Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
kama voters wa hizi polls wamekuwa sampled from Igunga, walau tutaelewa japo kidogo.
otherwise, it's a waste of cyber resources....

halafu tukumbuke, kinacho-matter ni nani anayehesabu na kusimamia kura zilizopigwa....bila kujali nani kapata kura nyingi!
au mmesahau???
 
Regia bana,

"M. Mchemba" anasema waliofanya kitendo hicho ni CDM 'people's power'

Anayesema ni CCM ni huyo kijana mwingine anajiita mwana CCM. Je tutaamini vipi ni mwana CCM kweli na nyie CDM hamjampa pesa aseme hivo?
Hiyo video nyie wenyewe ndo mmeiandaa.

Utata unabaki pale pale.
Tupe ukweli au uchambuzi unaoujua
 
Hawa CCM si waliwahi hata kumwaga "unga unga" bungeni! Pamoja na kuonekana na kamera za ukumbi wa bunge bado wakabisha. Kwa hiyo hawa watu kudhuriana ni kawaida yao.

Wapi Papaa Kolimba? Wapi Mamaa Mbatia? Wapi
Wapi papaa Chachage wa Chachage?
 
Ungaliwatosha, Ubomgo!! Teh teh the..Ahahahaha!
Shule za kata at work
Wewe ni mjinga na mpumbavu kabisa, yaani unaangaika kuangalia typing error kwa sababu huna cha kuchangia? kwa taarifa yako hata Oxford dictionary ina makosa 1000 kenge wewe.
Halafu unafahamu vyema kanuni za JF huruhusiwi kuedit post ya member mwingine, je ni kwa nini umeiedit post yangu, naomba ujibu hapa kabla sijaprocess ban ya mwezi mmoja dhidi yako.
 
Hey guys it's better kujibu hoja kwa hoja makini inayoshawishi na kuonyesha uelekeo. Mtoa hoja katoa maoni yake anavyoona yeye, sasa mkija na matusi haisaidii.
 
Kwa hiyo according to CHADEMA standards zinazoongozwa na Regia, mmeridhika kuwa huu ni ushahidi tosha wa kumjua aliyefanya unyama wa kumwagia mtu tindikali?

Kuna dalili za dhahiri kuwa ushabiki wa kisiasa unalipeleka hili taifa mahali pabaya. Mungu atunusuru!

Ungejivua ushabiki wa kisiiasa kwanza hoja yako ingekuwa na mshiko
 
CCM wameumbuka na mbinu yao leo wamesitisha kampeni kwa unafiki mbona siku ya kwanza walizindua wakati miili ilikuwa bado majini ikielea.
 
katika msafari wa mamba kenge hakosikani.Haiwezakana mtu mwenye akili kamili kushabikia wizi na utapeli wa ccm. chama kimetawala miaka 50 lakini watu wake ni maskini wa kupindukia. pale penye barabara ni hisani tuu ya wafadhili. hela za kodi zinaishia kwenye matumbo na kampeni zao kama vile EPA, merimeta, nk. ccm ni laana.
 
Kipindupindu hakuna haja ya copy & paste msururu mrefu weka link mkuu we vipi.
 
I have an upmost honour and huge respect of Regia Mtema but this uncorroborative story of yours has completely changed my perception on you. I did not expect that you would be whiddled into foul politicking and spread of calumnies given the fact that you sneaked into the parliament through special seats! Your malevolence will not gain you any lucre more than seeing your reputation waned before the eyes of hoi polloi.

You are the most uncouth contributer personalising an issue. You are a Masaburi and Mwita 25 at the same time
 
CCM inafaidi umaskini na ujinga wa watanzania. wanadanganywa kwa pilau ya siku moja, wanaharibu maisha yao yote? Je hii pilau siyo rushwa?
 
Masikini nape jali ubinadamu kwanza kuliko madaraka kama kweli ulihusika kutoa pesa 150,000/= kwa unyama huu utalipwa hapahapa...............

321642_265761296778624_100000342668655_939079_1865404671_n.jpg
 
Kwa hiyo according to CHADEMA standards zinazoongozwa na Regia, mmeridhika kuwa huu ni ushahidi tosha wa kumjua aliyefanya unyama wa kumwagia mtu tindikali?

Kuna dalili za dhahiri kuwa ushabiki wa kisiasa unalipeleka hili taifa mahali pabaya. Mungu atunusuru!

Zemarcopolo mbona unazidi kushuka sana,

Regia alichofanya ni kutuletea hiyo video tu yanayojiri igunga.

