Uchaguzi CHADEMA kanda ya Kusini; Mganga wa Jadi Mpiga Ramli na Herbalist waibuka kidedea

Uchaguzi CHADEMA kanda ya Kusini; Mganga wa Jadi Mpiga Ramli na Herbalist waibuka kidedea

Hakuna kupita bila kupingwa 2024 na 2025..
Ni kweli haipo, ila great opponent akiwa nje ya ground, CCM itashinda kirahisi kwenye kampeni.

Ndo maana Kuna hatari kubwa sana ya waliojipanga kuuza majimbo na kutorudisha fomu baada ya kuthibitishwa na tume baada ya chama kuwapitisha.
 
Heshima kwenu wanaJF .
Uzi huu tachukiza wengi, ambao hawajawahi naleta thread za namna hii.

Jumapili iliyopita kabla ya Jumapili ya jana, ulifanyika uchaguzi wa CHADEMA kanda bya Kusini mjini Masasi.

Ni uchaguzi ambao buligubikwa na rushwa kutoka nje ya CHADEMA.

Wapiga kura waliuuza kura zao kwa bei ya shilingi 150,000/ zilizotolewa na mbunge wa CCM wa kike mtalamu wa kutoa taarifa bungeni na anayevuma kwa style ya kugagaa mavumbini anaposhukuru kwa miradi iliyotekelezwa jimboni mwake ,amabaye yupo katika Jimbo ambalo Lina Taasisi kubwa ya watawa wa kanisa Katoliki mkoani Ruvuma na anayehusika na wizara bya SIHA za watu.

Mbunge huyo amefadhili na kufanya malipo ya pesa kwenye mnada huo uliotwa UCHAGUZI wa Kanda ya kusini.

Mbunge huyo alifanya hivyo kwa lengo la kuhakikisha CHADEMA haipati Viongozi bwa kusimamia vision yake, kufanya mobilization ya shughuli za chama kusini ya Tanzania Lindi, Mtwara na Ruvuma.

Kitu kilichokiwa kinaangaliwa ni kuhakikisha Viongozi wasio na vision mamluki wanapita,na Viongozi wenye vision na wenye influence na mtaji mkononi wanashindwa.

Kwahiyo baada ya matokeo hayo walioshinda wote wanatoka Songea, ambako harakati na movement za CHADEMA haziko hai kama ilivyo Lindi , Mtwara hasa NACHINGWEA,MTAMA,Tandahimba, na Masasi mjini ambalo chama kina nguvu ila kimekosa Viongozi wa kanda wenye vision.

Katika uchaguzi huo ambao ulisimamiwa na Benson Sigo Kigaila ambaye ni mwenza wa Mbunge mmoja wa Covid 19.

Jitu lenye ushawishi na vision Daktari mahadhi Mmoto Daktari bwa binadamu alianguka kwa kupata kura 19, kutoka kwa wajumbe wanaojielewa ambao hawakutaka kuuza utu wao kwa shilingi 150,000/.

Daktari Mahadhi Mmoto ni mbunge bwa mioyo bya watu ambaye aliporwa ushindi 2020 Jimbo la Nachingwea na kubambikiwa kesi magumashi na utawala wa Kambale.

Mahadhi Mmoto bwas real a right person kwa nafasi ya UENYEKITI WA kanda.

Katika uchaguzi huo Walioibuka wenyeviti yaan Chairperson na Makamu wake, Mmoja ni Mganga bwa kienyeji mpiga Ramlib na mmoja Herbalist ndo taaluma zao au shughuli zao.

Hao wote wawili ni kutoka Songea Ruvuma Lindi Mtwara hamna top leader zaidi ya mweka hazina wa Kanda.

Kitendo cha Viongozi wote wa juu kutoka Ruvuma kwa MBELEKO ya rushwa za mbunge wa ccm, ni dalili tosha kuwa CHADEMA ni CCM in character katika kanda bya Kusini.

Hawana muda hawatakiwa na muda wa kufanya chochote Cha maana kwa vile wako pale kutimiza matakwa ya kuhujumu CHADEMA.

Kichekesho , nafasi ya Mwenyekiti walifungana kwa kura sawa, ikaridiwa kura iliyobadili matokeo ilinunuliwa kwa shilingi 550,000/ ililipiwa na mbunge huyohuyo wa CCM.

CHADEMA MAKAO MAKUU, imekuwa na tabia ya kuachia chaguzi za Kanda zijieendee tu, hakuna focus au msistitizo wa CHADEMA kuwatamani kuwa na mtu flani mwenye potentialities awe kiongozi hasa kanda ya Kusini, badala yake yeyote atakayeshinda hakuna tatizo Kwao.

