Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Hii kweli ni propaganda ya kike kutoka Chadema! Huyu Regia ameshafundishwa ujinga kama huu?
 
mambo hayo ya kumwagiana tindikali mnayoleta cdm wafanyieni hao hao ccm mkijaribu kwa cuf mtajuta kuzaliwa.
 
Crashwise, wakati mwingine mnadhani mnaisaidia CDM yenu lakini mnaidhalilisha mbele ya watanzania. Wapi mimi nmesema nakubaliana na CCM kuwa CDM ndio wamehusika. <br />
Tangu tulio hili limetokea mpaka leo kila mahali nimekuwa nikisisitiza kuwa kutupiana lawama kuwekwe pembeni na uchunguzi ufanyike ili wahusika washughulikiwe. <br />
Hili tukio ni serious kuliko mnavyolifanyia mchezo. Kama Regia Mtema anawakilisha jinsi CDM wanavyolihandle hili swala then hamna viongozi, mmepotea.
<br />
<br />
Ze marcopolo, you should know that investigation normally start from the source. What Regia did was just to inform the society of what has happened. And her information can be part of that source of information. So you don't need to blame the source of information. Mchemba's comment can also be the part of the source of information. Hebu jaribu kidogo kufungua ubongo, utajua kuwa taarifa ya Regia inaweza kuwa pa kuanzia uchunguzi.
 
Akiongea Leo na waandishi wa habari kwa mujibu wa chanel ten Naibu katibu mkuu julius mtatiro amesema mapokezi yataanzia mchana na yatazunguuka mji wa igunga kabla ya kuelekea katika uwanja na hapo Mwenyekiti wa Taifa Prof Ibrahim Lipumba atahutubia na kuzindua ILANI ya mgombea wa cuf Leopald mahona, watu wameanza kumiminika kutoka vijijini kwa ajili ya mapokezi ya mwenyekiti wa taifa Prof Lipumba.
 
&lt;font color=&quot;#0000ff&quot;&gt;Katika kile kinacho aminika kuwa Taasisi za dini ziajiingiza ktk siasa, Waisalamu huko Igunga wamewakatalia nyumba ya kupanga CDM kwa madai kuwa nyumba hiyo ilisha ombwa na CCM taarifa zinasema kuwa CDM walifika wakaomba nyumba hiyo inayo milikiwa na dini ya Kiislaamu wakakubaliwa na wakalipa kodi Tsh. 70000/= ya muda wote watakao ishi huko Baadaye Imamu akaja akaweka kufuli la SOLEX juu ya kufuli la CDM akisema nyumba hiyo iliombwa na CCM Habari zina pasha zaidi kuwa kila wanako omba nyumba za kupanga CDM wanaambiwa zilisha ombwa na CCM &lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
source : Radio Ushindi&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;/font&gt;&lt;br /&gt;<br />
nawasilisha
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
siku zile amri ilitoka kwa serikali ya kwamba iandikwe orodha ya majina ya watu wote. Watu wote wakaenda kuandikwa. Cdm nao wakaondoka dar wakapanda kwenda tabora hadi jimbo liitwalo igunga kwa kuwa kulikuwa na ombwe la uongozi, ili walizibe kwa kumsimika kashindye.<br />
ikawa katika kukaa huko, siku za kupiga kura zikatimia....<br />
Akamzaa mwanae, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng'ombe, kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni
 
Regia,

Asante kwa video. CHADEMA kama chama kinachopenda amani, mpelekeni huyo kijana polisi ili alisaidie jeshi la polisi.

Hizi kanda za propaganda mtu yeyote anaweza kutengeneza kuanzia hao CCM mpaka nyie CHADEMA. Muhimu kwa wananchi ni kuhakikisha usalama wa raia.

Huyu kijana kama ameweza kujua hayo yote na mpaka pesa zilizotolewa basi na yeye ni mhusika na mahali pa kutoa ushahidi huo ni polisi.

Ni aibu kwa chama chochote cha siasa kufumbia kosa hilo. Vyama vyote vishirikiane kuhakikisha waliohusika wanakamatwa maana tukianza kumwagiana tindikali wala hayatishia hapo.
Niwajibu wakijana huyo kwenda polisi yeye mwenyewe kama anachokisema anauhakika nacho. Polisi kwa upande wao wanawajibu wa kumtafuta kijana mtoa taarifa ili awasaidie kuwafichua wahalifu bila kujali kama ni wa CCM au CHADEMA. Mwigulu apeleke ushahidi polisi na sio kwenye majukwaa ya kampeni.
 
Crashwise,
Nape amezuiwa kwenda Igunga kufanya kampeni- Rostam aliyeitwa gamba ameombwa, Nape amepewa idara nyeti sana maalum ya kutoa mabongo ya chadema. Mimi ningekuwa Nape ningejiuzulu ili niachane na udhalilishaji huu.

Kwenye red, ni aibu kwa kiongozi kama wewe kutoa mchango wa kishabiki na uongo ulio wazi.
Kweli siasa zetu zimekuwa uongo uongo tu!
 
Si mlishasema igunga ni yenu wanacdm? Na huyo mgombea wenu hana nyumba? <br />
<br />
Labda shehe hataki nyumba ifukizwe msuba jamani?
kamata hii, tupa choo cha stendi ya mabasi.
Kamata msuba, zimua, then, kamata mwenye hii useless post, mpe za chembe.
 
magamba bwana linaongea kwa huruma huku nafsi inamsuta ama kweli ukiwa mnafki ujanani zeeni utkuwa mchawi
 
Kwani Chadema wamenyimwa unyumba?
Wakinyimwa huwa wanaopt kwa wake za watu na kwa wanawake waliochika!!

REJEO, si vizuri kudhalilisha wanawake popote pale na hasa katika jukwaa hili la GREAT THINKER.
 
Watu huwa wanamlaumu sana Kiranga akikwambia ukweli Regia lakini nimegundua kuwa Kiranga yuko Sahihi. Yaani wewe Regia umeridhika kuwa huu ni ushahidi tosha wa kujua nani amefanya tenda la kinyama la kummwagia mtu tindikali?

Hufai kuwa kiongozi wa jamii iliyoamua kuendelea.

Kiongozi anayejali maslahi ya watu anapaswa kutaka uchunguzi huru ufanyike ili yeyote aliyehusika achukuliwe hatua.
Narudia tena, kwa kitendo chako hiki cha kufanyia masihala swala la mtu kumwagiwa tindikali, Regia, hufai kuwa kiongozi wa Tanzania bora.
You are just politics as usual.
Unamshambulia Regia bila akili wala busara, yeye ameonyesha upande mwingine wa shilingi wala yeye hajatoa maoni yake binafsi. Ungekuwa na busara au hata akili kidogo ungemshutumu aliyegeuza jukwaa la kampeni kupeleka majungu wakati polisi wanaendelea na uchunguzi. Wewe na Mwigulu wako ndio hamfai kabisa kuwa viongozi kwa sababu mnafikiri kwa mioyo yenu badala ya kutumia ubongo. Poleni sana watumwa msiofikiri, kuku mlio ndani ya tenga mkiachiwa hamtoki!
 
Hivi Mwita25 leo yuko wapi? kweli CCM imebakia majengo tu yaani kwishnei. maana hata anti Ritz hajajitokeza hapa, chupi imewabana.
<br />
<br />
Mwita25 nadhani amepigwa ban, ila anatumia id nyingine, angalia vizuri hiyo ya Radhia Sweet
 
Watu huwa wanamlaumu sana Kiranga akikwambia ukweli Regia lakini nimegundua kuwa Kiranga yuko Sahihi. Yaani wewe Regia umeridhika kuwa huu ni ushahidi tosha wa kujua nani amefanya tenda la kinyama la kummwagia mtu tindikali?<br />
<br />
Hufai kuwa kiongozi wa jamii iliyoamua kuendelea. <br />
<br />
Kiongozi anayejali maslahi ya watu anapaswa kutaka uchunguzi huru ufanyike ili yeyote aliyehusika achukuliwe hatua.<br />
Narudia tena, kwa kitendo chako hiki cha kufanyia masihala swala la mtu kumwagiwa tindikali, Regia, hufai kuwa kiongozi wa Tanzania bora. <br />
You are just politics as usual.
<br />
<br />
nadhani nani anayeshabikia hujui maada maana CCM, CCM wametega mtego wamenasa wenyewe ya nini sasa kulalama jambazi yakipigana wakati wa kuporana wao kwa wao nani asikitike we vip hujamuelewa nini,
 
Watu huwa wanamlaumu sana Kiranga akikwambia ukweli Regia lakini nimegundua kuwa Kiranga yuko Sahihi. Yaani wewe Regia umeridhika kuwa huu ni ushahidi tosha wa kujua nani amefanya tenda la kinyama la kummwagia mtu tindikali?<br />
<br />
Hufai kuwa kiongozi wa jamii iliyoamua kuendelea. <br />
<br />
Kiongozi anayejali maslahi ya watu anapaswa kutaka uchunguzi huru ufanyike ili yeyote aliyehusika achukuliwe hatua.<br />
Narudia tena, kwa kitendo chako hiki cha kufanyia masihala swala la mtu kumwagiwa tindikali, Regia, hufai kuwa kiongozi wa Tanzania bora. <br />
You are just politics as usual.
<br />
<br />
 
Crashwise, <br />
Nape amezuiwa kwenda Igunga kufanya kampeni- Rostam aliyeitwa gamba ameombwa, Nape amepewa idara nyeti sana maalum ya kutoa mabongo ya chadema. Mimi ningekuwa Nape ningejiuzulu ili niachane na udhalilishaji huu.
kwa hiyo nepi kapewa kazi ya kishenzi wakati magamba originale yanafanya kazi za maana?
Kuna teja mmoja alimwambia kijana mmoja pale kinondoni, ''changanya miguu wewe ukamate mchuma, acha kutembea kama bata jike'' si unajua bata jike linazungusha masaburi yake kwa mbwembwe likitembea? Basi, palichimbika pale kituoni,,,,zilichapwa ngumi mpaka defender ya osterbay polisi ikaja.
Sasa naona kuna bata jike mwingine kuleee! Mtaa wa nanihii paleeee karibu na mnazi mmoja.
 
mambo hayo ya kumwagiana tindikali mnayoleta cdm wafanyieni hao hao ccm mkijaribu kwa cuf mtajuta kuzaliwa.
<br />

huko mirembe nako kuna internet? sasa wamewezaje kuwapa huduma hii watu wagonjwa ili hali watu wenye akili nzuri mashuleni wanahitaji?
 
Yaani hizi picha mbili zimenichekesh mpaka basi, huu ndiyo haswaa uungwaji mkono wa CCM!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Endeleeni kuhesabu sahani tu, Oktoba wenzenu watahesabu kura halafu nyie mtaanza ooh tumechakachuliwa.
Siasa si kama mahusiano mkuu, usiamini kuwa hao kwenye picha 'wanaichuna' tu Ccm halafu watalala kwenu. Ohoo..
 
Watu huwa wanamlaumu sana Kiranga akikwambia ukweli Regia lakini nimegundua kuwa Kiranga yuko Sahihi. Yaani wewe Regia umeridhika kuwa huu ni ushahidi tosha wa kujua nani amefanya tenda la kinyama la kummwagia mtu tindikali?<br />
<br />
Hufai kuwa kiongozi wa jamii iliyoamua kuendelea. <br />
<br />
Kiongozi anayejali maslahi ya watu anapaswa kutaka uchunguzi huru ufanyike ili yeyote aliyehusika achukuliwe hatua.<br />
Narudia tena, kwa kitendo chako hiki cha kufanyia masihala swala la mtu kumwagiwa tindikali, Regia, hufai kuwa kiongozi wa Tanzania bora. <br />
You are just politics as usual.
<br />
<br />
ukweli una uma eeh imekupain safi sana mumevuna mabua sasa mwisho wa ubaya mauti
 
Kama unatafuta bwana sema tukupe site za magay wenzako, hapa JF ni hoja kwa hoja na sio vihoja, this is too low to me, don't follow me i will blast your ass <b>m.o.t.h.e.r F.u.c.k.e.r.</b>
<br />
<br />
Mkuu unahasira sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom