia chama chako akina LIZABONI, wanashinda JF 24 hours, kila uzi unao wabaghaza CCM yupo.

Leo LIZABONI yuko wapi?? Kimyaa sembuse wewe dogo sana mgeni hapa JF.

Tulixa MCHAZA dogo, kujua maana ya MCHAZA waulize Wangoni au Wandendeule 🤣🤣😀😀🤣😀
 
Sasa kama wapiga kura wao wameonya hao ndio viongozi wanaofaa kwao shida Iko wapi? Uchaguzi ukifanyika si kwamba kila atakayechagukiwa utamkubali. Mfano, kuna viongozi wengi tu ambao hatujawachagua na ni viongozi, sasa utafanya nini?
Hujaelewa kiongozi, issue ni rushwa Toka CCM kuamua uchaguzi, sio fani au kazi za walioshinda.
Hizo kazi zinaheshimika na wengi wananufaika na huduma wanazozitoa.

Issue namna walivyopatikana.
 
Gongo ya mabibo haijawahi kumuacha mtu salama. Pole sana kunywa kwa kiasi!
Upumbavu, kudeal na mtoa mada personally badala ya kujadili hoja iliyotolewa.
P Diddy kakuharibu sana Kijana hapo ulipo huna MARINDA 🤣🤣😀😃😀🤣😃 ukichekeshwa tu tayari nnyaaa unaachia, weka number bya cm tukuchangie NEPI JANJA pampasi 🤣🤣😀
 
Vipi kuhusu pro maji marefu
Kuhusu taaluma au kazi ya uganga sioni tatizo lolote ni kazi.

Kwa kesi ya uchaguzi wa Kanda ya Kusini CHADEMA,kulikuwa na Hila, zengwe namna walivyopatikana,ni hilo tu
 
Upumbavu, kudeal na mtoa madam personally badala ya kujadili hoja iliyotolewa.
P Diddy kakuharibu sana Kijana hapo ulipo huna MARINDA 🤣🤣😀😃😀🤣😃 ukichekeshwa tu tayari nnyaaa unaachia, weka number bya cm tukuchangie NEPI JANJA pampasi 🤣🤣😀
Changamoto ya akili hiyo! Kama keyboard inaweza kukuvalisha nepi basi hata Mirembe usipelekwe kwa kuwa umefika ukomo!
 
Changamoto ya akili hiyo! Kama keyboard inaweza kukuvalisha nepi basi hata Mirembe usipelekwe kwa kuwa umefika ukomo!
Punguza povu we BUMUNDA , naona dozi imekuingia vema,🤔🤔 ukija na wenge Tena unakula chuma tena.
 
Ujinga tu ndio unakusumbua .umeshindwa huko kwenye sanduku la kura unakuja kuropoka ropoka Hovyo hovyo hapa utafikiri kichaa au mwendawazimu. Ninyi machadema mkishindwa mambo yenu mnaanza kutupia lawama CCM.ona mtu kama Mnyika jana na utu uzima wake eti anailaumu serikali kwamba haijafanya hamasa ya kuwaambia watu wakajiandikishe kwenye orodha ya daftari la mpiga kura.

Hivi hiyo ni akili au Matope? Hivi mnajitambua kweli? Mmekuwa watu wa hovyo sana na wenye kufanya vitu vya hovyo sana na wenye fikira za hovyo sana na imani za hovyo sana na mitizamo ya hovyo sana
Ccm wengi wenu ni wapumbavu hata dira hamna miaka 60 bado mnahubir matundu ya choo jinga kabisa.
 
Sibishani na nguruwe 🐖! Malaya chizi wewe!
Sawasawa umeeleweka vizuri bwe BWEGE,BUMUNDA, POPOMA Naona dozi imekuingia vema!!!
Karibu uendelee kutoa povu, unaonesha MUME WAKO ana taabu sana katika ndoa yake.

Mwanamke una maneno ya shombo wewe 😃😃🤣🤣.

Angalia usijew ukaachika.
 
Heshima kwenu wanaJF .
Uzi huu tachukiza wengi, ambao hawajawahi naleta thread za namna hii.

Jumapili iliyopita kabla ya Jumapili ya jana, ulifanyika uchaguzi wa CHADEMA kanda bya Kusini mjini Masasi.

Ni uchaguzi ambao buligubikwa na rushwa kutoka nje ya CHADEMA.

