kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kila anaeiita Tanzania kwetu kuna vile anapenda iwe na atendendewe. Muda wako ni huu wa kusema kupendekeza, kushauri, kushawishi, kuonya, kutahadharisha, kulaani, na kulaumu na kuunga mkono yale unayoyapenda/usiyoyapenda, maana hakuna mwenye haki miliki ya Tanzania ni dhamana tu tunawapa wafanye kwa niaba yetu. Hakuna mtu anayeifahamu, kuipenda na kutuonea huruma Tanzania kwa niaba yetu.
Sisi sote tuunganishe nguvu zetu kusema juu ya Tanzania tunayoitaka, na huu ndio wakati wa kufanya hivyo, baada ya uchaguzi itakuwa too late na majungu kumuongelea yule aliyeshinda.
Usikubali mtu akutishe, usiseme unavyopenda na kuunga mkono upande unaouamini katika kuijenga Tanzania unayoitamani. Kama itakupasa upate adhabu kwaajili hiyo basi jihesabu kuwa huo ndio mchango wako na wewe kwenye kuifanya Tanzania unayoitaka wewe na kizazi chako kijacho.
Sisi sote tuunganishe nguvu zetu kusema juu ya Tanzania tunayoitaka, na huu ndio wakati wa kufanya hivyo, baada ya uchaguzi itakuwa too late na majungu kumuongelea yule aliyeshinda.
Usikubali mtu akutishe, usiseme unavyopenda na kuunga mkono upande unaouamini katika kuijenga Tanzania unayoitamani. Kama itakupasa upate adhabu kwaajili hiyo basi jihesabu kuwa huo ndio mchango wako na wewe kwenye kuifanya Tanzania unayoitaka wewe na kizazi chako kijacho.