Kwa matokeo ya uchaguzi wa 2020, CHADEMA Ina mtaji mkubwa wa kura na uungwaji mkono hasa majimbo manne, likiwemo Jimbo mama kwa uungwaji mkono Nachingwea na Mtama.

Uchaguzi wa Kanda uliopita ni KABURI rasmi la CHADEMA kanda ya kusini ikiwa makao makuu ya CHADEMA hayataingilia uchaguzi huo.

Kwa kuonesha bkuwa Kuna kitu sio Cha kawaida kati ya CCM Ruvuma na CHADEMA kanda, hakuna mbunge yoyote wa CCM Toka NDANDA Mwambe C, na Mwambe G wa Masasi, aliyeonesha interest ya kusaidia kuhujumu Uchaguzi huo, ila mbunge wa ccm kutoka kilometa zaidi bya mia 450 ndo kaingia Infront na kusimika Viongozi mamluki kutoka nyumbani kwake Ruvuma.

Mheshimiwa Mwenyekiti Mbowe na Kamati kuu, na Viongozi headquarters, ni wakati sasa wa kusafisha nyumba.

Tengua msisibitishe huo uchaguzi, urudiwe tena.

Katibu wa Kada Kaduma ni kirusi kikubwa kwa afya ya CHADEMA kanda bya kusini, ondoa badili aje katibu mwingine tena.

MKAKATI WA KUUZA MAJIMBO YA KUSINI.

Kuna baadhi ya wanachama watakaopitishwa kwa baadhi
ya majimbo hasa ya mkoa wa Ruvuma,na mengineyo
pia, wamejipanga kuuza majimbo kwa kati ya milioni 300 to mia 500 kutegemea ugumu wa jimbo,ili wasirudishe fomu, au wajipoteze bkwa kutopatikana kwa cm siku chache kabla vya kurudisha fomu ili CCM ishinde kwa urahisi this time.

Singo KIGAILA BENSON aangaliwe kwa jicho pekenyevu.

Kwa uchaguzi wa Kanda ya Kusini uliofanyika Masasi hajaonesha qualities zozote za uongozi na kusimamia vema uchaguzi ule, alikuwa yupo yupo tu, bila shaka hata yeye labda alikuwa na HESABU YAKE kutoka kwenye huo mnada uliofadhiliwa na huyo mbunge wa CCM.

Nilipaswa niandike Uzi huu mapema sana soon after election, nilikosa nafasi kutonanna shughuli za kilimo Korosho zimeanza kudondoka.

Nimewiwa kuandika kama mtanzania hasa mpenda mageuzi.


Nipende kuwatakia siku njema.
Karibuni sana Kijijini Chinongwe Ruangwa.
Ahsante kwa taarifa, tutaifanyia kazi.
 
Aliyeelewa atufafanulie kwa sentensi 5 zinazoanza na herufi q
Anamaanisha kwamba huyo mbunge wa ccm kutoka jimbo moja katika kanda hiyo, aliwapa rushwa wapiga kura wote wa kanda ya kusini ya chadema. Kila mpiga kura alipewa TZS 150,000. Ukizingatia kuwa idadi ya wapiga kura kwenye uchaguzi wa kanda haipungui watu 10,000, mbunge huyo wa ccm aligawa jumla ya sh. 150,000 × 10,000 = 1,500,000,000.

Sasa huyu mleta mada atuambie 1,500,000,000 ni mabilioni mangapi ya pesa? Nina uhakika hatakuwa na jibu sahihi kwani hata kuandika kiswahili sanifu kinachoeleweka ameshindwa. Kiingereza nacho ameshindwa kukiandika kiusahihi. Anataka tuamini kuwa mtu mmoja anaweza kugawa sh 1,500,000,000 kwa watu 10,000 ndani kipindi kifupi, bila kuonekana kwa wanajamii, vyombo vya habari, TAKUKURU etc na akabaki salama? Anataka tuamini kwamba huyo mbunge wa ccm anaweza kuwa na kiasi hicho cha pesa sh. 1,500,000,000 cash (magunia kama 10 ya noti za elfu kumi kumi) za kuwasambazia wapiga kura 10,000 wa chadema? Kama ni kitu rahisi namna hiyo kwa nini hakikufanyika kwa Boni Yai hata baada ya kumsweka gerezani for 19 days?

Ila mleta mada ametuthibitishia kwamba hicho chama chake ni chama cha watu wasio na uelewa mpana wa kielimu. Kimejaa waganga wapiga ramuli chonganishi, waganga wa mitishamba, waganga njaa, matapeli, wahuni, majambazi, vibaka, panya roads, wabakaji, walawiti, mashoga,wasagaji, wavuta bangi, wazinzi, maDJ na kadhalika. Hivyo kushinda chaguzi zao lazima mara nyingi uwe mwenzao. Ndiyo maana haingewezekana msoni kama mchungaji Msigwa kumshinda huyo DJ wa Mbeya kwenye hiyo kanda. Ikabidi Msigwa arudi kwenye chama kilichobobea wasomi kama yeye.

Acha CCM iitwe chama cha mapinduzi na CHADEMA iitwe chama cha demokrasia na mauzauza. Kitaeleweka 2025.
 
Kwa hiyo ID yako na takataka uliyoandika, inatuthibitishia kuwa kweli Tanzania tofauti ya mpumbavu aliyeona milango ya shule/vyuo na yule asiyeona milango ya shule/vyuo ni vifupisho kabla ya jina lao.
Anamaanisha kwamba huyo mbunge wa ccm kutoka jimbo moja katika kanda hiyo, aliwapa rushwa wapiga kura wote wa kanda ya kusini ya chadema. Kila mpiga kura alipewa TZS 150,000. Ukizingatia kuwa idadi ya wapiga kura kwenye uchaguzi wa kanda haipungui watu 10,000, mbunge huyo wa ccm aligawa jumla ya sh. 150,000 × 10,000 = 1,500,000,000.

Sasa huyu mleta mada atuambie 1,500,000,000 ni mabilioni mangapi ya pesa? Nina uhakika hatakuwa na jibu sahihi kwani hata kuandika kiswahili sanifu kinachoeleweka ameshindwa. Kiingereza nacho ameshindwa kukiandika kiusahihi. Anataka tuamini kuwa mtu mmoja anaweza kugawa sh 1,500,000,000 kwa watu 10,000 ndani kipindi kifupi, bila kuonekana kwa wanajamii, vyombo vya habari, TAKUKURU etc na akabaki salama? Anataka tuamini kwamba huyo mbunge wa ccm anaweza kuwa na kiasi hicho cha pesa sh. 1,500,000,000 cash (magunia kama 10 ya noti za elfu kumi kumi) za kuwasambazia wapiga kura 10,000 wa chadema? Kama ni kitu rahisi namna hiyo kwa nini hakikufanyika kwa Boni Yai hata baada ya kumsweka gerezani for 19 days?

Ila mleta mada ametuthibitishia kwamba hicho chama chake ni chama cha watu wasio na uelewa mpana wa kielimu. Kimejaa waganga wapiga ramuli chonganishi, waganga wa mitishamba, waganga njaa, matapeli, wahuni, majambazi, vibaka, panya roads, wabakaji, walawiti, mashoga,wasagaji, wavuta bangi, wazinzi, maDJ na kadhalika. Hivyo kushinda chaguzi zao lazima mara nyingi uwe mwenzao. Ndiyo maana haingewezekana msoni kama mchungaji Msigwa kumshinda huyo DJ wa Mbeya kwenye hiyo kanda. Ikabidi Msigwa arudi kwenye chama kilichobobea wasomi kama yeye.

Acha CCM iitwe chama cha mapinduzi na CHADEMA iitwe chama cha demokrasia na mauzauza. Kitaeleweka 2025.
 
Yaani wewe mleta uzi unashangaa ni kwa jinsi gani kigagula FF anakuchukulia serious na ujuha wako!!???

CCM mmeshapotezana na Upinzani hautaki kuungana!!
We mwanamke jielekekeze kwenye maudhui ya ya uzi!!
Usilete stress za ndoa Yako hapa jukwaani
 
Anamaanisha kwamba huyo mbunge wa ccm kutoka jimbo moja katika kanda hiyo, aliwapa rushwa wapiga kura wote wa kanda ya kusini ya chadema. Kila mpiga kura alipewa TZS 150,000. Ukizingatia kuwa idadi ya wapiga kura kwenye uchaguzi wa kanda haipungui watu 10,000, mbunge huyo wa ccm aligawa jumla ya sh. 150,000 × 10,000 = 1,500,000,000.

Sasa huyu mleta mada atuambie 1,500,000,000 ni mabilioni mangapi ya pesa? Nina uhakika hatakuwa na jibu sahihi kwani hata kuandika kiswahili sanifu kinachoeleweka ameshindwa. Kiingereza nacho ameshindwa kukiandika kiusahihi. Anataka tuamini kuwa mtu mmoja anaweza kugawa sh 1,500,000,000 kwa watu 10,000 ndani kipindi kifupi, bila kuonekana kwa wanajamii, vyombo vya habari, TAKUKURU etc na akabaki salama? Anataka tuamini kwamba huyo mbunge wa ccm anaweza kuwa na kiasi hicho cha pesa sh. 1,500,000,000 cash (magunia kama 10 ya noti za elfu kumi kumi) za kuwasambazia wapiga kura 10,000 wa chadema? Kama ni kitu rahisi namna hiyo kwa nini hakikufanyika kwa Boni Yai hata baada ya kumsweka gerezani for 19 days?

Ila mleta mada ametuthibitishia kwamba hicho chama chake ni chama cha watu wasio na uelewa mpana wa kielimu. Kimejaa waganga wapiga ramuli chonganishi, waganga wa mitishamba, waganga njaa, matapeli, wahuni, majambazi, vibaka, panya roads, wabakaji, walawiti, mashoga,wasagaji, wavuta bangi, wazinzi, maDJ na kadhalika. Hivyo kushinda chaguzi zao lazima mara nyingi uwe mwenzao. Ndiyo maana haingewezekana msoni kama mchungaji Msigwa kumshinda huyo DJ wa Mbeya kwenye hiyo kanda. Ikabidi Msigwa arudi kwenye chama kilichobobea wasomi kama yeye.

Acha CCM iitwe chama cha mapinduzi na CHADEMA iitwe chama cha demokrasia na mauzauza. Kitaeleweka 2025.
Hujaelewa hata kidogo, uchaguzi wa kanda ya Kusini wajumbe wake hawafiki 100. Kura hawapigi wanachama wote, ni wajumbe wa wawakilishi kutoka kanda ya Kusini.
 
Anamaanisha kwamba huyo mbunge wa ccm kutoka jimbo moja katika kanda hiyo, aliwapa rushwa wapiga kura wote wa kanda ya kusini ya chadema. Kila mpiga kura alipewa TZS 150,000. Ukizingatia kuwa idadi ya wapiga kura kwenye uchaguzi wa kanda haipungui watu 10,000, mbunge huyo wa ccm aligawa jumla ya sh. 150,000 × 10,000 = 1,500,000,000.

Sasa huyu mleta mada atuambie 1,500,000,000 ni mabilioni mangapi ya pesa? Nina uhakika hatakuwa na jibu sahihi kwani hata kuandika kiswahili sanifu kinachoeleweka ameshindwa. Kiingereza nacho ameshindwa kukiandika kiusahihi. Anataka tuamini kuwa mtu mmoja anaweza kugawa sh 1,500,000,000 kwa watu 10,000 ndani kipindi kifupi, bila kuonekana kwa wanajamii, vyombo vya habari, TAKUKURU etc na akabaki salama? Anataka tuamini kwamba huyo mbunge wa ccm anaweza kuwa na kiasi hicho cha pesa sh. 1,500,000,000 cash (magunia kama 10 ya noti za elfu kumi kumi) za kuwasambazia wapiga kura 10,000 wa chadema? Kama ni kitu rahisi namna hiyo kwa nini hakikufanyika kwa Boni Yai hata baada ya kumsweka gerezani for 19 days?

Ila mleta mada ametuthibitishia kwamba hicho chama chake ni chama cha watu wasio na uelewa mpana wa kielimu. Kimejaa waganga wapiga ramuli chonganishi, waganga wa mitishamba, waganga njaa, matapeli, wahuni, majambazi, vibaka, panya roads, wabakaji, walawiti, mashoga,wasagaji, wavuta bangi, wazinzi, maDJ na kadhalika. Hivyo kushinda chaguzi zao lazima mara nyingi uwe mwenzao. Ndiyo maana haingewezekana msoni kama mchungaji Msigwa kumshinda huyo DJ wa Mbeya kwenye hiyo kanda. Ikabidi Msigwa arudi kwenye chama kilichobobea wasomi kama yeye.

Acha CCM iitwe chama cha mapinduzi na CHADEMA iitwe chama cha demokrasia na mauzauza. Kitaeleweka 2025.
Wewe kweli ni pimbi hata typing errors hujui.

Je wewe hiki ni Nini??? Kiswahili??
Screenshot_20241010-011532.jpg
 
Ujinga tu ndio unakusumbua .umeshindwa huko kwenye sanduku la kura unakuja kuropoka ropoka Hovyo hovyo hapa utafikiri kichaa au mwendawazimu. Ninyi machadema mkishindwa mambo yenu mnaanza kutupia lawama CCM.ona mtu kama Mnyika jana na utu uzima wake eti anailaumu serikali kwamba haijafanya hamasa ya kuwaambia watu wakajiandikishe kwenye orodha ya daftari la mpiga kura.

Hivi hiyo ni akili au Matope? Hivi mnajitambua kweli? Mmekuwa watu wa hovyo sana na wenye kufanya vitu vya hovyo sana na wenye fikira za hovyo sana na imani za hovyo sana na mitizamo ya hovyo sana
Hii ni Nini?? nimekuandikia mimi?!
 

Attachments

  • Screenshot_20241010-011532.jpg
    Screenshot_20241010-011532.jpg
    86.9 KB · Views: 2
Ningekushauri kakipitie tena hicho kiingereza uone km kweli ndo kimeandilea hivyo.....hakuna Soyinka anayeweza kusema 'there are some literature HAS.........among those MEMBER.' Labda Soyinka wa chadema lkn si huyu tumjuae.

Kwenye mada;
Kwahiyo mwenyewe unajihisi ni great thinker ee?!!!🤣🤣🤣🤣
Kwamba "Literature has written for!" Itakuwa Wole Soyinka naye alichapia Kiingereza!
 
Heshima kwenu wanaJF .
Uzi huu tachukiza wengi, ambao hawajawahi naleta thread za namna hii.

Jumapili iliyopita kabla ya Jumapili ya jana, ulifanyika uchaguzi wa CHADEMA kanda ya Kusini mjini Masasi.

Ni uchaguzi ambao uligubikwa na rushwa kutoka nje ya CHADEMA.

Wapiga kura waliuuza kura zao kwa bei ya shilingi 150,000/ zilizotolewa na mbunge wa CCM wa kike ,mtalamu wa kutoa taarifa bungeni na anayevuma kwa style ya kugagaa mavumbini anaposhukuru kwa miradi iliyotekelezwa jimboni mwake ,amabaye yupo katika Jimbo ambalo Lina Taasisi kubwa ya watawa wa kanisa Katoliki mkoani Ruvuma na anayehusika na wizara bya SIHA za watu.

Mbunge huyo amefadhili na kufanya malipo ya pesa kwenye mnada huo ulioitwa UCHAGUZI wa Kanda ya kusini.

Mbunge huyo alifanya hivyo kwa lengo la kuhakikisha CHADEMA haipati Viongozi bwa kusimamia vision yake, kufanya mobilization ya shughuli za chama kusini ya Tanzania Lindi, Mtwara na Ruvuma.

Kitu kilichokuwa kinaangaliwa ni kuhakikisha Viongozi wasio na vision mamluki wanapita,na Viongozi wenye vision na wenye influence wanashindwa.

Kwahiyo baada ya matokeo hayo walioshinda wote kutoka Songea, ambako harakati/movement za CHADEMA haziko hai kama ilivyo Lindi , Mtwara hasa NACHINGWEA,MTAMA,Tandahimba, na Masasi mjini ambalo chama kina nguvu ila kimekosa kutoa Viongozi wa kanda.

Katika uchaguzi huo ambao ulisimamiwa na Benson Singo Kigaila ambaye ni mwenza wa Mbunge mmoja wa Covid 19.

Jitu lenye ushawishi na vision Daktari mahadhi Mmoto, Daktari wa binadamu alianguka kwa kwa hila na kupata kura 19, kutoka kwa wajumbe wanaojielewa ambao hawakutaka kuuza utu wao kwa shilingi 150,000/.

Daktari Mahadhi Mmoto ni mbunge wa mioyo ya watu ambaye aliporwa ushindi wa Ubunge 2020 Jimbo la Nachingwea na kubambikiwa kesi magumashi na utawala wa Kambale.

Mahadhi Mmoto was real a right person kwa nafasi ya UENYEKITI wa kanda.

Katika uchaguzi huo Walioibuka na ushindi nafasi uenyekiti ,yaan Chairperson na Makamu wake, Mmoja ni Mganga wa kienyeji mpiga Ramli na mmoja Herbalist ndio taaluma zao au shughuli zao.

Hao wote wawili ni kutoka Songea Ruvuma, Lindi Mtwara hamna top leader zaidi ya mweka hazina wa Kanda.

Kitendo cha Viongozi wote wa juu kutoka Ruvuma kwa MBELEKO ya rushwa za mbunge wa ccm, ni dalili tosha kuwa CHADEMA ni CCM hawachekani sana kwenye rushwa.

Viongozi walioshinda hawana muda ,hawatakuwa na muda wa kufanya chochote Cha maana kwa vile wako pale kutimiza matakwa ya kuhujumu CHADEMA.

Kichekesho , nafasi ya Mwenyekiti walifungana kwa kura sawa, ikarudiwa kura iliyobadili matokeo ilinunuliwa kwa shilingi 550,000/ ililipiwa na mbunge huyohuyo wa CCM.

CHADEMA MAKAO MAKUU, imekuwa na tabia ya kuachia chaguzi za Kanda zijieendee tu, hakuna focus au msistitizo wa CHADEMA kuwatamani kuwa na mtu flani mwenye potentialities awe kiongozi case study ni kanda ya Kusini, badala yake yeyote atakayeshinda hakuna tatizo Kwao.

Kwa matokeo ya uchaguzi wa 2020, CHADEMA Ina mtaji mkubwa wa kura na uungwaji mkono hasa majimbo manne, likiwemo Jimbo mama kwa uungwaji mkono Nachingwea na Mtama. Kuelekea 2025.

Uchaguzi wa Kanda uliopita ni KABURI rasmi la CHADEMA kanda ya kusini ikiwa makao makuu ya CHADEMA hayataingilia uchaguzi huo.

Kwa kuonesha kuwa Kuna kitu sio Cha kawaida kati ya CCM Ruvuma na CHADEMA kanda, hakuna mbunge yoyote wa CCM toka NDANDA Mwambe C, na Mwambe G wa Masasi, aliyeonesha interest ya kusaidia kuhujumu Uchaguzi huo, ila mbunge wa ccm kutoka umbali wa kilometa zaidi ya 450 ndio kaingia Infront na kusimika Viongozi mamluki kutoka nyumbani kwake Ruvuma.

Mheshimiwa Mwenyekiti Mbowe na Kamati kuu, na Viongozi headquarters, ni wakati sasa wa kusafisha nyumba.

Tengua msisibitishe huo uchaguzi, urudiwe tena.

Katibu wa Kanda Kaduma ni kirusi kikubwa kwa afya ya CHADEMA kanda ya kusini, ondoa badili aje katibu mwingine.

MKAKATI WA KUUZA MAJIMBO YA KUSINI.

Kuna baadhi ya wanachama watakaopitishwa kwa baadhi
ya majimbo hasa ya mkoa wa Ruvuma,na mengineyo
pia, wamejipanga kuuza majimbo kwa kati ya milioni 300 na 500 kutegemea ugumu wa jimbo,ili wasirudishe fomu, au wajipoteze kwa kutopatikana kwenye cm siku chache kabla ya kurudisha fomu ili CCM ishinde kwa urahisi this time.

Singo KIGAILA BENSON aangaliwe kwa jicho pekenyevu.

Kwa uchaguzi wa Kanda ya Kusini uliofanyika Masasi hajaonesha qualities zozote za uongozi na kusimamia vema uchaguzi ule, alikuwa yupo yupo tu, bila shaka hata yeye labda alikuwa na HESABU YAKE kutoka kwenye huo mnada uliofadhiliwa na huyo mbunge wa CCM.

Nilipaswa niandike Uzi huu mapema soon after election, nilikosa nafasi kutokana shughuli za kilimo Korosho zimeanza kudondoka.

Nimewiwa kuandika kama mtanzania hasa mpenda mageuzi.


Nipende kuwatakia siku njema.

Karibuni sana Kijijini Chinongwe Ruangwa.
Kumbe yote hayo ya viwango vya pesa za hongo uliyajua na muhusika pia ulimjua kabla kwanini hukusanua kabla ukaliwacha likaharibika ukamuacha kigaila anavuta mpunga leo unakuja kulialia huoni kuwa wewe ni mtu hatari kwa mageuzi kuliko huyo mbunge,kigaila na hao waliopokea rushwa!
 
Ujinga tu ndio unakusumbua .umeshindwa huko kwenye sanduku la kura unakuja kuropoka ropoka Hovyo hovyo hapa utafikiri kichaa au mwendawazimu. Ninyi machadema mkishindwa mambo yenu mnaanza kutupia lawama CCM.ona mtu kama Mnyika jana na utu uzima wake eti anailaumu serikali kwamba haijafanya hamasa ya kuwaambia watu wakajiandikishe kwenye orodha ya daftari la mpiga kura.

Hivi hiyo ni akili au Matope? Hivi mnajitambua kweli? Mmekuwa watu wa hovyo sana na wenye kufanya vitu vya hovyo sana na wenye fikira za hovyo sana na imani za hovyo sana na mitizamo ya hovyo sana
Unakataa ukweli kwa ujinga wako lakini hali halisi ya ccm ndio hiyo bila ya figisu hizo haitoboi hata mjumbe wa nyumba kumi.
 
Muhimu ni kufanyika kwa uchaguzi na wapigakura kuamua Kiongozi wao ni yupi kati ya wagombea. Mbona kwenye teuzi tunaona watu wa ajabuajabu wanateuliwa? Wengine ni vibinti vidogo na wengine watoto au Ndugu wa Viongozi? Viti maalum ndio kabisa mkorogo tupu. KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI ni suluhisho la changamoto zote. Itapunguza nafasi za UTEUZI na kuruhusu Mgombea Binafsi.
 