Wapiga kura waliuuza kura zao kwa bei ya shilingi 150,000/ zilizotolewa na mbunge wa CCM wa kike mtalamu wa kutoa taarifa bungeni na anayevuma kwa style ya kugagaa mavumbini anaposhukuru kwa miradi iliyotekelezwa jimboni mwake ,amabaye yupo katika Jimbo ambalo Lina Taasisi kubwa ya watawa wa kanisa Katoliki mkoani Ruvuma na anayehusika na wizara bya SIHA za watu.

Mbunge huyo amefadhili na kufanya malipo ya pesa kwenye mnada huo uliotwa UCHAGUZI wa Kanda ya kusini.

Mbunge huyo alifanya hivyo kwa lengo la kuhakikisha CHADEMA haipati Viongozi bwa kusimamia vision yake, kufanya mobilization ya shughuli za chama kusini ya Tanzania Lindi, Mtwara na Ruvuma.

Kitu kilichokiwa kinaangaliwa ni kuhakikisha Viongozi wasio na vision mamluki wanapita,na Viongozi wenye vision na wenye influence na mtaji mkononi wanashindwa.

Kwahiyo baada ya matokeo hayo walioshinda wote wanatoka Songea, ambako harakati na movement za CHADEMA haziko hai kama ilivyo Lindi , Mtwara hasa NACHINGWEA,MTAMA,Tandahimba, na Masasi mjini ambalo chama kina nguvu ila kimekosa Viongozi wa kanda wenye vision.

Katika uchaguzi huo ambao ulisimamiwa na Benson Sigo Kigaila ambaye ni mwenza wa Mbunge mmoja wa Covid 19.

Jitu lenye ushawishi na vision Daktari mahadhi Mmoto Daktari bwa binadamu alianguka kwa kupata kura 19, kutoka kwa wajumbe wanaojielewa ambao hawakutaka kuuza utu wao kwa shilingi 150,000/.

Daktari Mahadhi Mmoto ni mbunge bwa mioyo bya watu ambaye aliporwa ushindi 2020 Jimbo la Nachingwea na kubambikiwa kesi magumashi na utawala wa Kambale.

Mahadhi Mmoto bwas real a right person kwa nafasi ya UENYEKITI WA kanda.

Katika uchaguzi huo Walioibuka wenyeviti yaan Chairperson na Makamu wake, Mmoja ni Mganga bwa kienyeji mpiga Ramlib na mmoja Herbalist ndo taaluma zao au shughuli zao.

Hao wote wawili ni kutoka Songea Ruvuma Lindi Mtwara hamna top leader zaidi ya mweka hazina wa Kanda.

Kitendo cha Viongozi wote wa juu kutoka Ruvuma kwa MBELEKO ya rushwa za mbunge wa ccm, ni dalili tosha kuwa CHADEMA ni CCM in character katika kanda bya Kusini.

Hawana muda hawatakiwa na muda wa kufanya chochote Cha maana kwa vile wako pale kutimiza matakwa ya kuhujumu CHADEMA.

Kichekesho , nafasi ya Mwenyekiti walifungana kwa kura sawa, ikaridiwa kura iliyobadili matokeo ilinunuliwa kwa shilingi 550,000/ ililipiwa na mbunge huyohuyo wa CCM.

CHADEMA MAKAO MAKUU, imekuwa na tabia ya kuachia chaguzi za Kanda zijieendee tu, hakuna focus au msistitizo wa CHADEMA kuwatamani kuwa na mtu flani mwenye potentialities awe kiongozi hasa kanda ya Kusini, badala yake yeyote atakayeshinda hakuna tatizo Kwao.

Kwa matokeo ya uchaguzi wa 2020, CHADEMA Ina mtaji mkubwa wa kura na uungwaji mkono hasa majimbo manne, likiwemo Jimbo mama kwa uungwaji mkono Nachingwea na Mtama.

Uchaguzi wa Kanda uliopita ni KABURI rasmi la CHADEMA kanda ya kusini ikiwa makao makuu ya CHADEMA hayataingilia uchaguzi huo.

Kwa kuonesha bkuwa Kuna kitu sio Cha kawaida kati ya CCM Ruvuma na CHADEMA kanda, hakuna mbunge yoyote wa CCM Toka NDANDA Mwambe C, na Mwambe G wa Masasi, aliyeonesha interest ya kusaidia kuhujumu Uchaguzi huo, ila mbunge wa ccm kutoka kilometa zaidi bya mia 450 ndo kaingia Infront na kusimika Viongozi mamluki kutoka nyumbani kwake Ruvuma.

Mheshimiwa Mwenyekiti Mbowe na Kamati kuu, na Viongozi headquarters, ni wakati sasa wa kusafisha nyumba.

Tengua msisibitishe huo uchaguzi, urudiwe tena.

Katibu wa Kada Kaduma ni kirusi kikubwa kwa afya ya CHADEMA kanda bya kusini, ondoa badili aje katibu mwingine tena.

MKAKATI WA KUUZA MAJIMBO YA KUSINI.

Kuna baadhi ya wanachama watakaopitishwa kwa baadhi
ya majimbo hasa ya mkoa wa Ruvuma,na mengineyo
pia, wamejipanga kuuza majimbo kwa kati ya milioni 300 to mia 500 kutegemea ugumu wa jimbo,ili wasirudishe fomu, au wajipoteze bkwa kutopatikana kwa cm siku chache kabla vya kurudisha fomu ili CCM ishinde kwa urahisi this time.

Singo KIGAILA BENSON aangaliwe kwa jicho pekenyevu.

Kwa uchaguzi wa Kanda ya Kusini uliofanyika Masasi hajaonesha qualities zozote za uongozi na kusimamia vema uchaguzi ule, alikuwa yupo yupo tu, bila shaka hata yeye labda alikuwa na HESABU YAKE kutoka kwenye huo mnada uliofadhiliwa na huyo mbunge wa CCM.

Nilipaswa niandike Uzi huu mapema sana soon after election, nilikosa nafasi kutonanna shughuliangwa.
Mngechukua hatua kutoa taarifa Takukuru mapema mlipoona hizo dalili za rushwa. Kutaja majina ya watu na nyafhifa zao kuwa walihusika kwenye vitendo vya Jinai bila uthibitisho wowote wa maana ni jinai nan
 
Heshima kwenu wanaJF .
Uzi huu tachukiza wengi, ambao hawajawahi naleta thread za namna hii.

Jumapili iliyopita kabla ya Jumapili ya jana, ulifanyika uchaguzi wa CHADEMA kanda bya Kusini mjini Masasi.

Ni uchaguzi ambao buligubikwa na rushwa kutoka nje ya CHADEMA.

Wapiga kura waliuuza kura zao kwa bei ya shilingi 150,000/ zilizotolewa na mbunge wa CCM wa kike mtalamu wa kutoa taarifa bungeni na anayevuma kwa style ya kugagaa mavumbini anaposhukuru kwa miradi iliyotekelezwa jimboni mwake ,amabaye yupo katika Jimbo ambalo Lina Taasisi kubwa ya watawa wa kanisa Katoliki mkoani Ruvuma na anayehusika na wizara bya SIHA za watu.

Mbunge huyo amefadhili na kufanya malipo ya pesa kwenye mnada huo uliotwa UCHAGUZI wa Kanda ya kusini.

Mbunge huyo alifanya hivyo kwa lengo la kuhakikisha CHADEMA haipati Viongozi bwa kusimamia vision yake, kufanya mobilization ya shughuli za chama kusini ya Tanzania Lindi, Mtwara na Ruvuma.

Kitu kilichokiwa kinaangaliwa ni kuhakikisha Viongozi wasio na vision mamluki wanapita,na Viongozi wenye vision na wenye influence na mtaji mkononi wanashindwa.

Kwahiyo baada ya matokeo hayo walioshinda wote wanatoka Songea, ambako harakati na movement za CHADEMA haziko hai kama ilivyo Lindi , Mtwara hasa NACHINGWEA,MTAMA,Tandahimba, na Masasi mjini ambalo chama kina nguvu ila kimekosa Viongozi wa kanda wenye vision.

Katika uchaguzi huo ambao ulisimamiwa na Benson Sigo Kigaila ambaye ni mwenza wa Mbunge mmoja wa Covid 19.

Jitu lenye ushawishi na vision Daktari mahadhi Mmoto Daktari bwa binadamu alianguka kwa kupata kura 19, kutoka kwa wajumbe wanaojielewa ambao hawakutaka kuuza utu wao kwa shilingi 150,000/.

Daktari Mahadhi Mmoto ni mbunge bwa mioyo bya watu ambaye aliporwa ushindi 2020 Jimbo la Nachingwea na kubambikiwa kesi magumashi na utawala wa Kambale.

Mahadhi Mmoto bwas real a right person kwa nafasi ya UENYEKITI WA kanda.

Katika uchaguzi huo Walioibuka wenyeviti yaan Chairperson na Makamu wake, Mmoja ni Mganga bwa kienyeji mpiga Ramlib na mmoja Herbalist ndo taaluma zao au shughuli zao.

Hao wote wawili ni kutoka Songea Ruvuma Lindi Mtwara hamna top leader zaidi ya mweka hazina wa Kanda.

Kitendo cha Viongozi wote wa juu kutoka Ruvuma kwa MBELEKO ya rushwa za mbunge wa ccm, ni dalili tosha kuwa CHADEMA ni CCM in character katika kanda bya Kusini.

Hawana muda hawatakiwa na muda wa kufanya chochote Cha maana kwa vile wako pale kutimiza matakwa ya kuhujumu CHADEMA.

Kichekesho , nafasi ya Mwenyekiti walifungana kwa kura sawa, ikaridiwa kura iliyobadili matokeo ilinunuliwa kwa shilingi 550,000/ ililipiwa na mbunge huyohuyo wa CCM.

CHADEMA MAKAO MAKUU, imekuwa na tabia ya kuachia chaguzi za Kanda zijieendee tu, hakuna focus au msistitizo wa CHADEMA kuwatamani kuwa na mtu flani mwenye potentialities awe kiongozi hasa kanda ya Kusini, badala yake yeyote atakayeshinda hakuna tatizo Kwao.

Kwa matokeo ya uchaguzi wa 2020, CHADEMA Ina mtaji mkubwa wa kura na uungwaji mkono hasa majimbo manne, likiwemo Jimbo mama kwa uungwaji mkono Nachingwea na Mtama.

Uchaguzi wa Kanda uliopita ni KABURI rasmi la CHADEMA kanda ya kusini ikiwa makao makuu ya CHADEMA hayataingilia uchaguzi huo.

Kwa kuonesha bkuwa Kuna kitu sio Cha kawaida kati ya CCM Ruvuma na CHADEMA kanda, hakuna mbunge yoyote wa CCM Toka NDANDA Mwambe C, na Mwambe G wa Masasi, aliyeonesha interest ya kusaidia kuhujumu Uchaguzi huo, ila mbunge wa ccm kutoka kilometa zaidi bya mia 450 ndo kaingia Infront na kusimika Viongozi mamluki kutoka nyumbani kwake Ruvuma.

Mheshimiwa Mwenyekiti Mbowe na Kamati kuu, na Viongozi headquarters, ni wakati sasa wa kusafisha nyumba.

Tengua msisibitishe huo uchaguzi, urudiwe tena.

Katibu wa Kada Kaduma ni kirusi kikubwa kwa afya ya CHADEMA kanda bya kusini, ondoa badili aje katibu mwingine tena.

MKAKATI WA KUUZA MAJIMBO YA KUSINI.

Kuna baadhi ya wanachama watakaopitishwa kwa baadhi
ya majimbo hasa ya mkoa wa Ruvuma,na mengineyo
pia, wamejipanga kuuza majimbo kwa kati ya milioni 300 to mia 500 kutegemea ugumu wa jimbo,ili wasirudishe fomu, au wajipoteze bkwa kutopatikana kwa cm siku chache kabla vya kurudisha fomu ili CCM ishinde kwa urahisi this time.

Singo KIGAILA BENSON aangaliwe kwa jicho pekenyevu.

Kwa uchaguzi wa Kanda ya Kusini uliofanyika Masasi hajaonesha qualities zozote za uongozi na kusimamia vema uchaguzi ule, alikuwa yupo yupo tu, bila shaka hata yeye labda alikuwa na HESABU YAKE kutoka kwenye huo mnada uliofadhiliwa na huyo mbunge wa CCM.

Nilipaswa niandike Uzi huu mapema sana soon after election, nilikosa nafasi kutonanna shughuli za kilimo Korosho zimeanza kudondoka.

Nimewiwa kuandika kama mtanzania hasa mpenda mageuzi.


Nipende kuwatakia siku njema.
Karibuni sana Kijijini Chinongwe Ruangwa.
Kumuelewa Katelephone Majaliwa yataka moyo,ila kukuelewa wewe hapa inahitaji zaidi ya kuwa Katelephone!!.

Masjidnul na sunday school hazijawahi kuwa mbadala wa elimu jinga itolewayo na CCM.
 
Kumuelewa Katelephone Majaliwa yataka moyo,ila kukuelewa wewe hapa inahitaji zaidi ya kuwa Katelephone!!.

Masjidnul na sunday school hazijawahi kuwa mbadala wa elimu jinga itolewayo na CCM.
Duuu, karibu the home of great thinker naona Bado una Siku chache jamvimi.
Aksante kwa mchango kwenye Uzi wangu
 

Attachments

  • Screenshot_20241009-225439.jpg
    Screenshot_20241009-225439.jpg
    133.4 KB · Views: 2
Mngechukua hatua kutoa taarifa Takukuru mapema mlipoona hizo dalili za rushwa. Kutaja majina ya watu na nyafhifa zao kuwa walihusika kwenye vitendo vya Jinai bila uthibitisho wowote wa maana ni jinai nan
Mhalifu ni mhalifu, na kuvunja sheria ni kuvunja tu bila kujali cheo Cha mtoa rushwa.
 
Duuu, karibu the home of great thinker naona Bado una Siku chache jamvimi.
Aksante kwa mchango kwenye Uzi wangu
Nina miaka mingi ya kuwa jamvini zaidi ya hiyo unayoona nilivyojiunga na JF kwa ajili ya kuchangia.

Great Thinkers wanajulikana, na huwa hawachangii mara kwa mara.

Unamjua great thinker Chige !!!???
 
Heshima kwenu wanaJF .
Uzi huu tachukiza wengi, ambao hawajawahi naleta thread za namna hii.

Jumapili iliyopita kabla ya Jumapili ya jana, ulifanyika uchaguzi wa CHADEMA kanda bya Kusini mjini Masasi.

Ni uchaguzi ambao buligubikwa na rushwa kutoka nje ya CHADEMA.

Wapiga kura waliuuza kura zao kwa bei ya shilingi 150,000/ zilizotolewa na mbunge wa CCM wa kike mtalamu wa kutoa taarifa bungeni na anayevuma kwa style ya kugagaa mavumbini anaposhukuru kwa miradi iliyotekelezwa jimboni mwake ,amabaye yupo katika Jimbo ambalo Lina Taasisi kubwa ya watawa wa kanisa Katoliki mkoani Ruvuma na anayehusika na wizara bya SIHA za watu.

Mbunge huyo amefadhili na kufanya malipo ya pesa kwenye mnada huo uliotwa UCHAGUZI wa Kanda ya kusini.

Mbunge huyo alifanya hivyo kwa lengo la kuhakikisha CHADEMA haipati Viongozi bwa kusimamia vision yake, kufanya mobilization ya shughuli za chama kusini ya Tanzania Lindi, Mtwara na Ruvuma.

Kitu kilichokiwa kinaangaliwa ni kuhakikisha Viongozi wasio na vision mamluki wanapita,na Viongozi wenye vision na wenye influence na mtaji mkononi wanashindwa.

Kwahiyo baada ya matokeo hayo walioshinda wote wanatoka Songea, ambako harakati na movement za CHADEMA haziko hai kama ilivyo Lindi , Mtwara hasa NACHINGWEA,MTAMA,Tandahimba, na Masasi mjini ambalo chama kina nguvu ila kimekosa Viongozi wa kanda wenye vision.

Katika uchaguzi huo ambao ulisimamiwa na Benson Sigo Kigaila ambaye ni mwenza wa Mbunge mmoja wa Covid 19.

Jitu lenye ushawishi na vision Daktari mahadhi Mmoto Daktari bwa binadamu alianguka kwa kupata kura 19, kutoka kwa wajumbe wanaojielewa ambao hawakutaka kuuza utu wao kwa shilingi 150,000/.

Daktari Mahadhi Mmoto ni mbunge bwa mioyo bya watu ambaye aliporwa ushindi 2020 Jimbo la Nachingwea na kubambikiwa kesi magumashi na utawala wa Kambale.

Mahadhi Mmoto bwas real a right person kwa nafasi ya UENYEKITI WA kanda.

Katika uchaguzi huo Walioibuka wenyeviti yaan Chairperson na Makamu wake, Mmoja ni Mganga bwa kienyeji mpiga Ramlib na mmoja Herbalist ndo taaluma zao au shughuli zao.

Hao wote wawili ni kutoka Songea Ruvuma Lindi Mtwara hamna top leader zaidi ya mweka hazina wa Kanda.

Kitendo cha Viongozi wote wa juu kutoka Ruvuma kwa MBELEKO ya rushwa za mbunge wa ccm, ni dalili tosha kuwa CHADEMA ni CCM in character katika kanda bya Kusini.

Hawana muda hawatakiwa na muda wa kufanya chochote Cha maana kwa vile wako pale kutimiza matakwa ya kuhujumu CHADEMA.

Kichekesho , nafasi ya Mwenyekiti walifungana kwa kura sawa, ikaridiwa kura iliyobadili matokeo ilinunuliwa kwa shilingi 550,000/ ililipiwa na mbunge huyohuyo wa CCM.

CHADEMA MAKAO MAKUU, imekuwa na tabia ya kuachia chaguzi za Kanda zijieendee tu, hakuna focus au msistitizo wa CHADEMA kuwatamani kuwa na mtu flani mwenye potentialities awe kiongozi hasa kanda ya Kusini, badala yake yeyote atakayeshinda hakuna tatizo Kwao.

Kwa matokeo ya uchaguzi wa 2020, CHADEMA Ina mtaji mkubwa wa kura na uungwaji mkono hasa majimbo manne, likiwemo Jimbo mama kwa uungwaji mkono Nachingwea na Mtama.

Uchaguzi wa Kanda uliopita ni KABURI rasmi la CHADEMA kanda ya kusini ikiwa makao makuu ya CHADEMA hayataingilia uchaguzi huo.

Kwa kuonesha bkuwa Kuna kitu sio Cha kawaida kati ya CCM Ruvuma na CHADEMA kanda, hakuna mbunge yoyote wa CCM Toka NDANDA Mwambe C, na Mwambe G wa Masasi, aliyeonesha interest ya kusaidia kuhujumu Uchaguzi huo, ila mbunge wa ccm kutoka kilometa zaidi bya mia 450 ndo kaingia Infront na kusimika Viongozi mamluki kutoka nyumbani kwake Ruvuma.

Mheshimiwa Mwenyekiti Mbowe na Kamati kuu, na Viongozi headquarters, ni wakati sasa wa kusafisha nyumba.

Tengua msisibitishe huo uchaguzi, urudiwe tena.

Katibu wa Kada Kaduma ni kirusi kikubwa kwa afya ya CHADEMA kanda bya kusini, ondoa badili aje katibu mwingine tena.

MKAKATI WA KUUZA MAJIMBO YA KUSINI.

Kuna baadhi ya wanachama watakaopitishwa kwa baadhi
ya majimbo hasa ya mkoa wa Ruvuma,na mengineyo
pia, wamejipanga kuuza majimbo kwa kati ya milioni 300 to mia 500 kutegemea ugumu wa jimbo,ili wasirudishe fomu, au wajipoteze bkwa kutopatikana kwa cm siku chache kabla vya kurudisha fomu ili CCM ishinde kwa urahisi this time.

Singo KIGAILA BENSON aangaliwe kwa jicho pekenyevu.

Kwa uchaguzi wa Kanda ya Kusini uliofanyika Masasi hajaonesha qualities zozote za uongozi na kusimamia vema uchaguzi ule, alikuwa yupo yupo tu, bila shaka hata yeye labda alikuwa na HESABU YAKE kutoka kwenye huo mnada uliofadhiliwa na huyo mbunge wa CCM.

Nilipaswa niandike Uzi huu mapema sana soon after election, nilikosa nafasi kutonanna shughuli za kilimo Korosho zimeanza kudondoka.

Nimewiwa kuandika kama mtanzania hasa mpenda mageuzi.


Nipende kuwatakia siku njema.
Karibuni sana Kijijini Chinongwe Ruangwa.
Hakuna kupita bila kupingwa 2024 na 2025..
 
Nina miaka mingi ya kuwa jamvini zaidi ya hiyo unayoona nilivyojiunga na JF kwa ajili ya kuchangia.

Great Thinkers wanajulikana, na huwa hawachangii mara kwa mara.

Unamjua great thinker Chige !!!???
Hiyo criterion ya kutochangia mara kwa mara Ili uonekane great thinker aliiweka nani??

Alikubaliana na nani?? Alitumia ground zipi??

Tuanzie hapo kwanza!!
 
Back
Top Bottom