Mwigulu mchemba anaishutumu chadema kuhusika na kumwagia tindikali kijana wao. Nape anaandika kwenye mitandao kwamba chadema wamemwagia kijana wao tindikali.

Sasa kuna mtu anafahamu hilo dili ndo kaamua kuweka ukweli bayana, sasa wewe unachoshangaa ni kitu gani? Yes Regia ni kiongozi wa chadema kwahiyo anawajibika kukipigania na kukitetea chama kadri inavyowezekana. Na hapa kuna propaganda chafu dhidi ya chadema hivyo ametekeleza wajibu wake vizuri kwa kuufahamisha umma wa watanzania muendelezo wa hili saga.

Ingawa jeshi la polisi hawaaminiki sana kufanya uchunguzi na kutoa taarifa ya kweli pale magamba yanapohusika na uhalifu, at least tunaweza kuwa wavumilivu huku tukisubiria uchunguzi wao.

Huo ushabiki unaouzungumzia nadhani bila shaka unakupeleka wewe kubaya kwa kushindwa kuuona vizuri ama kuufumbia macho mchezo mchafu unaochezwa na magamba.
 
Wale waliokuwa wakishabikia jana kuihudisha Chadema na sakata hili wapo wapi leo?,kila baya linalotokea utawasikia'Chadema wanahusika'tena kwa sauti ya juu!!! Sijui huu muwasho unawatokea wapi!!!
 
Kwa hiyo according to CHADEMA standards zinazoongozwa na Regia, mmeridhika kuwa huu ni ushahidi tosha wa kumjua aliyefanya unyama wa kumwagia mtu tindikali?

Kuna dalili za dhahiri kuwa ushabiki wa kisiasa unalipeleka hili taifa mahali pabaya. Mungu atunusuru!
posho yako leo umechukua?
 
Mimi, kama 'President Elect', niko tayari kuvaa gwanda endapo CHADEMA kitafanikiwa kushinda uchaguzi mdogo, jimbo la Igunga.

Hii ni changamoto kwa CHADEMA na wapambe wao hapa JF, ambao macho na masikio yao yanafuatilia uchaguzi wa Igunga.

Jimbo la Igunga ni karata dume, ambayo CCM wanayo mikononi mwao. Kazi kwenu CHADEMA kuwapokonya, na kama mtafanikiwa, basi na mimi nitavaa gwanda, kama ilivyo kwa mh. Freeman Mbowe au mh. Zitto Kabwe. Nasema tena, kazi kwenu CHADEMA!


CHADEMA hakihitaji watu wenye akili za kushikiwa baki huko huko mnakopewa ubwabwa mkavu na kapelo ili muwachague magamba.
 
Masikini nape jali ubinadamu kwanza kuliko madaraka kama kweli ulihusika kutoa pesa 150,000/= kwa unyama huu utalipwa hapahapa...............

321642_265761296778624_100000342668655_939079_1865404671_n.jpg
Na yeyote aliyefanya hiki Kitendo, Hasa cha kutoa pesa na Kuwalipa watu kufanya uhalifu wa kukandamiza demokrasia na alaaniwe Kabisa!! Huu ni Unyama usiokuwa na kifani!! Jamani tunakwenda wapi? Magamba Mgundue siasa za Fujo na Ubabe Hazina Mashiko!! Ni kama unatafuta mchumba anakukataa na unajifanya kulazimisha Haitasaidia!! Kwani uamuzi wa mtu unatokana na utashi wake
 
Wewe ni mjinga na mpumbavu kabisa, yaani unaangaika kuangalia typing error kwa sababu huna cha kuchangia? kwa taarifa yako hata Oxford dictionary ina makosa 1000 kenge wewe.

Halafu unafahamu vyema kanuni za JF huruhusiwi kuedit post ya member mwingine, je ni kwa nini umeiedit post yangu, naomba ujibu hapa kabla sijaprocess ban ya mwezi mmoja dhidi yako.
Teh teh teh! Matola bana naona unajipa majukumu ya PAW! Acha kulilia ingiwa ndio tabia yako ya kuulilia.

Jitahidi kutuliza akili yako usikasirike Matola, ukikasirika akili inahama. Kwa hiyo wewe ni Dictionary? Sina cha kukwambia zaidi yakusema nashukuru kwa masabari
 
Yahani sasa CCM imekuwa ndo ajenda yao kila wanapopita sasa mbona wameumbuka?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom