Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Joined on 10th August,2011.She has nothing to contribute!!!!!!! Go to the hell!!!!!!!!!!! shit
 
Waache wajipe moyo tu ila time will tel!!!!!!!

Hongera kwa ukomavu wa mijadala uonyeshi hisia za uvivu wa kufikilia bali ukomavu wa kujua fikra za mleta mada na kukubalina kuwa ni haki yake kuongea japo kwako yaweza kuwa UPUPU kwa mwanaccm au kada wa chama kingine ikawa Lulu huo ndio ukomavu tunao utaka.
 
Nyie si mlitaka UHURU isifie CDM ndio lionekane gazeti la maana, wamesema ukweli kabisa. CDM ni chama cha wahuni na wavuta bangi.


NABII mmoja katika Biblia alisema maneno ambayo napenda uwe ufunguo wa majibu yangu kwa mtoa hoja hii. Nabii huyo, alisema: "Usimjibu mpumbavu sawa sawa na upumbavu wake usije ukafanana naye."Na pia: "Mjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake asije akajiona mwenye hekima mbele yake mwenyewe."

Hivyo basi, nina mashaka na utindio wa ubongo wa mwandishi na huyo aliyepost hoja hii, Imani na itikadi ya CCM si itikadi Taifa. Kutulazimisha kuamini unayoyafikilia wewe huko si kupevuka tena hukustahili kukaa katika jamvi la wasomi kama hili la JF. kila mtu anafahamu hilo no gazeti la CCM sasa unatuletea sisi u CCM wako hapa!

Napenda kumalizia hoja yangu kwa kunukuu maneno ya Mwalimu Nyerere: "Akili ya mtu iliyokomaa, ni ile inayoyatilia mashaka mambo inayoyaamini."Wanachama wa CCM lazima mtambue kwamba si kila kilichomo baharini ni samaki. Usione jarife zito, ukadhani una chumo
nene. Si ajabu kokoro lako limebeba mamba, kenge, na mijusi. Na kwa hoja hii, Wanajamvi watofautishe kati ya CHADEMA na ccm. ( The freedom is coming tomorrow)

naomba kuwasilisha
 
kanywe uji ukavishwe nepi.

Matusi hayajengi mnawapa sababu upande wa pili kupigia mstari kuwa mnao watetea hawa ndio wapenzi na wanachama wao na hivi ndivyo walivyo walivyo [Show me your friends and I will tell you who your].Ukiona vipi mnapotezea mada kiulikoni kutoa matusi ambayo watu makini na hata watanzania wa kawaida wakichambuliwa haya hakika wataona picha tofauti.Wakati umefika kusimamia ustarabu na mikakati ya kisomi zaidi kuliko matusi kama tuko mitaani manzese au kwa makoroboi kwa watu wa kada ya makuri je tofauti yetu nini?
 
Hivi nina tatizo gani na gazeti la Uhuru? Mbona huwa nasikia kinyaa kusikia lolote linalo husiana nalo?
 
Hii toilet paper inayoitwa uhuru bado ipo kwenye circulation?

Ukomavu wa kupokea mijadala ni mdogo ukiona mada inakuchefua ni heri ukazima computer ukarefresh na issue nyingine hata kuangalia maua na kushukuru uzuri wa Mungu kuumba maua.Matusi haya hayajengi bali yanachafua na kuonyesha picha ya wafuasi wa upande wa pili na kuleta picha mbaya kuwa WanaJF kama sio jukwaa la Great Thinkers bali kusanyiko la vibaka wasomi wenye lugha za kishenzi [Show Me Your friends and I tell you who your].
 
Binafsi naiunga mkono CHADEMA lakini si kama Kipofu. Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kwamba CCM si mama yake wala si dini yake. Hata mimi CHADEMA si mama yangu wala si dini yangu lakini ni chama ninachokiunga mkono toka moyoni mwangu.


Hii ya kada Wa CHADEMA aliitoA JANA....nI MATUMAINI YANGU SIKU YA KUPIGA KURA ATAKUWA CCM baada ya kusikia hili la Wafuasi wa chadema kumwalibia mpigakura wa nchi hii,chama kinachohubiri demokrasia hakikubali kushindwa ndipo napo shakaaa.
CCM kinabaki chama bora,kinachoheshimu matakwa ya watu wengi...
 
