Tupe ukweli au uchambuzi unaoujuaRegia bana,
"M. Mchemba" anasema waliofanya kitendo hicho ni CDM 'people's power'
Anayesema ni CCM ni huyo kijana mwingine anajiita mwana CCM. Je tutaamini vipi ni mwana CCM kweli na nyie CDM hamjampa pesa aseme hivo?
Hiyo video nyie wenyewe ndo mmeiandaa.
Utata unabaki pale pale.
Wapi papaa Chachage wa Chachage?Hawa CCM si waliwahi hata kumwaga "unga unga" bungeni! Pamoja na kuonekana na kamera za ukumbi wa bunge bado wakabisha. Kwa hiyo hawa watu kudhuriana ni kawaida yao.
Wapi Papaa Kolimba? Wapi Mamaa Mbatia? Wapi
Wewe ni mjinga na mpumbavu kabisa, yaani unaangaika kuangalia typing error kwa sababu huna cha kuchangia? kwa taarifa yako hata Oxford dictionary ina makosa 1000 kenge wewe.Ungaliwatosha, Ubomgo!! Teh teh the..Ahahahaha!
Shule za kata at work
Kwa hiyo according to CHADEMA standards zinazoongozwa na Regia, mmeridhika kuwa huu ni ushahidi tosha wa kumjua aliyefanya unyama wa kumwagia mtu tindikali?
Kuna dalili za dhahiri kuwa ushabiki wa kisiasa unalipeleka hili taifa mahali pabaya. Mungu atunusuru!
I have an upmost honour and huge respect of Regia Mtema but this uncorroborative story of yours has completely changed my perception on you. I did not expect that you would be whiddled into foul politicking and spread of calumnies given the fact that you sneaked into the parliament through special seats! Your malevolence will not gain you any lucre more than seeing your reputation waned before the eyes of hoi polloi.
Kwa hiyo according to CHADEMA standards zinazoongozwa na Regia, mmeridhika kuwa huu ni ushahidi tosha wa kumjua aliyefanya unyama wa kumwagia mtu tindikali?
Kuna dalili za dhahiri kuwa ushabiki wa kisiasa unalipeleka hili taifa mahali pabaya. Mungu atunusuru!
posho yako leo umechukua?Kwa hiyo according to CHADEMA standards zinazoongozwa na Regia, mmeridhika kuwa huu ni ushahidi tosha wa kumjua aliyefanya unyama wa kumwagia mtu tindikali?
Kuna dalili za dhahiri kuwa ushabiki wa kisiasa unalipeleka hili taifa mahali pabaya. Mungu atunusuru!
Mimi, kama 'President Elect', niko tayari kuvaa gwanda endapo CHADEMA kitafanikiwa kushinda uchaguzi mdogo, jimbo la Igunga.
Hii ni changamoto kwa CHADEMA na wapambe wao hapa JF, ambao macho na masikio yao yanafuatilia uchaguzi wa Igunga.
Jimbo la Igunga ni karata dume, ambayo CCM wanayo mikononi mwao. Kazi kwenu CHADEMA kuwapokonya, na kama mtafanikiwa, basi na mimi nitavaa gwanda, kama ilivyo kwa mh. Freeman Mbowe au mh. Zitto Kabwe. Nasema tena, kazi kwenu CHADEMA!
Na yeyote aliyefanya hiki Kitendo, Hasa cha kutoa pesa na Kuwalipa watu kufanya uhalifu wa kukandamiza demokrasia na alaaniwe Kabisa!! Huu ni Unyama usiokuwa na kifani!! Jamani tunakwenda wapi? Magamba Mgundue siasa za Fujo na Ubabe Hazina Mashiko!! Ni kama unatafuta mchumba anakukataa na unajifanya kulazimisha Haitasaidia!! Kwani uamuzi wa mtu unatokana na utashi wakeMasikini nape jali ubinadamu kwanza kuliko madaraka kama kweli ulihusika kutoa pesa 150,000/= kwa unyama huu utalipwa hapahapa...............
Teh teh teh! Matola bana naona unajipa majukumu ya PAW! Acha kulilia ingiwa ndio tabia yako ya kuulilia.Wewe ni mjinga na mpumbavu kabisa, yaani unaangaika kuangalia typing error kwa sababu huna cha kuchangia? kwa taarifa yako hata Oxford dictionary ina makosa 1000 kenge wewe.
Halafu unafahamu vyema kanuni za JF huruhusiwi kuedit post ya member mwingine, je ni kwa nini umeiedit post yangu, naomba ujibu hapa kabla sijaprocess ban ya mwezi mmoja dhidi yako.