Kampeni za Uchaguzi wa Rais, na Makamu wa Rais wa Serikali ya Wanafunzi, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, zimeanza.
*Wagombea Urais ni watatu katika kinyang'anyiro hiki. Bw Egidy Mkolwe ambaye ni mmoja wa wagombea, anatarajiwa kuzindua kampeni zake katika ukumbi wa Yombo 4, hapa UDSM asubuhi hii;
*Kuna tetesi kwamba C.C.M. Wana mgombea wao, na wanafanya juu chini ili apite, kama walivyofanya kule SAUT-Mwanza na kuambulia patupu;
*Mwenye taarifa za ki-inteligensia kuhusu hili la C.C.M. kujipenyeza katika Uchaguzi wa DARUSO, atujuze zaidi na atuambie ni wagombea/mgombea yupi ni pandikizi la C.C.M. na ni yupi wa CHADEMA.
#Nawasilisha #
*Wagombea Urais ni watatu katika kinyang'anyiro hiki. Bw Egidy Mkolwe ambaye ni mmoja wa wagombea, anatarajiwa kuzindua kampeni zake katika ukumbi wa Yombo 4, hapa UDSM asubuhi hii;
*Kuna tetesi kwamba C.C.M. Wana mgombea wao, na wanafanya juu chini ili apite, kama walivyofanya kule SAUT-Mwanza na kuambulia patupu;
*Mwenye taarifa za ki-inteligensia kuhusu hili la C.C.M. kujipenyeza katika Uchaguzi wa DARUSO, atujuze zaidi na atuambie ni wagombea/mgombea yupi ni pandikizi la C.C.M. na ni yupi wa CHADEMA.
#Nawasilisha #