NABII mmoja katika Biblia alisema maneno ambayo napenda uwe ufunguo wa majibu yangu kwa mtoa hoja hii. Nabii huyo, alisema: "Usimjibu mpumbavu sawa sawa na upumbavu wake usije ukafanana naye."Na pia: "Mjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake asije akajiona mwenye hekima mbele yake mwenyewe."

Hivyo basi, nina mashaka na utindio wa ubongo wa mwandishi na huyo aliyepost hoja hii, Imani na itikadi ya CCM si itikadi Taifa. Kutulazimisha kuamini unayoyafikilia wewe huko si kupevuka tena hukustahili kukaa katika jamvi la wasomi kama hili la JF. kila mtu anafahamu hilo no gazeti la CCM sasa unatuletea sisi u CCM wako hapa!

Napenda kumalizia hoja yangu kwa kunukuu maneno ya Mwalimu Nyerere: "Akili ya mtu iliyokomaa, ni ile inayoyatilia mashaka mambo inayoyaamini."Wanachama wa CCM lazima mtambue kwamba si kila kilichomo baharini ni samaki. Usione jarife zito, ukadhani una chumo
nene. Si ajabu kokoro lako limebeba mamba, kenge, na mijusi. Na kwa hoja hii, Wanajamvi watofautishe kati ya CHADEMA na ccm. ( The freedom is coming tomorrow)

naomba kuwasilisha

Hapo kwenye nyeusi ukumtendea haki japo umechambua vyema kuonyesha hisia zako kwa kuguswa kwako na mada,Jukwaa hili ni kwa wote hivyo nae anahaki sawa kama wengine.
 
Waambie hao unaowatetea mafisadi wenzio tuhesabu kura upya ili ujue CDM ni nani. Hamkushinda
Pili waambie hao baba zako chaguzi ziwe digital unapiga igunga the whole tanzania ina read then utajua kama kuna ccm au maiti.
 
Binafsi naiunga mkono CHADEMA lakini si kama Kipofu. Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kwamba CCM si mama yake wala si dini yake. Hata mimi CHADEMA si mama yangu wala si dini yangu lakini ni chama ninachokiunga mkono toka moyoni mwangu.


Hii ya kada Wa CHADEMA aliitoA JANA....nI MATUMAINI YANGU SIKU YA KUPIGA KURA ATAKUWA CCM baada ya kusikia hili la Wafuasi wa chadema kumwalibia mpigakura wa nchi hii,chama kinachohubiri demokrasia hakikubali kushindwa ndipo napo shakaaa.
CCM kinabaki chama bora,kinachoheshimu matakwa ya watu wengi...

Mdau kuna hukakika kama kweli walimwalibia mpiga kura huyo? Au ni hear say tu,ni vyema ungetumia kama hilo ni kweli kuonyesha kuwa story hiyo siyo au ndiyo.Pamoja na yote umeonyesha ukomavu kuijibu hoja mdau na uchokozi wa kisanaa usioibua chuki.
 
ccm,ccm,ccm wamepagawa wanatafuta pa kutokea tuwakumbushe tu kuwa hakuna marefu yasiyokuwa na mwisho sasa watajuta kuijua CDM.
 
Mwandishi wa Habari wa Uhuru anatafuta U-DC kama Betti Mkwasa!
 
"Chadema kwa kuendelea kudhihirisha ni watu wa fujo, makada wao wanaonekana kutumwa na mtandao wa mamlaka ya chama, walimvamia na kumpiga kisha kumwagia tindikali kada wa CCM" Uhuru.wanaweza kuthibitisha hii kauli ! jamani vyanzo vingine vya habari viko mikononi mwa mbumbumbu kwani hili swala ni la kisheria na vyombo vya dola .
 
Waambie hao unaowatetea mafisadi wenzio tuhesabu kura upya ili ujue CDM ni nani. Hamkushinda
Pili waambie hao baba zako chaguzi ziwe digital unapiga igunga the whole tanzania ina read then utajua kama kuna ccm au maiti.

Kwa matusi haya hakika kushinda na kuchukua Nchi itakuwa hadidhi,kinachotakiwa kujengwa ni tofauti kati ya chama tawala na CDM wasimamie kujenga watu watakao jua mapambano ya kuwania madaraka sio wamwaga matusi kama makuri wa bandari ambao miaka nenda rudi wako huko huko na matusi yale yale [Show me your friends and I will tell you who your] msiwaalibie jina Chadema kwa matusi haya.

Na viongozi wa chadema simamieni maadili kuondokana na haya Zitto kama mwana JF omba wapenzi na wanachama wenye kukitaka chadema mazuri humu ndani ya jamvi kuepuka lugha za mitaani kwani sote tunajua umhimu wa JF,basi ulete faida kwa wote ikiwemo CDM, CCM, CUF na vyama vinginevyo.

Kumjibu mtoa mada na kulushina nae matusi na hata kama alimwaga nae matusi ni mapungufu ya muungwana aliyenda kuoga mtoni,kichaa akachukua nguo zake,kisha muungwana huyo akaamua kufukuzana na kichaa huyo badala ya kuchutama kuomba msaada wa hifadhi ya mavazi.
 
Nyie si mlitaka UHURU isifie CDM ndio lionekane gazeti la maana, wamesema ukweli kabisa. CDM ni chama cha wahuni na wavuta bangi.[/QUOTE]

CCM ni chama cha majuha na mataahira. Haiwezekani mtu mwenye akili timamu awaunge mkono mafisadi wanaouza nchi yetu kwa vipande thelathini vya pesa, ni wenye mtindio wa ubongo tu kama hii misukule ya Nape inayomwaga upuuzi hapa jamvini. Halafu hicho kipeperushi chenu kinachoitwa uhuru hakina hadhi ya kuitwa gazeti , hicho ni sawa na toilet paper tu, ni majuha tu ndiyo wanakisoma.
 
Waache wajipe moyo tu ila time will tel!!!!!!!
Huu ndiyo ushahidi kuwa tuna watu wanaitwa wahariri lakini hawakustahili hata kuwa wapiga baragumu. Habari nzima inaonekana kuwa domokaya. Hiyo Mwanza anayosema watu wanajutia kuchagua CHADEMA, ni MWANZA ya wapi? CCM hapa inazidi kufa kila kukichaj. Unasubiriwa uchaguzi ujao ili kuifuta kabisa CCM katika uso wa MWANZA. Ama kweli uandishi wa njaa ni mgumu sana.
 
Gazeti la udaku kweli kweli. Umati uliokusanywa mahsusi kwa ajili ya uzinduzi ni marudio ya yale yale ya kuwabeba watu kwenye mafuso na kuwaleta kwenye tukio. Tuankumbuka yaliyofanyika Karatu uchaguzi uliopita.

JK kapigwa changa ooh twende urudi mara nyingine tukachukue jimbo lililokuwa la Dk (wa kweli) W. Slaaa. Mabasi yakachukua watu wilaya zote za Arusha na maeneo jirani ya Manyara.

Walichokipata wanakijua. Mwulizeni Nape aliyokuta mjini Moshi alipopeleka sera za kuvua gamba. Mkutano ule pale stendi ulikuwa kielelezo tosha na angalizo la kutoendelea na safari ya Arusha. Tatizo ni moja, hayo magamba yameyatengeneza wao, wanajivua wao halafu watupe shida wananchi. Mwendo ni mbele kwa mbele mpaka kieleweke.

Mwenendo wa Bunge la 10 kielelezo tosha kuwa magamba na serkali yao wamechoka na wakati muafaka wa kupumzishwa uwakilishi. Hakuna sababu ya kumpeleka mbunge kwenda kujaza nafasi tu bali tunataka wachapakazi waongezeke.
 
Binafsi naiunga mkono CHADEMA lakini si kama Kipofu. Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kwamba CCM si mama yake wala si dini yake. Hata mimi CHADEMA si mama yangu wala si dini yangu lakini ni chama ninachokiunga mkono toka moyoni mwangu.


Hii ya kada Wa CHADEMA aliitoA JANA....nI MATUMAINI YANGU SIKU YA KUPIGA KURA ATAKUWA CCM baada ya kusikia hili la Wafuasi wa chadema kumwalibia mpigakura wa nchi hii,chama kinachohubiri demokrasia hakikubali kushindwa ndipo napo shakaaa.
CCM kinabaki chama bora,kinachoheshimu matakwa ya watu wengi...
Ujinga, maradhi na umaskini uliobobea(abjact poverty) ndio matakwa ya watu wengi ambayo CCM chama bora kinayaheshimu. Ama kweli wewe ni GREAT THINKER wa mwaka au ni mchumia tumbo wa karne.
 
Du nawahurumia, dalili za ccm kufulia kisiasa ndo hizi, nilitegemea wataandika habari za kujinadi na kueleza kwa nini mtu mchafu [fisadi] Rostam amekuwa lulu kwa sasa wakati walimtimua kwa uhujumu wa uchumi wa nchi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom