Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
tatizo ni watu wa igunga njaa na hiyo ni njia huwa anaitumia RA kuwa shika watu igunga wape menu tu..
 
Kwa hiyo according to CHADEMA standards zinazoongozwa na Regia, mmeridhika kuwa huu ni ushahidi tosha wa kumjua aliyefanya unyama wa kumwagia mtu tindikali?

Kuna dalili za dhahiri kuwa ushabiki wa kisiasa unalipeleka hili taifa mahali pabaya. Mungu atunusuru!

Kama shtaka liko polisi na waliofanya hivyo wanajulikana (either kwa kumuhoji victim au through witnesses); then sioni kwanini hili swala liwe judged na chama chochote cha siasa. Regia mwenyewe hajatuambia kama anahusika na uchunguzi, au is part of independent investigation; so sioni sababu kumuuliza kiasi cha ushahidi kinachotakiwa. Yeye si polisi, polisi ndio watajua ni kiasi gani cha ushahidi wanahitaji. Regia amepost videos za sisi kuona (kila mtu ata-judge kivyake). Mwigulu na-yeye asiwe mwepesi ku-judge kama hili swala lipo polisi kama anataka tuamini kweli ameguswa na hili tukio. Tunaelewa vyama vya siasa vinaweza vikaamua kufanya "independent" investigation kwasababu yakukosa imani na vyombo vyetu vya dola. Lakini so far hatujaambiwa uchunguzi umekamilika (either uliofanyika independently/na vyama vya siasa au unaofanywa na polisi) sasa sijui Mwigulu hiyo statement aliyotoa hapo kaitoa wapi. Hivi ikijakugundulika huyu mtu alimwagiwa tindikali kwasababu nyingine mbali na siasa, mtasemaje? Tusiwe wepesi ku-judge hivi vitu just because kuna uchaguzi Igunga. Hatujui huyu mtu alikuwa anaishi vipi maisha yake, maadui zake, biashara zake, je kuna adui yake alijua amepata hiyo tender ya kutoa/kuweka mabango usiku aka-take that opportunity kumdhuru? etc. Tusipotoshe umma; jamii haihitaji chama chochote cha siasa ku-conclude kitu bila uchunguzi.
 
<b><font color="#0000ff">hapa bado hujaeleweka yaani TITLE na CONTENT ni irrelevant kabisa kama huna source basi mwaga data zako kwa kina mkuu</font></b>
<br />
<br />
data gani tena mkuu? Mbona habari inaeleweka?
Au hujaelewa alipoandika kuwa kila chama kisijidanganye na umati wa wahudhuriaji, bali waongeze juhudi zaidi?
Data za nini hapo? Eeh. Kichwa chako kigumu kuelewa kama riz?
 
Wana JF, nitatoa mawazo yangu kulingana na hali halisi inavyoongelewa na vyombo vya habari na uzoefu wangu na siasa za Tanzania.<br />
<br />
Hakuna uthibitisho wa moja kwa moja kwamba chama fulani kimeiteka, kimeishika, ama kitashinda uchaguzi Igunga na ndio maana wote sasa hawalali ni kampeni hadi kieleweke. Kama kipo kile ambacho kina uhakika kitashinda basi hakuna haja ya kuendelea kuhangaika hovyo majukwaani kukenua meno bila sababu, ilhali ushindi upo basi ni muda muafaka wa kutafuta suti, viatu safi, na kuandaa sherehe baada ya kuapa.<br />
<br />
Hali Igunga ni tete mno na wananchi wote huko wanatafakari na sio rahisi kutoa msimamo wa matokeo kwa kuwa wao ndio wapiga kura. Narudia tena, kujaza watu ama kutoa wali haku garantii ushindi, inatakiwa kampeni tu na kuachana na propaganda za kipuuzi. <br />
<br />
Sasa Nisimange Kidogo ndugu zangu mtaniwia radhi: Hivi hawa CCM nani huwa anaongea hata kwa mvuto kwa wananchi, mbona Mkapa zero, mwigulu lugha tabu jazba juu - hivi huyu alipataje kura kule jimboni kwake? Mukama zero, yaani sijui huwa wanajipanga ama ni kukurupuka tu! Kama siasa ndio hivi walah bora ya yule gamba RA aliyeamua kwa hali ya kukata tamaa kabisa kuishia kusema mimi wajameni ni mwanaigunga na mwanachama wa ccm huku moyoni akilia na nadhani ataona furaha kama ccm ikiangukia pua Igunga.<br />
<br />
Wana JF, natoa mawazo tata.
<br />
<br />
objectively speaking
 
Watu huwa wanamlaumu sana Kiranga akikwambia ukweli Regia lakini nimegundua kuwa Kiranga yuko Sahihi. Yaani wewe Regia umeridhika kuwa huu ni ushahidi tosha wa kujua nani amefanya tenda la kinyama la kummwagia mtu tindikali?

Hufai kuwa kiongozi wa jamii iliyoamua kuendelea.

Kiongozi anayejali maslahi ya watu anapaswa kutaka uchunguzi huru ufanyike ili yeyote aliyehusika achukuliwe hatua.
Narudia tena, kwa kitendo chako hiki cha kufanyia masihala swala la mtu kumwagiwa tindikali, Regia, hufai kuwa kiongozi wa Tanzania bora.
You are just politics as usual.

Na wewe tuletee ushahidi wako. Nenda ukamhoji aliyemwagiwa utuletee ushahidi. Nadhani unakanyagwa wewe.
 
Uzuri uliopo ni kwamba CDM tunaongea kwa mifano na kuongoza kwa matendo mfano tu..pale ubungo,singida mashariki,arusha,ilemela,n.k huko kote matendo ndo yanayoongea ya nini CDM inawafanyia wapiga kura wake
<br />
<br />
Rweye
Umesahau Nyamaganj kwa Wenje ni balaaaa!
Cdm 2naenda na action ha2tak maneno 2pu!
Ppoz...!
Big up Dr Slaa uko juu unaupako
 
sawa, ila pia ni ujinga mkubwa kudhani kwamba
ccm inaungwa mkono kwa saana.
 
Ha ha ha ha ha ha .....source uhuru lol!! nimepoteza muda kusoma hii thread...
 
you sound exactly like one of those 'mtoto wa nyoka ni nyoka' slogans, and now am gaining points to prove that no matter how u educate a person if s/he is already in the system, you wont change her! ts like changing the color of the ocean.
 
(..." jamani binadamu!!!!! Eti nguvu ya umma..."???!!! Kijana wa CCM aliyemwagiwa tindikali jana Igunga)*

kijana.jpg

hayo ndo maneno ya Nape kwenye wall yake ndani ya facebook

magamba bwana
 
Vichochezi ni vingi sana,wapo pia orijino comedy kuwavutia watu waje ktk ufunguzi wa kampeni za chama cha mapinduzi a.k.a magamba.Binafsi nnakubali hakuna binaadamu anaechukiwa na watu wote,lkn je wanaoipenda ccm na kuiunga mkono ni asilimia ngapi ya watanzania masikini?????
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
CCM inaungwa Mkono kwa 61 percent,Chadema 26 percent,CUF 11 percent na 2 percent vyama vingine! Soure Matokeo ya Uchaguzi wa mwaka 2010!
 
Hawa ni Watanzania wa mtandaoni.. 'Online voting' ambao hata last election walimpa Dr. Slaa Ushindi. Watanzania wapiga kura wako kule vijijini. Sasa hivi ndiyo ungekuwa wakati muafaka kwa SYNOVETE/REDET kwenda Igunga kufanya utafiti wao wa nani anatarajiwa kushinda, siyo kufanya tafiti za kienyeji baada ya uchaguzi wa Uraisi mwaka uliopita.
 
CCM inaungwa mkono na watu wenye akili za kushikiwa wakifuatiwa na majangili tu.
 
Mnatapa tapa kutengeneza video nyie Chadema kaeni macho mda wote CCM wanaandaa kujibu mapigo! Mnaleta siasa za kitoto yani mnamumwagia mtu tindikali halafu mnamtafuta mtu ajifanye ni CCM ampinge Mwigulu! Kaeni mkao wa kupokea tukio Igunga! "To every action there is equal and opposite reaction"
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom