Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
hiki ndiko ccm wanajua; nothing more.

View attachment 36999


Pesa za kuhonga wanazo lakini za kuleta maendeleo wanazitafuna wenyewe, hii ni aibu kwetu sisi Wananchi tunadanganywa na mlo 1 kwa kuuza haki yako. Watanzania hatuna njaa ya hivyo ya kugombaniana Chakula Njaa yetu ipo kwenye Maendeleo na Ajira, Still Magamba dont get it
 
watu waliofika katika mkutano wa CCM ni mara tatu ya CDM na picha walizotuletea katika magazeti ya bongo za chadema walichakachua, Waliweka picha za Arusha badala ya Igunga. igunga hakuna magorofa lakini picha za cdm zilikuwa na magorofa.
<br />
<br />
Kwanza nikushaur ubadili jina unalotumia hapa jf kwani haliendani na wewe pili cdm walikua na wanaigunga wakati ccm walichukua watu toka majimbo mengine kwani anaepiga kura ni nani? Usiwe unaparamia mambo bila evidence
 
Ni kweli kabisa tena kama sio CCM tungekuwa bado hatujafikisha miaka 5O ya uhuru.
Kama sio CCM toka 1961 mpaka leo usikute tungekuwa na miaka 2 tu ya uhuru.
Mnataka nini tena watz msio na shukrani?Yani mmepewa miaka hamsini bado hamridhiki?
CCM hureeeeeeeeeee!!! IDUMU MILELE MIAKA HAMSINI YA UHURU.
 
Ccm naifananisha na bibi kize anaelazimisha usista duu wakati dhahiri anajua wakati wake umepita
 
Kwakuwa waliozimia kwa ajili yake walitayarishwa na yeye mwenyewe wala hawataona ajabu, sana sana watamdai sahani ya wali kwa maharage na stori itaishia hapo.
 

Una chuki binafsi na Mkapa, JK? Kama ni hapana, kipi huelewi kuhusu aliloongea Mkapa? Au wewe una uvivu wa kufikiri?
MBUMBUMBU MKUBWA WE.
 
Wapi ms,mwita 25,faiza foxy,ritz,achebe,john marwa,rejao.Tunataka mjadili mada mbona mmekimbia thread?
 
Maskini Mkapa! Badala ya kuendelea kujipumnzikia zake, amekubali kuja kukibeba chama kisichobebeka!
 
Kama uratibu wenyewe wa kuvuta watu kwenye kampeni ndo huo inakuwa haina maana manake kwa mimi ni kama kuwaongezea watu machungu kutokana na yale yanayowasumbua kwa sasa. Chakula cha siku kinawasaidia nini? Maji, umeme, elimu, miundombinu duni, ajira etc ndo vitu vinavyowasumbua wana igunga kwa sasa na mahitaji yao si sahani ya wali ya siku moja! Hata hivyo wanaweza kula tu halafu kura wakampa mpiganaji mwingine.
 
Nikiangalia hizo sahani, maana sio sinia, nashangaa jinsi zilivyojazwa. Hivi kuna mtu anaweza kula chakula kingi hivyo?
 
Nipo kwenye ulingo wa Igunga,jana nimeshuhudia vioja ambavyo sikuvitarajia.tulikuwa na macomrade magamba tukipanga mikakati ya kusherekea ushindi wa igunga,gafla nape akamuuliza RA vip mbona Bashe sikumuona au kazi nyingi? RA akumficha Nape na wale wazee wetu wanafiki,akawambia mimi kuwepo hapa aimaanishi kwamba sina chuki tena na nyie,ila siku zijazo vijana wangu watalipa kisasi kwa yote mliyotufanyia.mara mukama kashtuka kamwambia niligundua natumika vibaya ndio maana mpaka leo ujanisikia tena,nape akadakia haiwezekani nilifuata maagizo ya wakuu wangu ila sasa hivi nipo upande wenu na nitahakikisha Bashe anakuwa mwenyekiti wa UVCCM.duh huyo ndo NAPE MOSSES NNAUYE(kama baba yake vile)
 
<br />
<br />
Kaka/dada umetumwa? Tatizo siyo bilion 3 kutolewa bali ni kutolewa bila supporting docs. Sasa sijui ujinga wa huyu mtoa mada uko wapi? Labda tunahitaji uthibitisho tu wa madai yake na si kumbeza na kumtukana.
 
Ni kweli kabisa wananchi ni lazima wafika mahali waiambie ccm basi! Maneno ya kudangaanya kila siku hayafai! makusanyo makubwa ya kodi lakini matumizi ni kwa manufaa ya watu wachache! Tizama Rais juzi kasafiri safari ya 316 tangu aingie madadarakani! Jamani! safari za Rais sawa na mwaka mzima?
 
Watu watakanyagana wakigombania Wali wa maharage!!! Ivi ile ni pilau au wali maharagwe??

Watu wanafata sera zenye lengo la kuwakomboa kutoka umasikini sio pilau jamani.

Kwenye mikutano wa Mkapa watu walifuata the comedy na mpunga. Kafumu - fumuliwa, unahonga watu na mchele na kuwaambia wafanye kama mkeo !!!

Kwenye CDM watu wanafuata sera mwanana za ,maendeleo. Kashindye ndo Atashinda bana!!! Viva chadema.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…