Uchaguzi 2020 Uchaguzi huu Waandishi hatujatimiza wajibu ipasavyo

Ndio inatakiwa watu wawe kama Lisu sio Unafiki
 
Mihimili 3 ya dola hua ina "checks and balances" ila kwa awamu hii yote iko chini ya mtu mmoja wote wanaimba mapambio kulikua na sababu gani kuwanyima wananchi fursa ya kuona binge live kwa madai linapoteza muda watu hawafanyi kazi je kuna kitu kilichokua kinapoteza muda kama mwenge! Na mbona mwaka huu haujakimbizwa na hakuna tofauti so ni matumizi mabovu ya pesa tu na muda ilhali watu wamezibwa midomo wasihoji chochote sababu funguo za nyumba 3 anazo Mtu mmoja
 
Nawewe pia ni Mwandishi wa habari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…