Uchaguzi CHADEMA na kutawala siasa za Tanzania

Uchaguzi CHADEMA na kutawala siasa za Tanzania

gcmmedia

Member
Joined
Jul 19, 2024
Posts
34
Reaction score
75
Bila kujali nani atashinda ama kushindwa na nini kitatokea baada ya uchaguzi, nimeona ukubwa wa CDM katika siasa za Tz. Uchaguzi wa Mwenyekiti CDM Taifa umetawala siasa za Tanzania kwa wiki kadhaa. Hakuna Chama tawala wala vyama vingine vya upinzani ambavyo vina-trend kwa sasa.

Hili ni jambo zuri kwa siasa za upinzani kuwa masikioni mwa watu. Wanatakiwa waitumie hii fursa vizuri.
 
Chadema wakimpitisha Lissu tutarajie CCM kubadilisha gia angani.
Hii itaamsha ari ya majority kupiga kura kama ilivyokuwa 2015.
I Bet!!!.
 
Back
Top Bottom