Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waache wajipe moyo tu ila time will tel!!!!!!!
Nyie si mlitaka UHURU isifie CDM ndio lionekane gazeti la maana, wamesema ukweli kabisa. CDM ni chama cha wahuni na wavuta bangi.
kanywe uji ukavishwe nepi.
Hii toilet paper inayoitwa uhuru bado ipo kwenye circulation?
NABII mmoja katika Biblia alisema maneno ambayo napenda uwe ufunguo wa majibu yangu kwa mtoa hoja hii. Nabii huyo, alisema: "Usimjibu mpumbavu sawa sawa na upumbavu wake usije ukafanana naye."Na pia: "Mjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake asije akajiona mwenye hekima mbele yake mwenyewe."
Hivyo basi, nina mashaka na utindio wa ubongo wa mwandishi na huyo aliyepost hoja hii, Imani na itikadi ya CCM si itikadi Taifa. Kutulazimisha kuamini unayoyafikilia wewe huko si kupevuka tena hukustahili kukaa katika jamvi la wasomi kama hili la JF. kila mtu anafahamu hilo no gazeti la CCM sasa unatuletea sisi u CCM wako hapa!
Napenda kumalizia hoja yangu kwa kunukuu maneno ya Mwalimu Nyerere: "Akili ya mtu iliyokomaa, ni ile inayoyatilia mashaka mambo inayoyaamini."Wanachama wa CCM lazima mtambue kwamba si kila kilichomo baharini ni samaki. Usione jarife zito, ukadhani una chumo
nene. Si ajabu kokoro lako limebeba mamba, kenge, na mijusi. Na kwa hoja hii, Wanajamvi watofautishe kati ya CHADEMA na ccm. ( The freedom is coming tomorrow)
naomba kuwasilisha
Binafsi naiunga mkono CHADEMA lakini si kama Kipofu. Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kwamba CCM si mama yake wala si dini yake. Hata mimi CHADEMA si mama yangu wala si dini yangu lakini ni chama ninachokiunga mkono toka moyoni mwangu.
Hii ya kada Wa CHADEMA aliitoA JANA....nI MATUMAINI YANGU SIKU YA KUPIGA KURA ATAKUWA CCM baada ya kusikia hili la Wafuasi wa chadema kumwalibia mpigakura wa nchi hii,chama kinachohubiri demokrasia hakikubali kushindwa ndipo napo shakaaa.
CCM kinabaki chama bora,kinachoheshimu matakwa ya watu wengi...
Waambie hao unaowatetea mafisadi wenzio tuhesabu kura upya ili ujue CDM ni nani. Hamkushinda
Pili waambie hao baba zako chaguzi ziwe digital unapiga igunga the whole tanzania ina read then utajua kama kuna ccm au maiti.
Nyie si mlitaka UHURU isifie CDM ndio lionekane gazeti la maana, wamesema ukweli kabisa. CDM ni chama cha wahuni na wavuta bangi.[/QUOTE]
CCM ni chama cha majuha na mataahira. Haiwezekani mtu mwenye akili timamu awaunge mkono mafisadi wanaouza nchi yetu kwa vipande thelathini vya pesa, ni wenye mtindio wa ubongo tu kama hii misukule ya Nape inayomwaga upuuzi hapa jamvini. Halafu hicho kipeperushi chenu kinachoitwa uhuru hakina hadhi ya kuitwa gazeti , hicho ni sawa na toilet paper tu, ni majuha tu ndiyo wanakisoma.
Huu ndiyo ushahidi kuwa tuna watu wanaitwa wahariri lakini hawakustahili hata kuwa wapiga baragumu. Habari nzima inaonekana kuwa domokaya. Hiyo Mwanza anayosema watu wanajutia kuchagua CHADEMA, ni MWANZA ya wapi? CCM hapa inazidi kufa kila kukichaj. Unasubiriwa uchaguzi ujao ili kuifuta kabisa CCM katika uso wa MWANZA. Ama kweli uandishi wa njaa ni mgumu sana.Waache wajipe moyo tu ila time will tel!!!!!!!
Ujinga, maradhi na umaskini uliobobea(abjact poverty) ndio matakwa ya watu wengi ambayo CCM chama bora kinayaheshimu. Ama kweli wewe ni GREAT THINKER wa mwaka au ni mchumia tumbo wa karne.Binafsi naiunga mkono CHADEMA lakini si kama Kipofu. Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kwamba CCM si mama yake wala si dini yake. Hata mimi CHADEMA si mama yangu wala si dini yangu lakini ni chama ninachokiunga mkono toka moyoni mwangu.
Hii ya kada Wa CHADEMA aliitoA JANA....nI MATUMAINI YANGU SIKU YA KUPIGA KURA ATAKUWA CCM baada ya kusikia hili la Wafuasi wa chadema kumwalibia mpigakura wa nchi hii,chama kinachohubiri demokrasia hakikubali kushindwa ndipo napo shakaaa.
CCM kinabaki chama bora,kinachoheshimu matakwa ya watu wengi...