Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,973
- 9,572
<br />siasa uchwara zinaendelea Igunga, naogopa asijetajwa yule aliyeachana na siasa 'uchwara' kuhusika
<br />
yeye hajahusika, ila mgawo wake ndio umehusika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />siasa uchwara zinaendelea Igunga, naogopa asijetajwa yule aliyeachana na siasa 'uchwara' kuhusika
<br />Crashwise, wakati mwingine mnadhani mnaisaidia CDM yenu lakini mnaidhalilisha mbele ya watanzania. Wapi mimi nmesema nakubaliana na CCM kuwa CDM ndio wamehusika. <br />
Tangu tulio hili limetokea mpaka leo kila mahali nimekuwa nikisisitiza kuwa kutupiana lawama kuwekwe pembeni na uchunguzi ufanyike ili wahusika washughulikiwe. <br />
Hili tukio ni serious kuliko mnavyolifanyia mchezo. Kama Regia Mtema anawakilisha jinsi CDM wanavyolihandle hili swala then hamna viongozi, mmepotea.
<br /><br /><font color="#0000ff">Katika kile kinacho aminika kuwa Taasisi za dini ziajiingiza ktk siasa, Waisalamu huko Igunga wamewakatalia nyumba ya kupanga CDM kwa madai kuwa nyumba hiyo ilisha ombwa na CCM taarifa zinasema kuwa CDM walifika wakaomba nyumba hiyo inayo milikiwa na dini ya Kiislaamu wakakubaliwa na wakalipa kodi Tsh. 70000/= ya muda wote watakao ishi huko Baadaye Imamu akaja akaweka kufuli la SOLEX juu ya kufuli la CDM akisema nyumba hiyo iliombwa na CCM Habari zina pasha zaidi kuwa kila wanako omba nyumba za kupanga CDM wanaambiwa zilisha ombwa na CCM <br /><br />
<br /><br />
source : Radio Ushindi<br /><br />
<br /><br />
</font><br /><br />
nawasilisha
Niwajibu wakijana huyo kwenda polisi yeye mwenyewe kama anachokisema anauhakika nacho. Polisi kwa upande wao wanawajibu wa kumtafuta kijana mtoa taarifa ili awasaidie kuwafichua wahalifu bila kujali kama ni wa CCM au CHADEMA. Mwigulu apeleke ushahidi polisi na sio kwenye majukwaa ya kampeni.Regia,
Asante kwa video. CHADEMA kama chama kinachopenda amani, mpelekeni huyo kijana polisi ili alisaidie jeshi la polisi.
Hizi kanda za propaganda mtu yeyote anaweza kutengeneza kuanzia hao CCM mpaka nyie CHADEMA. Muhimu kwa wananchi ni kuhakikisha usalama wa raia.
Huyu kijana kama ameweza kujua hayo yote na mpaka pesa zilizotolewa basi na yeye ni mhusika na mahali pa kutoa ushahidi huo ni polisi.
Ni aibu kwa chama chochote cha siasa kufumbia kosa hilo. Vyama vyote vishirikiane kuhakikisha waliohusika wanakamatwa maana tukianza kumwagiana tindikali wala hayatishia hapo.
Crashwise,
Nape amezuiwa kwenda Igunga kufanya kampeni- Rostam aliyeitwa gamba ameombwa, Nape amepewa idara nyeti sana maalum ya kutoa mabongo ya chadema. Mimi ningekuwa Nape ningejiuzulu ili niachane na udhalilishaji huu.
kamata hii, tupa choo cha stendi ya mabasi.Si mlishasema igunga ni yenu wanacdm? Na huyo mgombea wenu hana nyumba? <br />
<br />
Labda shehe hataki nyumba ifukizwe msuba jamani?
Kwani Chadema wamenyimwa unyumba?
Wakinyimwa huwa wanaopt kwa wake za watu na kwa wanawake waliochika!!
Unamshambulia Regia bila akili wala busara, yeye ameonyesha upande mwingine wa shilingi wala yeye hajatoa maoni yake binafsi. Ungekuwa na busara au hata akili kidogo ungemshutumu aliyegeuza jukwaa la kampeni kupeleka majungu wakati polisi wanaendelea na uchunguzi. Wewe na Mwigulu wako ndio hamfai kabisa kuwa viongozi kwa sababu mnafikiri kwa mioyo yenu badala ya kutumia ubongo. Poleni sana watumwa msiofikiri, kuku mlio ndani ya tenga mkiachiwa hamtoki!Watu huwa wanamlaumu sana Kiranga akikwambia ukweli Regia lakini nimegundua kuwa Kiranga yuko Sahihi. Yaani wewe Regia umeridhika kuwa huu ni ushahidi tosha wa kujua nani amefanya tenda la kinyama la kummwagia mtu tindikali?
Hufai kuwa kiongozi wa jamii iliyoamua kuendelea.
Kiongozi anayejali maslahi ya watu anapaswa kutaka uchunguzi huru ufanyike ili yeyote aliyehusika achukuliwe hatua.
Narudia tena, kwa kitendo chako hiki cha kufanyia masihala swala la mtu kumwagiwa tindikali, Regia, hufai kuwa kiongozi wa Tanzania bora.
You are just politics as usual.
<br />Hivi Mwita25 leo yuko wapi? kweli CCM imebakia majengo tu yaani kwishnei. maana hata anti Ritz hajajitokeza hapa, chupi imewabana.
<br />Watu huwa wanamlaumu sana Kiranga akikwambia ukweli Regia lakini nimegundua kuwa Kiranga yuko Sahihi. Yaani wewe Regia umeridhika kuwa huu ni ushahidi tosha wa kujua nani amefanya tenda la kinyama la kummwagia mtu tindikali?<br />
<br />
Hufai kuwa kiongozi wa jamii iliyoamua kuendelea. <br />
<br />
Kiongozi anayejali maslahi ya watu anapaswa kutaka uchunguzi huru ufanyike ili yeyote aliyehusika achukuliwe hatua.<br />
Narudia tena, kwa kitendo chako hiki cha kufanyia masihala swala la mtu kumwagiwa tindikali, Regia, hufai kuwa kiongozi wa Tanzania bora. <br />
You are just politics as usual.
<br />Watu huwa wanamlaumu sana Kiranga akikwambia ukweli Regia lakini nimegundua kuwa Kiranga yuko Sahihi. Yaani wewe Regia umeridhika kuwa huu ni ushahidi tosha wa kujua nani amefanya tenda la kinyama la kummwagia mtu tindikali?<br />
<br />
Hufai kuwa kiongozi wa jamii iliyoamua kuendelea. <br />
<br />
Kiongozi anayejali maslahi ya watu anapaswa kutaka uchunguzi huru ufanyike ili yeyote aliyehusika achukuliwe hatua.<br />
Narudia tena, kwa kitendo chako hiki cha kufanyia masihala swala la mtu kumwagiwa tindikali, Regia, hufai kuwa kiongozi wa Tanzania bora. <br />
You are just politics as usual.
kwa hiyo nepi kapewa kazi ya kishenzi wakati magamba originale yanafanya kazi za maana?Crashwise, <br />
Nape amezuiwa kwenda Igunga kufanya kampeni- Rostam aliyeitwa gamba ameombwa, Nape amepewa idara nyeti sana maalum ya kutoa mabongo ya chadema. Mimi ningekuwa Nape ningejiuzulu ili niachane na udhalilishaji huu.
<br />mambo hayo ya kumwagiana tindikali mnayoleta cdm wafanyieni hao hao ccm mkijaribu kwa cuf mtajuta kuzaliwa.
Yaani hizi picha mbili zimenichekesh mpaka basi, huu ndiyo haswaa uungwaji mkono wa CCM!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
<br />Watu huwa wanamlaumu sana Kiranga akikwambia ukweli Regia lakini nimegundua kuwa Kiranga yuko Sahihi. Yaani wewe Regia umeridhika kuwa huu ni ushahidi tosha wa kujua nani amefanya tenda la kinyama la kummwagia mtu tindikali?<br />
<br />
Hufai kuwa kiongozi wa jamii iliyoamua kuendelea. <br />
<br />
Kiongozi anayejali maslahi ya watu anapaswa kutaka uchunguzi huru ufanyike ili yeyote aliyehusika achukuliwe hatua.<br />
Narudia tena, kwa kitendo chako hiki cha kufanyia masihala swala la mtu kumwagiwa tindikali, Regia, hufai kuwa kiongozi wa Tanzania bora. <br />
You are just politics as usual.
<br />Kama unatafuta bwana sema tukupe site za magay wenzako, hapa JF ni hoja kwa hoja na sio vihoja, this is too low to me, don't follow me i will blast your ass <b>m.o.t.h.e.r F.u.c.k.e.r.</b>