RockCarnegie
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 963
- 1,927
"Tanzania ni nchi ya kidemokrasia inayofuata mfumo wa vyama vingi vya siasa"
Tunapoelekea Uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani ni vyema tukawakumbusha waliopewa dhamana ya kusimamia zoezi upigaji na uhesabuji kura kuwa, ni haki ya wananchi kutangaziwa matokeo sahihi kulingana na jinsi walivyochagua viongozi wao.
Siyo hisani ya rais ama kiongozi yoyote kuwapatia wananchi maamuzi yao kupitia sanduku la kura!
Kutangaza matokeo 'fake' siyo kuwakomoa au kuwakomesha wapinzani! Ni kuwadharau wananchi, kuwaona wajinga, wanyonge, 'primitive' , wasiofaa na kuweza lolote!
Ni aibu na fedheha kwa viongozi, uchaguzi unakaribia taifa linahowafia kuwa mtaiba kura zao! Shame on you!
Mwananchi acha woga, piga kura na linda kura yako!
Tunapoelekea Uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani ni vyema tukawakumbusha waliopewa dhamana ya kusimamia zoezi upigaji na uhesabuji kura kuwa, ni haki ya wananchi kutangaziwa matokeo sahihi kulingana na jinsi walivyochagua viongozi wao.
Siyo hisani ya rais ama kiongozi yoyote kuwapatia wananchi maamuzi yao kupitia sanduku la kura!
Kutangaza matokeo 'fake' siyo kuwakomoa au kuwakomesha wapinzani! Ni kuwadharau wananchi, kuwaona wajinga, wanyonge, 'primitive' , wasiofaa na kuweza lolote!
Ni aibu na fedheha kwa viongozi, uchaguzi unakaribia taifa linahowafia kuwa mtaiba kura zao! Shame on you!
Mwananchi acha woga, piga kura na linda kura yako!