Uchaguzi CHADEMA kanda ya Kusini; Mganga wa Jadi Mpiga Ramli na Herbalist waibuka kidedea

Nimekuelewa mkuu, kanda ya Nyasa kulikuwa na pesa za Abdul ndiyo maana uliona vile sehemu zingine ni shwari
 
Sasa kama wapiga kura wao wameonya hao ndio viongozi wanaofaa kwao shida Iko wapi? Uchaguzi ukifanyika si kwamba kila atakayechagukiwa utamkubali. Mfano, kuna viongozi wengi tu ambao hatujawachagua na ni viongozi, sasa utafanya nini?
 
Peleka huko ujinga wako.kama ulienda na matokeo yako mfukoni basi fahamu kuwa watu siyo wajinga.
Utasugua sana gaga kuvizia teuzi, kulikuwa na watu wa maana wafia chama chako akina LIZABONI, wanashinda JF 24 hours, kila uzi unao wabaghaza CCM yupo.

Leo LIZABONI yuko wapi?? Kimyaa sembuse wewe dogo sana mgeni hapa JF.

Tulixa MCHAZA dogo, kujua maana ya MCHAZA waulize Wangoni au Wandendeule 🤣🤣😀😀🤣😀
 
Sasa kama wapiga kura wao wameonya hao ndio viongozi wanaofaa kwao shida Iko wapi? Uchaguzi ukifanyika si kwamba kila atakayechagukiwa utamkubali. Mfano, kuna viongozi wengi tu ambao hatujawachagua na ni viongozi, sasa utafanya nini?
Hujaelewa kiongozi, issue ni rushwa Toka CCM kuamua uchaguzi, sio fani au kazi za walioshinda.
Hizo kazi zinaheshimika na wengi wananufaika na huduma wanazozitoa.

Issue namna walivyopatikana.
 
Gongo ya mabibo haijawahi kumuacha mtu salama. Pole sana kunywa kwa kiasi!
Upumbavu, kudeal na mtoa mada personally badala ya kujadili hoja iliyotolewa.
P Diddy kakuharibu sana Kijana hapo ulipo huna MARINDA 🤣🤣😀😃😀🤣😃 ukichekeshwa tu tayari nnyaaa unaachia, weka number bya cm tukuchangie NEPI JANJA pampasi 🤣🤣😀
 
Vipi kuhusu pro maji marefu
 
Vipi kuhusu pro maji marefu
Kuhusu taaluma au kazi ya uganga sioni tatizo lolote ni kazi.

Kwa kesi ya uchaguzi wa Kanda ya Kusini CHADEMA,kulikuwa na Hila, zengwe namna walivyopatikana,ni hilo tu
 
Changamoto ya akili hiyo! Kama keyboard inaweza kukuvalisha nepi basi hata Mirembe usipelekwe kwa kuwa umefika ukomo!
 
Changamoto ya akili hiyo! Kama keyboard inaweza kukuvalisha nepi basi hata Mirembe usipelekwe kwa kuwa umefika ukomo!
Punguza povu we BUMUNDA , naona dozi imekuingia vema,🤔🤔 ukija na wenge Tena unakula chuma tena.
 
Ccm wengi wenu ni wapumbavu hata dira hamna miaka 60 bado mnahubir matundu ya choo jinga kabisa.
 
Sibishani na nguruwe 🐖! Malaya chizi wewe!
Sawasawa umeeleweka vizuri bwe BWEGE,BUMUNDA, POPOMA Naona dozi imekuingia vema!!!
Karibu uendelee kutoa povu, unaonesha MUME WAKO ana taabu sana katika ndoa yake.

Mwanamke una maneno ya shombo wewe 😃😃🤣🤣.

Angalia usijew ukaachika.
 
Mngechukua hatua kutoa taarifa Takukuru mapema mlipoona hizo dalili za rushwa. Kutaja majina ya watu na nyafhifa zao kuwa walihusika kwenye vitendo vya Jinai bila uthibitisho wowote wa maana ni jinai nan
 
Kumuelewa Katelephone Majaliwa yataka moyo,ila kukuelewa wewe hapa inahitaji zaidi ya kuwa Katelephone!!.

Masjidnul na sunday school hazijawahi kuwa mbadala wa elimu jinga itolewayo na CCM.
 
Kumuelewa Katelephone Majaliwa yataka moyo,ila kukuelewa wewe hapa inahitaji zaidi ya kuwa Katelephone!!.

Masjidnul na sunday school hazijawahi kuwa mbadala wa elimu jinga itolewayo na CCM.
Duuu, karibu the home of great thinker naona Bado una Siku chache jamvimi.
Aksante kwa mchango kwenye Uzi wangu
 

Attachments

  • Screenshot_20241009-225439.jpg
    133.4 KB · Views: 2
Mngechukua hatua kutoa taarifa Takukuru mapema mlipoona hizo dalili za rushwa. Kutaja majina ya watu na nyafhifa zao kuwa walihusika kwenye vitendo vya Jinai bila uthibitisho wowote wa maana ni jinai nan
Mhalifu ni mhalifu, na kuvunja sheria ni kuvunja tu bila kujali cheo Cha mtoa rushwa.
 
Duuu, karibu the home of great thinker naona Bado una Siku chache jamvimi.
Aksante kwa mchango kwenye Uzi wangu
Nina miaka mingi ya kuwa jamvini zaidi ya hiyo unayoona nilivyojiunga na JF kwa ajili ya kuchangia.

Great Thinkers wanajulikana, na huwa hawachangii mara kwa mara.

Unamjua great thinker Chige !!!???
 
Hakuna kupita bila kupingwa 2024 na 2025..
 
Nina miaka mingi ya kuwa jamvini zaidi ya hiyo unayoona nilivyojiunga na JF kwa ajili ya kuchangia.

Great Thinkers wanajulikana, na huwa hawachangii mara kwa mara.

Unamjua great thinker Chige !!!???
Hiyo criterion ya kutochangia mara kwa mara Ili uonekane great thinker aliiweka nani??

Alikubaliana na nani?? Alitumia ground zipi??

Tuanzie hapo kwanza!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…