Fasta fasta
JF-Expert Member
- Feb 15, 2011
- 1,125
- 725
Masikini nape jali ubinadamu kwanza kuliko madaraka kama kweli ulihusika kutoa pesa 150,000/= kwa unyama huu utalipwa hapahapa...............
![]()
Hii ni laana kwa mungu muumba. Nilisema hapa hii ni shughuli ya ccm katika fani yao ya kutengenezea watu makesi. Hawana ubinadamu kabisa chama chao kimefanana na sura zao, wauwaji wakubwa.
Ninadhani mpaka sasa huko Igunga wanajibu sahihi ni nani kafanya hii kazi ya kumwaribia huyu kijana maisha yake. Hapa watanzania tuelimishane kuachana na mambo ya kinafiki tuwe wakweli. Mimi ninashangaa anzia juzi walitangaza kuwa kuna mmoja alikamatwa lakini mpaka leo hawajataja ni nani. Na angekuwa ni wa chadema ungekuta mabango yamesha andikwa kila kona.
Wanasema ukiwa na mawazo ya kuuwa na kila kitu utakachokifanya kitakuwa cha mauaji tu. Tukianzia na uchukuaji fomu mtoto wa watu kapoteza maisha, kufungua kampeni wenyewe kwa wenyewe wanamwagiana Tindikali, siku hiyo hiyo taifa kupata msiba duh........!. CCM ni mkosi kwa watanzania na ndio maana watanzania hawatakaa wajue kwa nini ni masikini.