Uchaguzi CHADEMA kizazi cha Gz kushuhudia mabadiliko makubwa

Uchaguzi CHADEMA kizazi cha Gz kushuhudia mabadiliko makubwa

Makupa

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
6,822
Reaction score
4,034
Wakuu ,kwa wale vijana wetu ambao hawakuwahi kusikia sauti tofauti ya Mwenyekiti wa chama cha Chadema, mwezi huu Mungu atatenda, ukumbuke ya kwamba hawa vijana wakati wa uhai wa maisha hawakuwahi kushuhudia Mwenyekiti tofauti na Mzee Mbowe. Kwa jinsi hali ilivyo ni dhahiri ya kuwa Mzee Mbowe ndio basi tena.

Lissu shukilia hapo hapo.
 
Wakuu ,kwa wale vijana wetu ambao hawakuwahi kusikia sauti tofauti ya Mwenyekiti wa chama cha Chadema ,mwezi huu Mungu atatenda,ukumbuke ya kwamba hawa vijana wakati wa uhai wa maisha hawakuwahi kushuhudia Mwenyekiti tofauti na Mzee Mbowe .Kwa jinsi hali ilivyo ni dhahiri ya kuwa Mzee Mbowe ndio basi tena.
Lissu shukilia hapo hapo.
Watu wakweli
Watu wa haki
Wapenda demokrasia
Watu wasio pinda pinda kama mzee Pinda wanamtaka Lissu
 
Wakuu ,kwa wale vijana wetu ambao hawakuwahi kusikia sauti tofauti ya Mwenyekiti wa chama cha Chadema ,mwezi huu Mungu atatenda,ukumbuke ya kwamba hawa vijana wakati wa uhai wa maisha hawakuwahi kushuhudia Mwenyekiti tofauti na Mzee Mbowe .Kwa jinsi hali ilivyo ni dhahiri ya kuwa Mzee Mbowe ndio basi tena.
Lissu shukilia hapo hapo.
Lisuu atawaamsha hadi vyuoni walikopatikana akina mnyika, mdee na zitto maana kwa sasa vyuoni chadema inaelekea kufa kabisa hakuna anayewasapoti wamekuwa waoga kupitiliza maana mzee wa maridhiano hataki tena amshaamsha,vyuoni ni uchawa tu wa saa100 mitano tena hadi kero
 
Mbowe kazeeka vibaya ana akili kama za Kagame, m7 na Mugabe
Yule aliyeenda gerezani miezi 8 na aliyetoka ni watu wawili tofauti. Kukimbilia ikulu usiku usiku na kuandaa maridhiano bila kutanguliza akili kuta mgharimu sana Mbowe!
Busara kwa sasa ajiuzulu. Tofauti na hapo CDM inakuwa kama ACT, CUF na NCCR.
 
Lisuu atawaamsha hadi vyuoni walikopatikana akina mnyika, mdee na zitto maana kwa sasa vyuoni chadema inaelekea kufa kabisa hakuna anayewasapoti wamekuwa waoga kupitiliza maana mzee wa maridhiano hataki tena amshaamsha,vyuoni ni uchawa mtu wa saa100 mitano tena hadi kero
Uongo huu

Siasa zilishapigwa marufuku vyuoni tofauti na zamani

Timu Lisu acheni uongo na utapeli mitandaoni kwa ahadi hewa kama hii ya uongo
 
Wakuu ,kwa wale vijana wetu ambao hawakuwahi kusikia sauti tofauti ya Mwenyekiti wa chama cha Chadema, mwezi huu Mungu atatenda, ukumbuke ya kwamba hawa vijana wakati wa uhai wa maisha hawakuwahi kushuhudia Mwenyekiti tofauti na Mzee Mbowe. Kwa jinsi hali ilivyo ni dhahiri ya kuwa Mzee Mbowe ndio basi tena.

Lissu shukilia hapo hapo.
Mbowe amechagua njia mbaya sana ya kumaliza mwendo.
 
Back
Top Bottom