Kumbe yote hayo ya viwango vya pesa za hongo uliyajua na muhusika pia ulimjua kabla kwanini hukusanua kabla ukaliwacha likaharibika ukamuacha kigaila anavuta mpunga leo unakuja kulialia huoni kuwa wewe ni mtu hatari kwa mageuzi kuliko huyo mbunge,kigaila na hao waliopokea rushwa!
Nimekusoma kipara Kipya, angalau kutoa la moyoni ni sawasawa kuliko kukaa kimyaa jabisa!!
 
Kutokubali matokeo ya uchaguzi ni tatizo sugu kwa chadema, yaani iwe uchaguzi wa ndani au uchaguzi mkuu hamkubaligi matokeo, hamuaminiani.

Aisee mna safari ndefu kama chama.
 
Kwamba "Literature has written for!" Itakuwa Wole Soyinka naye alichapia Kiingereza!
Bado upo na mzigo wa ujinga, jielekekeze kwenye mada husika,angalia maudhui /mawanda ya uzi .

Achana na grammatical error, grammar sarufi hata English speakers ambao English ni lugha Mama Kwao hawajafaulu sana kwenye issue ya grammar,nenda East London, watu wanaongea gutter substandard english.

Njoo TZ watu hawajui tofauti ya maana baina ya neno HABARI,na HABALI.

Tofauti ya KURA na KULA..
Pia KURA na. KURARA , badala ya kula na kulala.

hiyo ni mifano michache.Katika paragraph zote umetafuta Kaneno kamoja tu badala ya kuangalia maudhui.

Kweli WEWE ni BUMUNDA,POPOMA wa kiwango Cha juu.

Naamini kweli UJINGA NI MZIGO ambao umeamua KUJITWIKA 🤔🤔
 
Heshima kwenu wanaJF .
Uzi huu tachukiza wengi, ambao hawajawahi naleta thread za namna hii.

Jumapili iliyopita kabla ya Jumapili ya jana, ulifanyika uchaguzi wa CHADEMA kanda ya Kusini mjini Masasi.

Ni uchaguzi ambao uligubikwa na rushwa kutoka nje ya CHADEMA.

Wapiga kura waliuuza kura zao kwa bei ya shilingi 150,000/ zilizotolewa na mbunge wa CCM wa kike ,mtalamu wa kutoa taarifa bungeni na anayevuma kwa style ya kugagaa mavumbini anaposhukuru kwa miradi iliyotekelezwa jimboni mwake ,amabaye yupo katika Jimbo ambalo Lina Taasisi kubwa ya watawa wa kanisa Katoliki mkoani Ruvuma na anayehusika na wizara bya SIHA za watu.

Mbunge huyo amefadhili na kufanya malipo ya pesa kwenye mnada huo ulioitwa UCHAGUZI wa Kanda ya kusini.

Mbunge huyo alifanya hivyo kwa lengo la kuhakikisha CHADEMA haipati Viongozi bwa kusimamia vision yake, kufanya mobilization ya shughuli za chama kusini ya Tanzania Lindi, Mtwara na Ruvuma.

Kitu kilichokuwa kinaangaliwa ni kuhakikisha Viongozi wasio na vision mamluki wanapita,na Viongozi wenye vision na wenye influence wanashindwa.

Kwahiyo baada ya matokeo hayo walioshinda wote kutoka Songea, ambako harakati/movement za CHADEMA haziko hai kama ilivyo Lindi , Mtwara hasa NACHINGWEA,MTAMA,Tandahimba, na Masasi mjini ambalo chama kina nguvu ila kimekosa kutoa Viongozi wa kanda.

Katika uchaguzi huo ambao ulisimamiwa na Benson Singo Kigaila ambaye ni mwenza wa Mbunge mmoja wa Covid 19.

Jitu lenye ushawishi na vision Daktari mahadhi Mmoto, Daktari wa binadamu alianguka kwa kwa hila na kupata kura 19, kutoka kwa wajumbe wanaojielewa ambao hawakutaka kuuza utu wao kwa shilingi 150,000/.

Daktari Mahadhi Mmoto ni mbunge wa mioyo ya watu ambaye aliporwa ushindi wa Ubunge 2020 Jimbo la Nachingwea na kubambikiwa kesi magumashi na utawala wa Kambale.

Mahadhi Mmoto was real a right person kwa nafasi ya UENYEKITI wa kanda.

Katika uchaguzi huo Walioibuka na ushindi nafasi uenyekiti ,yaan Chairperson na Makamu wake, Mmoja ni Mganga wa kienyeji mpiga Ramli na mmoja Herbalist ndio taaluma zao au shughuli zao.

Hao wote wawili ni kutoka Songea Ruvuma, Lindi Mtwara hamna top leader zaidi ya mweka hazina wa Kanda.

Kitendo cha Viongozi wote wa juu kutoka Ruvuma kwa MBELEKO ya rushwa za mbunge wa ccm, ni dalili tosha kuwa CHADEMA ni CCM hawachekani sana kwenye rushwa.

Viongozi walioshinda hawana muda ,hawatakuwa na muda wa kufanya chochote Cha maana kwa vile wako pale kutimiza matakwa ya kuhujumu CHADEMA.

Kichekesho , nafasi ya Mwenyekiti walifungana kwa kura sawa, ikarudiwa kura iliyobadili matokeo ilinunuliwa kwa shilingi 550,000/ ililipiwa na mbunge huyohuyo wa CCM.

CHADEMA MAKAO MAKUU, imekuwa na tabia ya kuachia chaguzi za Kanda zijieendee tu, hakuna focus au msistitizo wa CHADEMA kuwatamani kuwa na mtu flani mwenye potentialities awe kiongozi case study ni kanda ya Kusini, badala yake yeyote atakayeshinda hakuna tatizo Kwao.

Kwa matokeo ya uchaguzi wa 2020, CHADEMA Ina mtaji mkubwa wa kura na uungwaji mkono hasa majimbo manne, likiwemo Jimbo mama kwa uungwaji mkono Nachingwea na Mtama. Kuelekea 2025.

Uchaguzi wa Kanda uliopita ni KABURI rasmi la CHADEMA kanda ya kusini ikiwa makao makuu ya CHADEMA hayataingilia uchaguzi huo.

Kwa kuonesha kuwa Kuna kitu sio Cha kawaida kati ya CCM Ruvuma na CHADEMA kanda, hakuna mbunge yoyote wa CCM toka NDANDA Mwambe C, na Mwambe G wa Masasi, aliyeonesha interest ya kusaidia kuhujumu Uchaguzi huo, ila mbunge wa ccm kutoka umbali wa kilometa zaidi ya 450 ndio kaingia Infront na kusimika Viongozi mamluki kutoka nyumbani kwake Ruvuma.

Mheshimiwa Mwenyekiti Mbowe na Kamati kuu, na Viongozi headquarters, ni wakati sasa wa kusafisha nyumba.

Tengua msisibitishe huo uchaguzi, urudiwe tena.

Katibu wa Kanda Kaduma ni kirusi kikubwa kwa afya ya CHADEMA kanda ya kusini, ondoa badili aje katibu mwingine.

MKAKATI WA KUUZA MAJIMBO YA KUSINI.

Kuna baadhi ya wanachama watakaopitishwa kwa baadhi
ya majimbo hasa ya mkoa wa Ruvuma,na mengineyo
pia, wamejipanga kuuza majimbo kwa kati ya milioni 300 na 500 kutegemea ugumu wa jimbo,ili wasirudishe fomu, au wajipoteze kwa kutopatikana kwenye cm siku chache kabla ya kurudisha fomu ili CCM ishinde kwa urahisi this time.

Singo KIGAILA BENSON aangaliwe kwa jicho pekenyevu.

Kwa uchaguzi wa Kanda ya Kusini uliofanyika Masasi hajaonesha qualities zozote za uongozi na kusimamia vema uchaguzi ule, alikuwa yupo yupo tu, bila shaka hata yeye labda alikuwa na HESABU YAKE kutoka kwenye huo mnada uliofadhiliwa na huyo mbunge wa CCM.

Nilipaswa niandike Uzi huu mapema soon after election, nilikosa nafasi kutokana shughuli za kilimo Korosho zimeanza kudondoka.

Nimewiwa kuandika kama mtanzania hasa mpenda mageuzi.


Nipende kuwatakia siku njema.

Karibuni sana Kijijini Chinongwe Ruangwa.
Unamkumbuka mbunge PRO MAJI MAREFU?? Hakuwa mganga?
 
Wolle Soyinka alijibu hivi kwa wanazuoni UDSM walipouliza maswali kuhusu ugumu wa literature zake hasa Engilish yake.

" THERE SOME LITERATURE HAS WRITTEN TO A CERTAIN CLASS OF PEOPLE, IF DON'T UNDERSTAND, YOU ARE NOT AMONG THOSE MEMBER WHOSE LITERATURE HAS WRITTEN FOR.."

Kamanhuelewi hupaswi kuwa hapa unapoteza muda Kujiona great thinker ,huna tofauti na mtoto wa darasa la pili!!

Shame on you!!😃😃
kwa hiyo Wole Soyinka aliongea kingereza kibovu namna hi yo?
 
Back
Top Bottom